Mitandao ya Simu inavyotuibia Bando za Intaneti

2013

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
11,358
6,059
Mie nimekuwa mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikuwa wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa.

Hivi sasa Hali imenifika shingoni sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G.

Lakini haujamaliza Dk 5.

Unatumiwa meseji umetumia 75%..na hapa umefungua Whatsup ukatuma meseji. Na hii inakuja unapoamua kuzima Data. Kisha ukikaa bila kutumia mpaka Kesho inakuja meseji Bando lako limeisha.

Kinachosikitisha, kukosa pa kupeleka malalamiko yakasikilizwa.
 
Mie nimekua mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikua wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa.

Hivi sasa Hali imenifika shingoni Sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G.

Lakini haujamaliza Dk 5.

Unatumiwa meseji umetumia 75%..na hapa umefungua Whatsup ukatuma meseji. Na hii inakuja unapoamua kuzima Data. Kisha ukikaa bila kutumia mpaka Kesho inakuja meseji Bando lako limeisha.

Kinachosikitisha, kukosa pa kupeleka malalamiko yakasikilizwa.
Msimamizi wa TOZO alishasema:-
"....asiyetaka ahamie Burundi"
 
Mie nimekua mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikua wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa.

Hivi sasa Hali imenifika shingoni Sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G.

Lakini haujamaliza Dk 5.

Unatumiwa meseji umetumia 75%..na hapa umefungua Whatsup ukatuma meseji. Na hii inakuja unapoamua kuzima Data. Kisha ukikaa bila kutumia mpaka Kesho inakuja meseji Bando lako limeisha.

Kinachosikitisha, kukosa pa kupeleka malalamiko yakasikilizwa.
.
FB_IMG_1681397104246.jpg
 
Pamoja na hayo , wengi wetu tumeruhusu mambo mengi kufanyika automatic. Yaani ile ukiweka bando basi shughuli za umalizaji bando zinaanza.

Kwenye simu una app zaidi ya 50, na kila app ina muda wake wa kua updated, so kila unapofika muda wake unakuta hata app 5 kwa siku zinajiupdate automatic coz umeset hivo.
Ama lah umeset kila picha ijisave kwenye google gallery, wakati huna bundle ukapiga picha kibao, ukascreenshort ishu kibao, ukarekodi video kadha wa kadha. Siku unaweka bundle hizo vitu zinaanza kujisave na kumbuka picha za kweny simu zina MB za kutosha.

Una bundle unafungua app kibao na umeziruhusu ziendelee kuoparate kwa kujua ama kutojua(wengi hawajui).

Ushauri. Ukinunua simu mpya, iweke vile wewe unataka sio unaanza tu kutumia itakulia bando sana.
Weka Data Sever ON, inasaidia sana.
 
Back
Top Bottom