Baada ya wajumbe kutathini mwenendo wa namna bw. Lissu anavyotafuta wadhamini huko mikoani, hofu na giza kuu limetamalaki hapo UFIPA, baada ya kuona muda wote Lisu ni mtu wa kutukana Serikali iliyopo madarakami na kushawishi wananchi waingie barabarani pindi jina lake lisiporudi kwa ajili ya kampeni ya kuwania urais wa JMT.
Wajumbe wamethibitisha kuwa yawezekana huyu ana agenda yake aliyotoka nayo huko kwa mabeberu, kwani haiwezekani ahofie jina lake kukatwa, mbona wengine hawana hofu kama ACT, CUF, CCM, n.k. na wanatafuta wadhamini huko mikoani kimyakimya.
Hofu inakuwa yawezekana kwa matendo yake anayoyafanya wakati wa kutafuta wadhamini anajua dhahili atakosa sifa za kuteuliwa hivyo nafanya hivyo kuitishia NEC ili wasifanye maamuzi ya kuteua kwa kufuta misingi, sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa kumuogopa Lisu afanyiwe anavyotaka yeye ateuliwe hata kama hana sifa.
Wajumbe wameona mwenendo huo wa kuhamasisha vurugu kwa ajili ya uvunjifu wa amani wanajuta wanaona ni heri wangeendelea na Bw. Nyalandu ambaye alikuwa mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni, kwani anazo sifa za kufanya kampeni za ustaarabu zisizo kuwa na chuki miongoni mwa Watanzania.
Pia wanasema chama hakina pesa za kukodi helcopter kutoka Kenya, ya kumzungusha nchi nzima na kuwalipa waandishi wa habari kwa muda wa siku sitini na kulipia Redio na TV. wanahofu ya mgombea wao kutopata mvuto kwa wananchi wa Tanzania bara na visiwani. Mwenyekiti wao alisikika akisema ni heri wangempitisha BW. NYALANDU yeye anaukwasi ambao unaweza kufanya kampeni bila wasiwasi wowote na kuwalipa waandishi na TV zote kwa kipindi chote cha kampeni. Wanajipanga kupitisha bakuli kwa wananchi ili wanusulu kampeni zao.
Wajumbe wamethibitisha kuwa yawezekana huyu ana agenda yake aliyotoka nayo huko kwa mabeberu, kwani haiwezekani ahofie jina lake kukatwa, mbona wengine hawana hofu kama ACT, CUF, CCM, n.k. na wanatafuta wadhamini huko mikoani kimyakimya.
Hofu inakuwa yawezekana kwa matendo yake anayoyafanya wakati wa kutafuta wadhamini anajua dhahili atakosa sifa za kuteuliwa hivyo nafanya hivyo kuitishia NEC ili wasifanye maamuzi ya kuteua kwa kufuta misingi, sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa kumuogopa Lisu afanyiwe anavyotaka yeye ateuliwe hata kama hana sifa.
Wajumbe wameona mwenendo huo wa kuhamasisha vurugu kwa ajili ya uvunjifu wa amani wanajuta wanaona ni heri wangeendelea na Bw. Nyalandu ambaye alikuwa mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni, kwani anazo sifa za kufanya kampeni za ustaarabu zisizo kuwa na chuki miongoni mwa Watanzania.
Pia wanasema chama hakina pesa za kukodi helcopter kutoka Kenya, ya kumzungusha nchi nzima na kuwalipa waandishi wa habari kwa muda wa siku sitini na kulipia Redio na TV. wanahofu ya mgombea wao kutopata mvuto kwa wananchi wa Tanzania bara na visiwani. Mwenyekiti wao alisikika akisema ni heri wangempitisha BW. NYALANDU yeye anaukwasi ambao unaweza kufanya kampeni bila wasiwasi wowote na kuwalipa waandishi na TV zote kwa kipindi chote cha kampeni. Wanajipanga kupitisha bakuli kwa wananchi ili wanusulu kampeni zao.