haki

  1. T

    Kalogeresi M/kiti CCM mkoa wa Morogoro amefanya udalali kufikisha rushwa ya Abood na Shabiby kwa wajumbe Kamati ya Siasa Mkoa na kwa Polepole

    Upo ushahidi wa wazi kuwa matajiri wa hapa Morogoro wametengeneza mtandao mkali wa kujinemesha kupitia maliasili zilizojaa hapa Morogoro. Walitengeneza mfuko maalumu wa kuhonga viongozi wa wilaya, mkoa na mpaka taifa. Mfuko huo uko chini ya Abbod Azizi mbunge wa Morogoro mjini anayeomba...
  2. Serikali kutumia kigezo cha kujitolea kuajiri Walimu siyo haki

    Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa. Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali...
  3. Serikali na DPP mnakwamisha sana Haki

    Kumekuwa na Kundi kubwa sana la wananchi wakisota Rumande kwa kile kinachotajwa kuwa "UPELELEZI HAUJAKAMILIKA" hii kitu imekuwa adui mkubwa sana wa haki za watuhumiwa. Kuna jamaa flani hapa mtaani amekaa rumande/jela kwa miaka miwili kwa kesi ya uhujumu uchumi, alikuwa mtuhumiwa namba mbili...
  4. GE2020 Je, kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi kunachangia kwa kiasi kikubwa kutokuwa na Uchaguzi usio Huru na wa Haki?

    Tunapoelekea kipindi cha kampeni tuna tegemea hoja nzito haswa kutoka kwa wagombea wa upinzani kuhusu serikali ya awamu ya tano kushindwa kuweka mifumo ambayo ingewezesha tume huru ya uchaguzi kuwepo. Lazima tufahamu kwamba Tume Huru ya Uchaguzi ni shirika linalo jitegemea pamoja na kuwa na...
  5. R

    Tundu Lissu ni mjanja sana. Tafadhali msimguse. Mwache ashindwe au ashinde kwa haki

    Niwajulishe tu wenzangu na mimi kuhusu Lissu na namna ninavyoweza kumchukulia. Iko wazi kuwa Tundu Lissu ni kijana/Mzee mwenye uwezo mkubwa kiakili. Hili linaweza kuthibitishwa na watu wanaofanya nae kazi na hata sisi watu wa siasa. Huko kwenye taaluma yake mambo ya haki, sheria na wajibu ndio...
  6. Tujikumbushe mambo kuhusu mpigania haki za Watanzania na nini kilichotokea kutoka kuwa mwiba kwa MIGA na Wold Bank mpaka kutetea mikataba ya MIGA

    Hapo chini ni habari ya mwaka 2003 kuhusu mapigano makali ya kutetea haki za wananchi takribani 62 waliohofiwa kuuawa na serikali wakati wa kuwanyang'anya maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo na kuyapatia makampuni makubwa ya mabeberu na jinsi mwanaharakati mahiri Tundu Lissu alivyopitia...
  7. CUF: Tunatarajia Uchaguzi Mkuu utakuwa wa Uhuru na Haki. Yeyote atakayetutikisa tutamwangusha kama papai mtini

    TUNATARAJIA UCHAGUZI MKUU UTAKUWA WA UHURU NA HAKI, YEYOTE ATAKAYETUTIKISA TUTAMWANGUSHA KAMA PAPAI MTINI" KATIBU MKUU CUF HAROUB MOHAMMED SHAMIS Ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu Maalum wa kuwachagua wagombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar uliyofanyika julai...
  8. Ipo nafasi yako itendee haki usishindane sana

    IPO NAFASI NAFASI YAKO, FANYA YANAYOKUHUSU. Maisha siyo vita wala kupambana sana ili kuwazidi wengine, maisha pia siyo kusubiri wakati tunaouita mzuri na majaliwa tu halikadhalika maisha siyo kile unachoambiwa au kukiona kwa wengine ila ni vile unavyoishi wewe. Tafsiri sahihi ya maisha yako...
  9. Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Historia ya Benjamin Mkapa MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA WANANCHI WASIMAMA BARABARANI KUAGA MWILI WA RAIS MKAPA Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, wameonekana wakisimama barabara kuonyesha heshima kwa...
  10. Udikteta na ukandamizaji haki wa Serikali za vyama kongwe vinavyotawala hadi leo. Sababu...

    Mifano ni mingi lakini chukulia chukulia mifano ya hivi vyama na inchi husika hapa chini . 1. CPDM cha Cameroon 2. CCM cha Tanzania 3. ZANUPF cha Zimbabwe 4. Frelimo cha msumbiji 5. PDG huko garbon Utagundua kwamba inchi zote tajwa hapo juu serikali zao zinaongozwa na vyama kongwe vilivyopokea...
  11. Kamati ya Haki za Binadamu ya (IPU) yazitaka mamlaka nchini Tanzania kumuhakikishia Tundu Lissu usalama wake pindi atakaporejea nchini

    Kamati ya haki za binadamu (IPU) imezitaka mamlaka husika nchini Tanzania kuhakikisha usalama wa kiongozi huyo pindi atakaporejea nchini. Aidha, kamati hiyo inadai kuwa tangu Tundu Lissu atangaze nia ya kurejea nchini hivi karibuni imekuwa ikilifuatilia suala hilo kwa ukaribu. Mh. Tundu Lissu...
  12. Dodoma: Polisi wanayashikilia magari 25 kukiuka amri ya IGP kwa kuyafunga magari yao ving’ora na taa kali

    Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limefanikiwa kuyakamata magari 25 kwa kukiuka amri ya IGP kwa kuyafunga magari yao ving’ora na taa kali pamoja na gari jingine jipya aina ya Probox kukutwa likitumia namba ambazo zipo kwenye gari lingine. Akizungumza mbele ya waandishi wa habari Jijini Dodoma...
  13. J

    Uchaguzi huru na haki maana yake nini?

    Je, mpinzani akishinda ndiyo huru na haki? Au kuna vigezo vingine?
  14. Shibuda: Rais Magufuli hakufurahishwa na yaliyotendeka kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Uchaguzi Mkuu uwe wa Haki na Usawa

    JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amesema Rais John Pombe Magufuli, aliumizwa na sintofahamu iliyojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa tarehe 24 Novemba 2019. Shibuda amesema hayo leo Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 wakati akizungumza katika warsha ya wadau...
  15. T

    Rais Magufuli unawaonesha cha kuwatendea Watumishi wa Umma lakini Ndumbaro na Mkuchika wao hawajui kuitenda hiyo haki hata sasa

    Rais wangu hujali gharama, anatoka mtu unaweka mtu. Hata kama katoka ncha nyingine ya nchi hujali gharama za kumhamisha. Unawapa ulaji. Hasa wale watumishi wenye elements za kiutumishi. Safi sana! Aliyechukua nafasi ya Katambi wa Dodoma anatoka Geita, anakuja kulipwa mahela na masalahi mengine...
  16. R

    GE2020 Uchaguzi Huru na wa Haki, ni haki ya Wananchi wala siyo hisani ya Watawala ama Viongozi walio madarakani

    "Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa" Tunapoelekea Uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani ni vyema tukawakumbusha waliopewa dhamana ya kusimamia zoezi upigaji na uhesabuji kura kuwa, ni haki ya wananchi kutangaziwa matokeo sahihi kulingana na jinsi...
  17. Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

    Matokeo ya yaliyompa ushindi Dr Hussein Mwinyi katika kikao Cha halmashauri k ya chama nec yalikuwa Kama ifuatavyo ,Nahodha 16, Khalid 19 jumla 35 ambazo ndio idadi kamili ya wajumbe wa Zanzibar na kura 129 Za Hussein Mwinyi ambazo na za wajumbe wote wa Tanzania barabara ,haki ya Wazanzibar...
  18. Unyonge isiwe sababu ya kuwanyima watanzania haki zao! Unyonge wenyewe, umesababishwa na mafisadi wa CCM!

    Wanajamvi, Ni kweli kabisa, uchumi wa kati matokeo yake yangeonekana kwa watu mtaani. Hata WB kauli yao ingekuwa ya ziada tuu... Kama tungepewa mpango wa Taifa na ukawa unafuatwa, bila ya kujali ni chama gani kipo madarakani, basi wananchi tusingekuwa na shida. Lakini nadhani ccm wanaamini...
  19. Ujumbe kutoka kwa Askofu Mwamakula: Haki haiwezi kufa

    SAUTI YA ASKOFU KWA WATETEZI WA HAKI KATIKA JAMII! Haki haiwezi kufa! Mtu anaweza kuwaua watetezi wa haki, lakini hawezi kufanikiwa kuiua haki! Haki haiwezi kununuliwa! Mtu anaweza kuwanunua wapigania haki, lakini hawezi kuinunua haki yenyewe! Haki haitishwi! Mtu anaweza kuwatisha watetezi wa...
  20. B

    Haki msingi wa amani, na haki ni kwa wote, kokote, bila ubaguzi - Jenerali Ulimwengu

    9 Julai 2020 Haki msingi wa amani, na haki ni kwa wote, kokote, bila ubaguzi - Jenerali Ulimwengu Source : Jenerali Online Dhana ya Msamaria Mwema niliyoitumia kuhitimisha makala yangu ya mwisho ni muhimu sana katika falsafa ya kisasa kwa maana kwamba inaelezea wema unaotendwa na mtu ambaye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…