Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Leo hii mtu aliyedhania hana madhara anatusumbua kila kona, Mgombea wetu anashindwa kulala Kwa amani kutwa anatafuta point za kumjibu Lissu, Leo hii kila kona ukipita Lissu ,Lissu.
Tunakuambia Jaji Kwa kuwa wewe ndio hukusikiliza mawazo ya chama kilicho kuweka hapo, ukaamua kufuata yako ndio wewe mwenyewe sasa utafute namna na uhakikishe Lissu hashindi uchaguzi huu. Tulikushauri hukusikia sasa pambana na hali yako kwa sababu umejipa kazi uliyoitaka, sisi wana CCM hatuwezi tena kupambana naye, wewe NA wasaidizi wako naomba pambanane huko, kuhakikisha jahazi halizami
Tunakuambia Jaji Kwa kuwa wewe ndio hukusikiliza mawazo ya chama kilicho kuweka hapo, ukaamua kufuata yako ndio wewe mwenyewe sasa utafute namna na uhakikishe Lissu hashindi uchaguzi huu. Tulikushauri hukusikia sasa pambana na hali yako kwa sababu umejipa kazi uliyoitaka, sisi wana CCM hatuwezi tena kupambana naye, wewe NA wasaidizi wako naomba pambanane huko, kuhakikisha jahazi halizami