Kwa mfano ikitokea nimelazwa kwenye hospitali na taarifa zangu za ugonjwa zitatolewa na mtu mwingine bila idhini yangu au ndugu zangu, sheria inasemaje kama nikitaka kudai haki yangu?
Na international law inasemaje?
Naomba waziri wa katiba anajibu, na waziri wa afya anajibu. Hatuwezi kuacha tabia hovyo za watu wa hovyo kutoa siri za mgonjwa bila idhini ya mhusika au ndugu zake.
Na international law inasemaje?
Naomba waziri wa katiba anajibu, na waziri wa afya anajibu. Hatuwezi kuacha tabia hovyo za watu wa hovyo kutoa siri za mgonjwa bila idhini ya mhusika au ndugu zake.