internet

  1. OLS

    JamiiForums Tanzania Gharama kubwa za Internet ni namna nyingine ya kuzia uhuru wa watu kujieleza na haki ya kupata taarifa

    Licha ya umuhimu wa teknolojia katika kuongeza kupata taarifa na maarifa, serikali nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, ikiwa ni pamoja na Tanzania, zimechukua hatua ambazo zinaathiri Uatikanaji wa Taarifa na uhuru wa kujieleza. Tanzania imepitisha sheria kama Sheria ya Huduma za Habari ya...
  2. Lexus SUV

    JamiiForums Tanzania RT-Russia , ingefaa sana isingefungiwa ili tujue kinachoendea huko Urusi

    Yeah ni kweli vita ni pande mbili , jambo zuri internet inaonyesha vitu vingi vinavyo tokea ukraine na reactions za wa ukraine ,maana nimeona mpaka Walimu, Madaktari, Mainjinia wa Ukraine wamejiunga na jeshi na wana being trained to be solders. Heko heko ni kwamba , ingekuwa ni vyema DUNIA...
  3. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Maalumu kwa watumiaji wa Home Internet (Wi-Fi)

    Habari za muda huu wakuu? Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi? a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali...
  4. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

    Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid. Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
  5. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Katika ulimwengu huu wa digitali, ni utahira kukataa kuletewa Intaneti ya kasi ya juu kwa bei nafuu ya Elon Musk

    Na wote tunashuhudia kwa jinsi internet inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, Dunia ya sasa Internet ni hitaji moja wapo muhimu katika kuondoa ujinga, kurahisisha mawasiliano, kufanya tafiti, kufanya biashara, n.k. Ni muda sasa umepita ishu ya internet ya Elon Musk kuletwa bongo...
  6. Sultan MackJoe Khalifa

    JamiiForums Tanzania Nini kilichosababisha gharama za internet kupanda? Mkongo wa taifa hauna mahusiano na kupanda au kushuka kwa internet?

    Ilikua hivi 👇 1GB+dakika 100+100 SMS = Tsh. 1,000/= 7days. sasa ni 👇 MB 449+dakika 25+50 SMS kwa Tsh. 1,000/= Nilikuwa nikimnnunulia mdogo wangu internet za 10,000 Tsh. = 10GB, kwaajili ya kufatilia masomo youtube na kushiriki mijadala ya masomo kwenye laptop yake zilikua zikimtosha. Ila kwa...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali

    Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali. Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote. Inaelezwa kuwa mahakama...
  8. 2013

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya Simu inavyotuibia Bando za Intaneti

    Mie nimekuwa mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikuwa wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa. Hivi sasa Hali imenifika shingoni sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G. Lakini haujamaliza Dk 5...
  9. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Miyeyusho: Kwa hii speed ya tigo kuna mtu anaefaidi internet yao?

    Hawa jamaa naona ni zaidi ya miyeyusho, kwa kipindi kirefu hawataki kubadilika. Na hapa ni jioni tu, ukitaka kuijua speed ya kobe subiri ifike saa mbili usiku.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Je, ni illegal kutumia free internet kupitia VPN?

    Je, ni illegal kutumia free internet kupitia VPN? Naomba kufahamishwa
  11. OLS

    JamiiForums Tanzania The Internet is more of a necessity than a luxury. Why make it expensive then?

    The benefits of digital technologies are immense, ranging from higher incomes to improved quality of life and numerous political and cultural advantages compared to non-users. However, the digital divide remains a significant challenge, especially in developing countries with low access to ICTs...
  12. Sun Wukong

    JamiiForums Tanzania Hat files for ha tunnel (free internet)

    Hello kwa wale watumiaji wa hii app fanya kama mnadondisha config files zake ili tu import tupate free internet Binafsi nimepata kama tatu ila ziko expired Usiwe mchoyo pls wadau
  13. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Unakutana na Vikwazo gani unapofanya Biashara kwa njia ya Mtandao?

    Mauzo ya Biashara za Mtandaoni yanakadiriwa kufikia Kiasi cha dola za Kimarekani Trilioni 6.3 mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 10.4 ikilinganishwa na mwaka 2022. Ongezeko kubwa zaidi linatajwa kutokea ifikapo mwaka 2026 ambapo zaidi dola za kimarekani Trilioni 8.1 zitakusanywa kutokana...
  14. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa wabunge 2015 wanajiangalia kwenye marudio kupitia internet na tv baada kutoka bungeni

    Aisee yani mpaka aibu wanayo ongea na kujibishana huko.mwengine anaongelea ngono wakati nchi inatatizo la mashule kwao huko vijijini internet wanaisikia. wengine wanatetea wasanii wao sababu alikuwa meneja,wengine waganga. nchi hii mungu tusaidie maana tunazungumzwa vibaya na ilivokuw sifa media...
  15. Karanga Mwitu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu haiunganishi wireless internet kwenye kompyuta yangu

    Habari wanaJF?, Natumai mko poa Sana, mwenzenu Nina changamoto Nina simu ya Aina ya infinix, hapo mwanzo nilikua nakonnect vizuri kwenye computer. Sasa hivi karibuni nimekonnect Mara kadhaa haikubali inasema " Window unable to connect". Nimejaribu kutumia Tecno, imezingua ila nimetumia simu...
  16. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Huwa unazingatia vigezo gani unapochagua mtoa huduma wa Internet?

    Pamoja na uwepo wa vigezo vingi vinavyoweza kutumika katika kuchagua Internet unayotaka kutumia kufanikisha kazi zako za kila siku, Gharama, Kasi pamoja na Uhakika wa upatikanaji wake hupaswa kuzingatiwa. Pia, ubora na ukaribu wa kitengo cha huduma kwa wateja kutoka kwa watoa huduma hususan...
  17. mdhalendo

    JamiiForums Tanzania Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Tangu mwezi Novemba mwaka jana nimekuwa miongoni mwa wateja wa kwanza wa kutumia huduma za vodacom 5G supakasi ya home internet kwa kutumia device yao mpya ya NOKIA FastMile 5G Gateway 3.1 na leo ningependa nitumie jukwaa hili kutoa uzoefu wangu kama mmojawapo wa wateja wa kwanza wa 5G internet...
  18. GIRITA

    JamiiForums Tanzania Msaada kufungua internet Banking Equity

    Habari wakuu, Naomba kusaidiwa kufungua online banking au Internet Banking kwa bank ya equity bank, kwa anaweza anisaidie.
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

    Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet. Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo...
Back
Top Bottom