MAHAKAMA Kuu Kanda ya Kigoma, imewaachia huru washtakiwa 11 waliokuwa wakikabiliwa na kosa la kuua kwa kukusudia askari wawili wa Jeshi la Polisi na kukata sehemu za siri za mmoja wa askari hao katika mapigano yaliyotokea wakati wa kuwaondoa wananchi waliovamia eneo la Hifadhi ya Ranchi za Taifa...
Vyombo vya habari kutangaza kwa usawa kampeni za vyama vya siasa ni moja ya vigezo vya uchaguzi ulio huru na wa haki.
Siyo sawa hata kidogo kwa CCM kuvikataza vyombo vya habari kutangaza kampeni za vyama vingine vya siasa.
Tume ya Uchaguzi inapaswa kuingilia kati suala hili.
Kwa wewe Mtanzania mpenda Haki popote ulipo Itumie hiyo simu yako Kama silaha.
Natambua simu nyingi Zina kamera,tumieni kamera hizo wakati wote kurekodi tukio lolote lenye kunyima Haki,uonevu,dhuluma ama kitendo chochote chenye uvunjifu wa amani kipindi hiki Cha Uchaguzi Mkuu.
Kuweni waangalifu...
Umoja wa Ulaya unaandaa vikwazo dhidi ya maafisa wa Belarus ambao walihusika na ukandamizaji unaofanywa baada ya uchaguzi dhidi ya waandamanaji ambao umesababisha umwagikaji wa damu.
Idhini ya kutayarisha vikwazo ilitolewa na mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya...
Siku moja au mbili kabila ya kurejea nchini,Lissu alihojiwa na chombo kimoja cha habari kuhusu swala zima la uchaguzi na iwapo uchaguzi itakuwa huru na wa haki.
Nakumbuka Lissu alijibu kwa kusema:Issue sio uchaguzi huru na wa haki, kwani hilo halitaraji, bali issue ni je,tutaendelea na maisha...
Nikifa kwa ajili ya mapambano ya haki msinililie, bali muenzi na kuendeleza niliyofanya na kuyasimamia. Naona si salama na si haki kufikia bei na kutelekeza mapambano (Zaburi 35)!
If I die for this cause [justice] do not eulogise me, but cherish what I did and stood for! For it is neither safe...
Kwangu Mimi GENTAMYCINE hawa Wafuatao ndiyo nawaona 'Mawakili' mahiri kabisa wa Kujitegemea nchini Tanzania na hawashindwi ng'o Kesi yoyote ile...
1. Fatma Karume
2. Peter Kibatala
3. Tundu Lissu
4. Jebra Kambole
5. Bernard Morrison ( aliyekuwa Mchezaji wa Sokwe Mbwa Nyani FC na sasa kahamia...
Kitendo cha kamati kuu ya CHADEMA kumpitisha Tundu Lissu kuwa mgombea wa urais huku ikimuweka pembeni bilionea Lazaro Nyalandu ni cha kizalendo ndani ya chama.
Niwapongeze wajumbe wa CHADEMA kwa kutoyumbishwa na kurudia makosa ya kuzungusha mikono kama 2015. Hapa Lumumba tunasubiria majina ya...
Mimi si mwanasiasa.
Mimi si mpenzi wau mfuasi wa Lissu(actually nimekuwa nikipinga mambo mengi ya Lissu na maneno yake)
Mimi ni mtanzania huru chini ya katiba ya nchi ya Tanzania.
Kinachonishangaza ni juhudi za watu fulani ndani ya serikali kukiuka uhuru wa Mtanzania wa kawaida kupata habari na...
Swali: Iwapo ikatokea Tume ya Uchaguzi ikamuengua mgombea Uraisi wa chama kimojawapo;je, mgombea husika anaweza kwenda mahakamani kupinga uchaguzi huo na kuiomba mahakama isitishe mchakato wte wa uchaguzi mpaka kesi ya msingi iishe mahakamani?
Kuna dalili naziona na bila shaka sio mimi peke...
Maalim Seif ni Mtanzania, tena ni Mtanzania mzalendo kwelikweli!
Ni miongoni mwa watu ambao mwalimu Nyerere aliwaheshimu sana kutokana na misimamo thabiti na kipawa chake kikubwa sana cha akili.
Lakini ukiacha kuipenda Tanzania, Maalim anaipenda sana Zanzibar, nchi aliyozaliwa. Wazanzibar...
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.
Kama navyosema siku zote mimi ni kada hai wa CCM na naendelea kukipenda CCM. Lakini nitafurahi sana chama changu kiadabishwe awamu moja au kichachafwe ili kipate adabu kisirudie makosa yale yale na kiache kudharau wanyonge wahali ya chini.
KWANINI NASEMA CHAMA CHANGU KIADABISHWE?
1. Serikali ya...
Habarini wana JamiiForums, hope wote mpo home mnaenjoy weekend.
Sasa basi, ebu ngoja tuingie kwenye mada nimekutana na uzi huko watu wanalalamika eti mwanamke anadhalauriwa sana, sasa nataka niwape siri ambayo wengi hamjui. Mwanamke ukimpa madaraka lazima akutawale; utashikwa masikio utafinywa...
Upo ushahidi wa wazi kuwa matajiri wa hapa Morogoro wametengeneza mtandao mkali wa kujinemesha kupitia maliasili zilizojaa hapa Morogoro.
Walitengeneza mfuko maalumu wa kuhonga viongozi wa wilaya, mkoa na mpaka taifa. Mfuko huo uko chini ya Abbod Azizi mbunge wa Morogoro mjini anayeomba...
Jamani! Suala la wakuu wa shule kutuma majina ya walimu wanaojitolea ofisi ya Rais-tamisemi kwa lengo la kupatiwa ajira ni ubaguzi na siyo haki kabisa.
Kama mtakumbuka baada ya ajira kuwa ngumu! Serikali ilitoa tamko vijana kutafuta fursa kwenye mashirika na shule binafsi pia serikali...
Kumekuwa na Kundi kubwa sana la wananchi wakisota Rumande kwa kile kinachotajwa kuwa "UPELELEZI HAUJAKAMILIKA" hii kitu imekuwa adui mkubwa sana wa haki za watuhumiwa.
Kuna jamaa flani hapa mtaani amekaa rumande/jela kwa miaka miwili kwa kesi ya uhujumu uchumi, alikuwa mtuhumiwa namba mbili...
Tunapoelekea kipindi cha kampeni tuna tegemea hoja nzito haswa kutoka kwa wagombea wa upinzani kuhusu serikali ya awamu ya tano kushindwa kuweka mifumo ambayo ingewezesha tume huru ya uchaguzi kuwepo. Lazima tufahamu kwamba Tume Huru ya Uchaguzi ni shirika linalo jitegemea pamoja na kuwa na...
Niwajulishe tu wenzangu na mimi kuhusu Lissu na namna ninavyoweza kumchukulia. Iko wazi kuwa Tundu Lissu ni kijana/Mzee mwenye uwezo mkubwa kiakili. Hili linaweza kuthibitishwa na watu wanaofanya nae kazi na hata sisi watu wa siasa. Huko kwenye taaluma yake mambo ya haki, sheria na wajibu ndio...
Hapo chini ni habari ya mwaka 2003 kuhusu mapigano makali ya kutetea haki za wananchi takribani 62 waliohofiwa kuuawa na serikali wakati wa kuwanyang'anya maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo na kuyapatia makampuni makubwa ya mabeberu na jinsi mwanaharakati mahiri Tundu Lissu alivyopitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.