Victor Njau mtia nia ubunge Arusha Mjini (CCM) aokotwa akiwa hana fahamu na majeraha mwilini, alazwa hospitali ya Mt. Meru

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,509
141,237
Mgombea ubunge wa Arusha mjini kupitia CCM Victor Njau ameokotwa akiwa na majeraha huku amepoteza fahamu.

Hivi karibuni Njau aliwatuhumu wagombea wenzake kuwa wametoa rushwa iliyotukuka kwenye zoezi la kura za maoni.

Victor Njau amelazwa katika hospitali ya Mt. Meru.
20200813_164133.jpg
 
No. Serikali inyamazie mambo yote ila sio uhalifu dhidi ya binadamu.
 
Back
Top Bottom