hospitali

Stenoma hospitalis is a moth of the family Depressariidae. It is found in Rio de Janeiro, Brazil.The wingspan is about 29 mm. The forewings are whitish ochreous with the costal edge dark fuscous towards the base. The plical and first discal stigmata are small and ferruginous brown, the plical obliquely posterior. There are two small dark fuscous dots transversely placed on the end of the cell and there is a triangular ferruginous-brown spot on the costa somewhat beyond the middle, and a more elongate one towards the apex. A series of small ferruginous-brown dots is found from the first costal spot strongly curved around beyond the cell, then to two-thirds of the dorsum, and a curved series from the second costal spot to the dorsum before the tornus. There are also some minute marginal dots around the apex and termen. The hindwings are ochreous whitish.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Serikali yaagiza hospitali, zahanati na Vituo vya Afya vya Umma, viweke watu maalum kwa ajili ya kuwahudumia wazee

    Agizo hilo limetolewa 23 Mei 2021, na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma. Dk. Gwajima aliagiza watu hao wawe na sare maalum, zitakazowawezesha wazee kuwatambua. “Kila kituo lazima kiwe na nesi mmoja...
  2. Mpingamkoloni

    JamiiForums Tanzania Ni aibu Hospitali za Kanda Kukosa MRI

    Asubuhi hii niko Idodomya. Nilitumwa na daktari wa Hospitali ya rufaa Mbeya kuja kufanya MRI. Alinipa chaguo la kufika Dodoma au Dar es Salaam. Idodomya ni jirani sana kwangu. Ni mwendo wa masaa matatu. Kinachonihuzunisha sana ni hiki, hivi inakuwaje Hospitali kubwa kama ya Rufaa Mbeya yenye...
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

    Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo. Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo: Waziri Mkuu tunaomba Serikali itupunguzie mzigo wa kodi kwenye shule na hospitali zetu, Tumeelemewa

    Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT nchini Dr Shoo ameiomba serikali ya Rais Samia kuwapunguzia kodi katika shule na hospitali za taasisi za kidini kwani mxigo wa kodi ni mkubwa na umewaelemea. Askofu Shoo ametoa ombi hilo mbele ya waziri mkuu mh Majaliwa katika ibada ya kumuweka kitimi Askofu Mbali...
  5. Ndokeji

    JamiiForums Tanzania NHIF inachangia kuua Huduma za Afya kwa kutolipa madeni ya Hospitali

    Shirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali NHIF imekuwa na...
  6. chakii

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Mpango, kuna Hospitali nyingine zaidi ya Benjamin Mkapa zinazohitaji kusikilizwa changamoto

    Wanabodi... Tunaelewa baada ya Mh Philip Mpango kupitiwa na lile tatizo la Upumuaji na hatimaye akavuka salama baada ya kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma wakati akiwa bado Waziri wa Fedha na Mipango. Ni hakika alishukuru kwa namna wafanyakazi wa Benjamin Mkapa...
  7. beth

    JamiiForums Tanzania Mitambo ya kufua hewa tiba yasimikwa hospitali za mikoa

    Serikali imesimika mitambo ya kufua hewa tiba (oksijeni) katika hospitali za rufaa za mikoa saba Tanzania. Kusimikwa kwa mitambo hiyo kunajibu changamoto za wataalamu wa afya ili kuwahudumia kwa ufanisi wagonjwa wa dharura na kupunguza gharama za uendeshaji wa hospitali hizo na kuwezesha...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Iraq: 82 wafariki baada ya mitungi ya oksijeni kulipuka katika hospitali inayohudumia wagonjwa wa covid-19

    Watu 82 wamefariki wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya mitungi ya oksijeni kulipuka katika hospitali ya Ibn Khatibu ambay ina wagnjwa wa COVID19, Jumamosi Usiku. Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi amemsimamisha kazi Waziri wa Afya ili kupisha uchunguzi wa tukio hilo. === At least...
  9. Ikaria

    JamiiForums Tanzania Mwili wa DMX ukitolewa hospitali New York kwenda kwenye hifadhi ya maiti

    Umati wa mashabiki wajitokeza kutoa heshima kwa nyota wa hip-hop nchini Marekani DMX ambaye alifariki kutokana na kuzidisha dawa za kulevya.
  10. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waganda waiga Watanzania kuleta wenye hela zao kutibiwa hospitali ya Nairobi, Kenya

    Hii Nairobi hospital inazidi kuwa ya msaada mkubwa sana kwa majirani, ila wenye hela zao sio makapuku wanaoimbishwa nyimbo za uzalendo dhidi ya corona huko kwao. Erias Lukwago, Robert Kyagulanyi alias Bobi Wine's lawyer was rushed to the Nairobi hospital on Sunday, April 11, for treatment after...
  11. DR SANTOS

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufanya field katika hospitali ya Nguvu Kazi Chanika

    Poleni na msiba wakuu wa Rais wetu ngangari ndugu JPM, tuliumbwa na Mungu na kwake tutarejea. Moja kwa moja niende kwenye mada. Nasoma ordinary diploma in pharmaceutical science chuo kimoja mkoani. Natamani sana kufanya field jijini Dar es Salaam sasa kuna ndugu yangu mmoja amenieleza kuhusu...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Nitampata wapi Daktari na hospitali nzuri ya macho mzuri?

    Habari wakuu, Ninasumbuliwa na macho, ni hospital gani ya private naweza pata daktari mzuri wa macho siku ya leo? Msaada wenu kwa anayefahamu tafadhali.
  13. U

    JamiiForums Tanzania Taarifa: Prince Philip Amerihusiwa Kutoka Hospitali Aliyolazwa kwa Muda wa Siku 28

    Prince Philip, 99, was admitted to King Edward VII's hospital in Marylebone on 16 February after feeling unwell. He later underwent a successful procedure for a pre-existing heart condition at another London hospital - St Bartholomew's. The 28-night stay was the duke's longest-ever in...
  14. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

    Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kama hospitali ikitoa siri za mgonjwa bila idhini yake au ndugu zake?

    Kwa mfano ikitokea nimelazwa kwenye hospitali na taarifa zangu za ugonjwa zitatolewa na mtu mwingine bila idhini yangu au ndugu zangu, sheria inasemaje kama nikitaka kudai haki yangu? Na international law inasemaje? Naomba waziri wa katiba anajibu, na waziri wa afya anajibu. Hatuwezi kuacha...
  16. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Je, chanjo ya COVID-19 hairuhusiwi kuingizwa hapa nchini na hospitali binafsi au famasia?

    Naomba kujua kama hospitali au pharmacy binafsi inaweza ikaruhusiwa kuingiza chanjo ya corona au Covid19 au ni swala lisilo hitaji kibali. Je, kuna uhitaji wa kibali maalum ili kuingiza chanjo hiyo hapa nchini, maana ni dawa kama dawa zingine au chanjo kama chanjo zingine. Ni sheria ipi...
  17. Mr Putin

    JamiiForums Tanzania Rwanda wasambaza chanjo kwenye hospitali za mikoa

    Ndege ya Qator na KLM zilizobeba chanjo,zilipofika tu!wa katumia Helicopters kusambza kwenye hospitali za mikoa.
  18. COARTEM

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu wa dawa zenye thamani ya Tshs 26.7 billioni wabainika kwenye Hospitali za Rufaa za mikoa 28 Tanzania bara

    Timu ya ukaguzi maalumu kutoka Wizara ya Afya imegundundua ubadhirifu huo wa dawa na vifaa tiba kutoka hospitali hizo za rufaa za mikoa kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia Kula 2019 hadi Desemba 2020. Hayo yametangazwa leo na Waziri wa Afya Dr Dorothy Gwajima wakati akitoa taarifa ya uchuguzi huo...
  19. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila ajibu madai ya Hospitali za Mbeya kujaa wagonjwa

    RC Mbeya, Albert Chalamila akiwa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde kwenye Uzinduzi wa Ofisi Kuu ya Dayosisi na Kanisa Kuu amenena haya kuhusu hospitali mkoani humo kujaa wagonjwa “Wapo Watu wanatishia Watu wanasema Mahospitalini huko kumejaa sana wagonjwa, Serikali ijenge Vituo vya Afya kwa...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Tiger Wood apata ajali mbaya ya gari, akimbizwa hospitali

    Taarifa zinasema kwamba ajali hiyo imetokea mjini California , huku dereva akiwa yeye mwenyewe ambapo ndani ya gari hilo alikuwa peke yake . Huenda akafanyiwa upasuaji . ====== Bingwa mara 15 wa mchezo wa gofu, Tiger Woods amepata ajali ya gari Los Angeles na anafanyiwa upausaji kufuatia...
Back
Top Bottom