Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Updates
Nashukuru kwa michango yenu,wengi mmeshauri nisiende ila wengine wanasema niende
Kwa ujumla naheshimu mawazo yenu ila naomba niungane na wale wa kukubali niende ,nimeanza kuandaa harakati za kwenda huko
Nimewasiliana na mamlaka ya vissa Malta wamenipa utaratibu lakini kwa kipindi hiki cha mlipuko wameshauri kwamba nisubiri kidogo kwa sasa wameweka masharti magumu kidogo ya kuingia nchini kwao
Vissa yao wanashughulikia ndani ya mwezi mmoja ,muda huo nifanye maombi ya vissa nikisubiria hali ya covid inaendaje huko ila wakanitahadharisha nisije nikafanye booking ya ndege mpaka wao waje kuniambia
Pia nitakuwa na tahadhari nikifika Malta na kuna mdau mmoja alinishauri nifikie kwenye kanisa ili niangalie hali ipoje ndo niendelee na mambo mengine ila Watanzania mniombee.
Soma Mrejesho:
Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara
Binti alishanitambulisha kwa Dada yake ambaye yupo UK ni mwandishi wa habari na shangazi yake ambaye wapo naye chuoni na wananitaka niende
Hivi vihela vidogo vidogo binti na shangazi yake huwa wananitumia na nikiwauliza hela wanatoa wapi na wapo chuo wanasema wazazi wao wanawapa pocket money
Na wananipenda hatari
Tumefahamiana kama miezi 5 imepita juzi kanitumia dola 2720 niende kumtembelea nchini kwake kisiwa cha Malta.
Naomba nisaidiwe yafuatayo
Nauli kwenda Malta ni dola ngapi?
Vipi kuna usalama hapo? Na vipi maisha ya Malta yakoje anayejua
Vipi sheria za Malta kudate na miaka 17
Au nimzime hii hela na niblock
Updates
Nashukuru kwa michango yenu,wengi mmeshauri nisiende ila wengine wanasema niende
Kwa ujumla naheshimu mawazo yenu ila naomba niungane na wale wa kukubali niende ,nimeanza kuandaa harakati za kwenda huko
Nimewasiliana na mamlaka ya vissa Malta wamenipa utaratibu lakini kwa kipindi hiki cha mlipuko wameshauri kwamba nisubiri kidogo kwa sasa wameweka masharti magumu kidogo ya kuingia nchini kwao
Vissa yao wanashughulikia ndani ya mwezi mmoja ,muda huo nifanye maombi ya vissa nikisubiria hali ya covid inaendaje huko ila wakanitahadharisha nisije nikafanye booking ya ndege mpaka wao waje kuniambia
Pia nitakuwa na tahadhari nikifika Malta na kuna mdau mmoja alinishauri nifikie kwenye kanisa ili niangalie hali ipoje ndo niendelee na mambo mengine ila Watanzania mniombee.
Soma Mrejesho: