hana

  1. G Sam

    Picha: Huyu ndiye Mbowe tunayeambiwa kuwa alilewa chakari akabiringika kwenye ngazi ila hana jeraha lingine zaidi ya kifundoni alipovunjika

    Siandiki mengi ila najua mnaelewa kuwa mtu aliyelewa kisha akaanguka bila break hadi akavunjika kifundo cha mguu (Sijui alikuwa kavaa high hills?) Anakuwa katika hali gani hasa usoni na kichwani (Au labda alikuwa kavaa helmet). Kama Mbowe alikuwa kalewa chakarii basi bila shaka alibiringika...
  2. Sifi Leo

    Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

    Nafuatilia Hotuba ya Mh Rais Magufuli akiwa anahutubia Askari Magereza katika sherehe ya uzinduzi wa jengo la ofisi za Magereza, sasa hivi kupitia TBC1 amekiri kuwasamehe wale viongozi wote walioshiriki kusaini mkataba uliokuwa na viashria vya rushwa akiwemo aliyekuwa Kamishina Jenerali wa...
  3. Chizi Maarifa

    Pamoja na kuwa nilimpima akawa hana ngoma. Leo najuta kufanya naye bila Condom

    Huyu dada ni mzuri kwa sura na umbo, amenyimwa akili hilo ndilo ambalo limeutesa moyo wangu sana, kufanya mapenzi direct connection na mwanamke ambaye hana akili ni sawa tu na kupata ngoma kwake. Ni siku 34 exactly toka tumegegedana. Jana akanipigia simu kuwa ana mimba yangu nikashtuka kidogo...
  4. Equation x

    Masikini hana rafiki...

    Urafiki wa kibinadamu unakuwepo pale panapokuwa na sababu maalumu, na hasa pale upande mmoja unaponufaika zaidi kutokana na uwepo wako. Ni vigumu kwa mtu choka mbaya, asiyekuwa na maono n.k kupata rafiki. Na hii inapelekea, asilimia kubwa ya urafiki kuwa wa kimaslai tukipendana kiunafiki, huku...
  5. F

    Magufuli, kama mwanao aliumwa Covid-19? Ulijuaje na wewe hukubaliani na vipimo na upimaji ulishasitishwa? Kama alipona ulijuaje hana virus? Confusion!

    Hotuba ya Magufuli ilikuwa ya hovyo, very controversial and contradictory...Nimeshangazwa na jinsi alivyokuwa akijichanganya. Mwanzo Upimaji nchini Tanzania ulisimamishwa kwa kisingizio kuwa wakipima wengi wanakuwa positive...Je mtoto wake rais ni katika hao False positive, kama rais anaamini...
  6. The Palm Tree

    Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

    Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube. Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku. Ya Rais Magufuli...
  7. Jay One

    CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19

    Habari watanzania wote, upendo na amani vitawale. Usiku saa 2, taarifa ya habari ya Azam TV, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kasema yeye alikuwa na maambukizi ya Corona baada ya kupima, na alianza kutumia majani ya mmea ambao ni ule wa Madagascar wanautumia, alikuwa anatafuna na akataja jina lake...
  8. H

    Harmonize ni msanii aliyekosa ‘Focus’

    Harmonize Ni msanii mzuri aliyekosa focus ajui kipi Cha kusimamia na kipi cha kusimamia leo atakuja na hili kesho yake atakuja na lingine ataacha la mwanzo.Alivyotoka wasafi alianzisha bus la mgahawa wakutoa chakula bure lakini imeishia njiani sasa sijajua alikuwa ana Nia ya dhati au alikuwa...
  9. safuher

    Mwanaume huwa na tamaa akiwa na kipato, mwanamke huwa na tamaa akiwa hana kipato(kafulia)

    Utaona mwanaume mwenye hwezo wa kimali anafanya starehe sana,wanawake anabadilisha,hamueshimu mkewe kila aina ya starehe anafanya yeye hataki lolote,hawazi maendeleo. Akifulia sasa : atampenda mkewe,atakuwa na mipango mingi ya maendeleo,ataheshimu familia na kuwa muaminifu,hakuna tena...
  10. S

    Je, ni kweli kinyonga hupasuka na kunguru hana damu?

    Habari wana JF, Nina maswal mawili yanayonichanganya kchwa chang ktk maisha yangu: 1. Nimesikia kwamba kinyonga anapozaa huwa amapanda kwenye mti mrefu na kujiachia na tumbo kupasuka watoto kutoka na mama hufa. 2. Ni kweli kuwa kunguru hana damu?
  11. muneera75

    Mwenye kalio kubwa sura ya kawaida VS hana kalio kubwa (pasi) sura nzuri...kapuku afu anajua kazi kazi au tajiri ila hajui chochote?

    Boys .. Yupi we una mfeel sana just be honest Mwenye kalio kubwa sura mbaya au ya kawaida tu..au yule hana kalio (pasi)ila sura nzuri Girls Yupi we unampenda sana? Kapuku ila anajua kufanya mapenzi vizuri mpaka unachanganyikiwa? Au yule handsome,ana hela ila kufanya mapenzi kawaidaa yaan..yupi...
  12. LIKUD

    Mahamud Bin Zuberi a.k.a Bin Zubery is the true definition of a person who like what he is doing

    Huyu brother anaujua Mpira wa Tz like no one else. Anawajua wachezaji WA Tanzania. Hakuna mtangazaji na mchambuzi wa soka la bongo anae ujua mpira WA bongo na wachezaji wa soka la bongo kama Mahamud Bin Zuberi. Hakuna mtangazaji WA michezo bongo mwenye kumbukumbu ya mechi za vilabu mbalimbali...
  13. Roving Journalist

    Kesi na. 456 (Jamhuri v JamiiForums): Hukumu yaahirishwa kwa mara ya nne

    Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo Kampuni ya Oilcom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar imeahirishwa tena leo Februari 19, 2020 hadi Aprili 02, 2020. Hukumu hii awali ilipangwa kusikilizwa...
  14. Mwanahabari Huru

    Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD):Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote

    Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote. Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia. Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu...
  15. Nyani Ngabu

    Rais Magufuli amchenjia Makonda?

    Rais Magufuli leo kasema, kama Makonda alizitumia fedha za TASAF, basi na azirudishe. Vilisikika vicheko hafifu na vya chinichini baada ya Rais kusema hivyo. Kamera nazo zikamwonyesha Makonda, aliyekuwa kakaa mbele pamoja na viongozi wengine, akitabasamu kana kwamba hana wasiwasi wowote. Yaani...
  16. Erythrocyte

    Ushuhuda: Tunaposema Shetani hana rafiki hatudanganyi

    Wakuu mtanisamehe sana kwa kuwarudisha nyuma mwaka 2015 kwenye uzinduzi wa bunge Jipya baada ya Uchaguzi Mkuu ambayo ilikuwa ndio siku ya kwanza kabisa kwa Rais mpya kulihutubia bunge hilo jipya na kulizindua. Wabunge wote wa Upinzani waliotokana na (UKAWA) walitoka nje kama ishara ya kupinga...
  17. CalvinKimaro

    Mnadhimu ambaye hana nidhamu; Vituko vya CHADEMA

    Kuna kisa cha wayunani cha kale kuwa kulitokea ubishi nani awe kiongozi wa siku. Wayunani walikuwa wanachagua kiongozi kila siku. Mtu anatawala siku ikipita anachaguliwa mwingine. Mtu hachaguliwi tena mpaka wengine wote wachaguliwe. Ikafika muda walioanza kuchaguliwa wakajihoji: hivi mpaka zamu...
  18. S

    Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

    Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya: Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake. 1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA 2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT 3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe. 4. Sio kila mtu ana AKILI kama...
  19. Mzee Mwanakijiji

    Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

    Na. M. M. Mwanakijiji Naomba kupendekeza kuwa huyu kijana apewe rasmi hati ya kusafiria ya Kibalozi (Diplomatic Passport). Nimekuwa nikifuatilia jinsi anavyoshirikiana na wasanii wengine ndani na nje ya nchi lakini pia jinsi gani anakubalika katika sehemu mbalimbali za Afrika. Nimefuatilia kwa...
  20. Luqman mohamedy

    Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

    Mama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa, kwani hata njaa itamuua. Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini? Hawajui njaa kabisa. Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa. ===== Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo Kikuu...
Back
Top Bottom