Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Nakumbuka 2015 nilihudhuria mikutano mitatu mikubwa ya Lowassa lakini niliishia kufedheheka sana, Huyu ni Kiongozi ambaye nilimpenda tangu nilipomwona mwaka 1994 akiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, alikuwa mahiri mno katika kuzungumza, haiba ya kuvutia na mvuto wa Ujana na pesa.
Nilihudhuria Mkutano wake wakati anatangaza nia Sheikh Amri Abeid Arusha, nikahudhuria kampeni zake Jangwani na Mwanza
Lazima niseme nilifedheheka mno, Watu walihudhuria Kampeni zake kwa Mamilioni lakini tuliishia kuhutubiwa na Sumaye na Mzee Kingunge huku Mgombea Lowassa akionekana kuishiwa maneno kabisa ya kusema, alikuwa mpole mnooo.
Fast forward 2020, tunaye Mgombea wa CCM.
Anatembea na Kitabu cha Ilani ya chama chake lakini the most anaweza kusema ni kutaja idadi ya kurasa katika kijitabu hicho, Hana akimaliza kutaja Idadi ya kurasa ya kijitabu hicho anakumbuka Madaraja yake, Flyovers zake na ndege zake, kuna shida gani hadi anakuwa fixated na Haya matofali tu?
Anapata Maelfu ya Watu(watoto na wasanii to be precise) lakini hana cha kuwaambia yani, sana sana akifungua mdomo anashia kugombana na voters na kuwatisha Badala ya kuomba kura, kheee!
Naamini kina Bashiru Watakuwa wamempiga lectures za kutosha kuhusu mambo anayopaswa kuongea, lakini Sasa anaishia tu kucheza Muziki wa Lissu. JK atakuwa anacheka mnooo.
Mgombea wa CCM come on man, wewe ni Rais eti Acha mzaha, kuwa serious kidogo kwenye Kampeni zako, BE BOLD AND REQUEST MDAHALO NA LISSU ikibidi umwage sera zako🤔
Nilihudhuria Mkutano wake wakati anatangaza nia Sheikh Amri Abeid Arusha, nikahudhuria kampeni zake Jangwani na Mwanza
Lazima niseme nilifedheheka mno, Watu walihudhuria Kampeni zake kwa Mamilioni lakini tuliishia kuhutubiwa na Sumaye na Mzee Kingunge huku Mgombea Lowassa akionekana kuishiwa maneno kabisa ya kusema, alikuwa mpole mnooo.
Fast forward 2020, tunaye Mgombea wa CCM.
Anatembea na Kitabu cha Ilani ya chama chake lakini the most anaweza kusema ni kutaja idadi ya kurasa katika kijitabu hicho, Hana akimaliza kutaja Idadi ya kurasa ya kijitabu hicho anakumbuka Madaraja yake, Flyovers zake na ndege zake, kuna shida gani hadi anakuwa fixated na Haya matofali tu?
Anapata Maelfu ya Watu(watoto na wasanii to be precise) lakini hana cha kuwaambia yani, sana sana akifungua mdomo anashia kugombana na voters na kuwatisha Badala ya kuomba kura, kheee!
Naamini kina Bashiru Watakuwa wamempiga lectures za kutosha kuhusu mambo anayopaswa kuongea, lakini Sasa anaishia tu kucheza Muziki wa Lissu. JK atakuwa anacheka mnooo.
Mgombea wa CCM come on man, wewe ni Rais eti Acha mzaha, kuwa serious kidogo kwenye Kampeni zako, BE BOLD AND REQUEST MDAHALO NA LISSU ikibidi umwage sera zako🤔