Serikali kutumia kigezo cha kujitolea kuajiri Walimu siyo haki

Honorable GPA

Senior Member
Mar 31, 2019
149
223
Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa.

Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali ilisisitiza vijana kujiajiri kwa lengo la kujikwamua kimaisha kwa kipindi chote wakisubiria fursa za ajira zitakapotangazwa.

Kweli! Baada ya matamko hayo vijana wengi walianza kutafuta fursa kila mahali! Kwenye mashirika, shule binafsi, kufungua mabanda ya chips, kulima bustani etc.

Lakini! Leo katika hali ya kushangaza serikali inapita kuchukua majina ya walimu wanaojitolea shule za serikali ili wapatiwe ajira za moja kwa moja!

Kinacho nisikitisha ni namna zoezi hili lilivyofanywa! Mfano mimi nilipomaliza chuo 2017 nilienda kujitolea sekondari fulani hapa jijini Dar! Lakini mazingira niliyokutana nayo ikiwemo kunyanyaswa kingono na walimu waajiriwa na gharama za nauli 800 kwa siku! kusema kweli ilifikia hatua nikashindwa kuendelea!

Mwaka huu mwezi wa pili! Wilaya ya temeke ilipotanga uhitaji wa walimu wa kujitolea nilienda kwa bahati mbaya huko nako nilipofika nikaambiwa wameshajaa hawahitaji tena!

Kwahiyo! Serikali inapotaka walimu waliojitolea ndio waajiriwe tu naona kabisa haitutendei haki ni bora ajira ziwe kwa wote ila wakujitolea wapewe kipaumbele kwanza!

Kitu kingine! Kwenye utumaji majina si kweli majina yote yaliyotumwa walikuwa wakijitolea! Wengine wameandikwa baada ya kusikia ofisi ya Rais- tamisemi inayahitaji. Yaani mkuu wa shule anamwandika ndugu yake kisha anamwambia awe anajisogeza sogeza hapo shuleni ili siku team ya tamisemi ikipita kufanya ukaguzi imkute!

Sisi ambao hatujuani na hatukuwa na hela za kuwaonga wakuu wa shule watume majina yetu naona giza tuturu kwa upande wetu! naomba serikali ilitazame upya suala la kujitolea kwa mapana zaidi ili na sisi wanyonge tupate fursa ya ajira!
 
Lakini katika hali ya kawaida, iwapo kuna mtu alikubali kujitolea bure au kwa malipo kidogo na mkashikiana naye katika wakati mgumu, inapopatikana nafasi kwanini asianze kupewa yeye kwanza? Hilo mbona ni jambo la kawaida sana katika ofisi nyingi duniani? Na serikali imefanya hivyo mara nyingi tu katika miaka ya nyuma. Hata ofisi nyingi kuna watu wameajiriwa kupitia utaratibu huo kwahiyo si kitu kigeni wala.

Kama wewe ungekuwa na kampuni yako na mtu akaomba kujitolea kupata uzoefu. Katika kufanya hivyo akatoa mchango kwenye kampuni kuendesha kazi zake kwa gharama nafuu, ikipatikana fedha na unahitaji kuajiri utaacha kumfikiria kwanza? Tunapolaumu tujiulize pia kwanza.

Mimi naunga mkono hili la kuwaajiri kwanza wote ambsao walikubali kujitolea. nafasi zitakazobaki ndiyo wapewe ambao hawakufanya hivyo kwa ushindani wa kawaida.
 
Lakini katika hali ya kawaida, iwapo kuna mtu alikubali kujitolea bure au kwa malipo kidogo na mkashikiana naye katika wakati mgumu, inapopatikana nafasi kwanini asianze kupewa yeye kwanza? Hilo mbona ni jambo la kawaida sana katika ofisi nyingi duniani? Na serikali imefanya hivyo mara nyingi tu katika miaka ya nyuma. Hata ofisi nyingi kuna watu wameajiriwa kupitia utaratibu huo kwahiyo si kitu kigeni wala.

Kama wewe ungekuwa na kampuni yako na mtu akaomba kujitolea kupata uzoefu. Katika kufanya hivyo akatoa mchango kwenye kampuni kuendesha kazi zake kwa gharama nafuu, ikipatikana fedha na unahitaji kuajiri utaacha kumfikiria kwanza? Tunapolaumu tujiulize pia kwanza.

Mimi naunga mkono hili la kuwaajiri kwanza wote ambsao walikubali kujitolea. nafasi zitakazobaki ndiyo wapewe ambao hawakufanya hivyo kwa ushindani wa kawaida.


Hii Serikali wasanii tu. Mke wangu ni Mwalimu wa Physics alikuwa anajitolea kufundisha shule moja kwenye Municipal moja,ajira zilivyotangazwa headmaster wa hiyo secondary akamuandikia recommandation kwamba anamuhitaji na ikipitishwa na DED. Ajira zilipotoka akapangiwa mkoa wa mbali huko yaan 2000km kutoka tulipo tena vijijini hata network ni shida. Kuna classmate wangu yupo TAMISEMI kanihangaikia ili abadilishiwe kashindwa anaambiwa ni maagizo kutoka juu hakuna kubadilisha. Hiyo ilikuwa 2017.
 
Nina walimu shuleni nawafahamu wanajitolea since march 2019 until now
Tuache Kulia lia mwalimu kajitolee bush huko utapata ajira

Sasa wewe unajitolea shule yenye walimu 30 mjini unategemea nini?

Tafuta kipori chako fulani hivi amazing jitolee huko uone. Mwajiri wala hatauliza amini ajira inakukuta humohumo
Watu hawana skills za kutosha za kumshawishi mwajiri awaajiri ndio shida.

Kajitolee porini achana na majiji au manespaa ingia kijijini huko
 
Nina walimu shuleni nawafahamu wanajitolea since march 2019 until now
Tuache Kulia lia mwalimu kajitolee bush huko utapata ajira
Sasa wewe unajitolea shule yenye walimu 30 mjini unategemea nini?
Tafuta kipori chako fulani hivi amazing jitolee huko uone. Mwajiri wala hatauliza amini ajira inakukuta humohumo
Watu hawana skills za kutosha za kumshawishi mwajiri awaajiri ndio shida.
Kajitolee porini achana na majiji au manespaa ingia kijijini huko
Kujitolea wala siyo issue sana! Lakini je utaishije huko vijijini?
 
Hii Serikali wasanii tu. Mke wangu ni Mwalimu wa Physics alikuwa anajitolea kufundisha shule moja kwenye Municipal moja,ajira zilivyotangazwa headmaster wa hiyo secondary akamuandikia recommandation kwamba anamuhitaji na ikipitishwa na DED. Ajira zilipotoka akapangiwa mkoa wa mbali huko yaan 2000km kutoka tulipo tena vijijini hata network ni shida. Kuna classmate wangu yupo TAMISEMI kanihangaikia ili abadilishiwe kashindwa anaambiwa ni maagizo kutoka juu hakuna kubadilisha. Hiyo ilikuwa 2017.
Ajira zinapangwa kulingana na uhitaji, huko bush ndiko kwenye uhitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Serikali wasanii tu. Mke wangu ni Mwalimu wa Physics alikuwa anajitolea kufundisha shule moja kwenye Municipal moja,ajira zilivyotangazwa headmaster wa hiyo secondary akamuandikia recommandation kwamba anamuhitaji na ikipitishwa na DED. Ajira zilipotoka akapangiwa mkoa wa mbali huko yaan 2000km kutoka tulipo tena vijijini hata network ni shida. Kuna classmate wangu yupo TAMISEMI kanihangaikia ili abadilishiwe kashindwa anaambiwa ni maagizo kutoka juu hakuna kubadilisha. Hiyo ilikuwa 2017.
Ww njemba vip? Afadhari huyo kapata, kuna wengine wanaitaman hata hiyo ya mbali
 
Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa.

Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali ilisisitiza vijana kujiajiri kwa lengo la kujikwamua kimaisha kwa kipindi chote wakisubiria fursa za ajira zitakapotangazwa.

Kweli! Baada ya matamko hayo vijana wengi walianza kutafuta fursa kila mahali! Kwenye mashirika, shule binafsi, kufungua mabanda ya chips, kulima bustani etc.

Lakini! Leo katika hali ya kushangaza serikali inapita kuchukua majina ya walimu wanaojitolea shule za serikali ili wapatiwe ajira za moja kwa moja!

Kinacho nisikitisha ni namna zoezi hili lilivyofanywa! Mfano mimi nilipomaliza chuo 2017 nilienda kujitolea sekondari fulani hapa jijini Dar! Lakini mazingira niliyokutana nayo ikiwemo kunyanyaswa kingono na walimu waajiriwa na gharama za nauli 800 kwa siku! kusema kweli ilifikia hatua nikashindwa kuendelea!

Mwaka huu mwezi wa pili! Wilaya ya temeke ilipotanga uhitaji wa walimu wa kujitolea nilienda kwa bahati mbaya huko nako nilipofika nikaambiwa wameshajaa hawahitaji tena!

Kwahiyo! Serikali inapotaka walimu waliojitolea ndio waajiriwe tu naona kabisa haitutendei haki ni bora ajira ziwe kwa wote ila wakujitolea wapewe kipaumbele kwanza!

Kitu kingine! Kwenye utumaji majina si kweli majina yote yaliyotumwa walikuwa wakijitolea! Wengine wameandikwa baada ya kusikia ofisi ya Rais- tamisemi inayahitaji. Yaani mkuu wa shule anamwandika ndugu yake kisha anamwambia awe anajisogeza sogeza hapo shuleni ili siku team ya tamisemi ikipita kufanya ukaguzi imkute!

Sisi ambao hatujuani na hatukuwa na hela za kuwaonga wakuu wa shule watume majina yetu naona giza tuturu kwa upande wetu! naomba serikali ilitazame upya suala la kujitolea kwa mapana zaidi ili na sisi wanyonge tupate fursa ya ajira!
Kama una mishe zako endelea tu kuajiriwa ni utumwa kama vip nichek pm,
 
Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa.

Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali ilisisitiza vijana kujiajiri kwa lengo la kujikwamua kimaisha kwa kipindi chote wakisubiria fursa za ajira zitakapotangazwa.

Kweli! Baada ya matamko hayo vijana wengi walianza kutafuta fursa kila mahali! Kwenye mashirika, shule binafsi, kufungua mabanda ya chips, kulima bustani etc.

Lakini! Leo katika hali ya kushangaza serikali inapita kuchukua majina ya walimu wanaojitolea shule za serikali ili wapatiwe ajira za moja kwa moja!

Kinacho nisikitisha ni namna zoezi hili lilivyofanywa! Mfano mimi nilipomaliza chuo 2017 nilienda kujitolea sekondari fulani hapa jijini Dar! Lakini mazingira niliyokutana nayo ikiwemo kunyanyaswa kingono na walimu waajiriwa na gharama za nauli 800 kwa siku! kusema kweli ilifikia hatua nikashindwa kuendelea!

Mwaka huu mwezi wa pili! Wilaya ya temeke ilipotanga uhitaji wa walimu wa kujitolea nilienda kwa bahati mbaya huko nako nilipofika nikaambiwa wameshajaa hawahitaji tena!

Kwahiyo! Serikali inapotaka walimu waliojitolea ndio waajiriwe tu naona kabisa haitutendei haki ni bora ajira ziwe kwa wote ila wakujitolea wapewe kipaumbele kwanza!

Kitu kingine! Kwenye utumaji majina si kweli majina yote yaliyotumwa walikuwa wakijitolea! Wengine wameandikwa baada ya kusikia ofisi ya Rais- tamisemi inayahitaji. Yaani mkuu wa shule anamwandika ndugu yake kisha anamwambia awe anajisogeza sogeza hapo shuleni ili siku team ya tamisemi ikipita kufanya ukaguzi imkute!

Sisi ambao hatujuani na hatukuwa na hela za kuwaonga wakuu wa shule watume majina yetu naona giza tuturu kwa upande wetu! naomba serikali ilitazame upya suala la kujitolea kwa mapana zaidi ili na sisi wanyonge tupate fursa ya ajira!
Hizo ajira zinatoka lini ?
 
Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa.

Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali ilisisitiza vijana kujiajiri kwa lengo la kujikwamua kimaisha kwa kipindi chote wakisubiria fursa za ajira zitakapotangazwa.

Kweli! Baada ya matamko hayo vijana wengi walianza kutafuta fursa kila mahali! Kwenye mashirika, shule binafsi, kufungua mabanda ya chips, kulima bustani etc.

Lakini! Leo katika hali ya kushangaza serikali inapita kuchukua majina ya walimu wanaojitolea shule za serikali ili wapatiwe ajira za moja kwa moja!

Kinacho nisikitisha ni namna zoezi hili lilivyofanywa! Mfano mimi nilipomaliza chuo 2017 nilienda kujitolea sekondari fulani hapa jijini Dar! Lakini mazingira niliyokutana nayo ikiwemo kunyanyaswa kingono na walimu waajiriwa na gharama za nauli 800 kwa siku! kusema kweli ilifikia hatua nikashindwa kuendelea!

Mwaka huu mwezi wa pili! Wilaya ya temeke ilipotanga uhitaji wa walimu wa kujitolea nilienda kwa bahati mbaya huko nako nilipofika nikaambiwa wameshajaa hawahitaji tena!

Kwahiyo! Serikali inapotaka walimu waliojitolea ndio waajiriwe tu naona kabisa haitutendei haki ni bora ajira ziwe kwa wote ila wakujitolea wapewe kipaumbele kwanza!

Kitu kingine! Kwenye utumaji majina si kweli majina yote yaliyotumwa walikuwa wakijitolea! Wengine wameandikwa baada ya kusikia ofisi ya Rais- tamisemi inayahitaji. Yaani mkuu wa shule anamwandika ndugu yake kisha anamwambia awe anajisogeza sogeza hapo shuleni ili siku team ya tamisemi ikipita kufanya ukaguzi imkute!

Sisi ambao hatujuani na hatukuwa na hela za kuwaonga wakuu wa shule watume majina yetu naona giza tuturu kwa upande wetu! naomba serikali ilitazame upya suala la kujitolea kwa mapana zaidi ili na sisi wanyonge tupate fursa ya ajira!

Usife moyo, Lakini ulichoandika kinaumiza.
 
Nyie mnaosema aende tu huko vijijini nyie mpo huko?

Sehemu ambayo haina maji, zahanati, unakuta kuna kaduka cha dawa kameandikwa jina tu, lakini ndani hakuna hata Aspirin!, unaweza vipi kuishi eneo kama hilo ukiwa na proper mind ili uweze kwenda kufundisha watoto darasani wakuelewe?

Kwanini hao watu wanaowaunganisha ndugu zao maeneo ya mijini wasiwapeleke na huko vijijini, kwani nao si wana tatizo la ajira, na ajira zipo huko mashambani kama mnavyosema, basi nao wapelekwe huko.

Vinginevyo mnaonekana selfish, mnamsukimia mwenzenu kijijini wakati nyie mko mijini, always talk is very cheap for the blind.

Ni bora mtu ujipange ufanye hata biashara, kama ni kilimo ujue mazao gani yana market eneo ulilopo, tembea kwenye mitandao kama huku JF kuna majukwaa kama la kilimo, biashara soma huko utapata idea zitakazo kuwezesha kupiga hatua kwenda mbele.

Kama suala ni mtaji unaweza tafuta watu muungane kikundi mchange pesa mfanye kitu, hizi ajira nyingi ni maumivu tu, mshahara mdogo halafu unapoteza muda mwingi, au unaweza kuifanya hiyo kazi ya ualimu kwa muda fulani ukishapata mtaji then wachana na hiyo kazi kafanye kitu kingine.
 
Back
Top Bottom