gari

  1. Analogia Malenga

    Cybertruck: Tesla yapata aibu wakati wa uzinduzi wa gari lake la umeme

    Tesla imezindua gari linalotumia umeme ambalo hatahivyo liliiaibisha kampuni hiyo wakati wa uzinduzi huo. Wakati walipokuwa wakionyesha jinsi madirisha ya gari hilo yalioundwa na glasi isiyovunjika; kwa bahati mbaya wakati wa maonyesho yalivunjika. Elon Musk alisikika akitukana kabla ya kutoa...
  2. N

    Msaada wa kuagiza gari

    Napenda kuuliza kuwa Gari ambayo kwa japani inauzwa $3467 na CIF mpaka dar ni $5281,je itagharimu kiasi gani mpaka kuingia barabarani ?,na tax yake pale bandarini itakuwa kiasi gani?
  3. Wick

    Ondoa gari inayosababisha foleni

    Moja kati ya gari hizi 7 ndio inayosababisha foleni na ikitolewa basi foleni nzima itapotea. Je, ni gari namba ngapi ya kuitoa?
  4. KIMOMWEMOTORS

    MJADALA: Uliza chochote kuhusu mchakato wa uagizaji magari

    Mara kadhaa tumekuwa tukianzisha mada mbalimbali zenye lengo la kutoa elimu, dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbalimbali kuhusu uagizaji wa magari. Leo tungependa kusikia masuala tofauti tofauti kutoka kwenu wadau ili tuzidi kupeana uzoefu na elimu zaidi. Shukrani...
  5. U

    Car Tracking services

    Sumtech Company Limited Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona, -Speed -Sehemu ya gari yako ilipo -kuzima au kuwasha gari -Routes za gari -Gari lilipo -Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
  6. Suley2019

    KENYA: Watu watano wafariki kwa ajali ya gari wakiwa wanaelekea kwenye mazishi

    Watu watano wakiwamo wanawake wanne na mtoto mmoja wameripotiwa kufariki kwa ajali ya gari wakati wakiwa wanaelekea kwenye mazishi. Ajali hiyo ilihusisha Malori mawili pamoja na gari dogo aina ya Saloon. Ajali hiyo imetokea maeneo ya Murula yaliyopo katika njia panda ya Naivasha nchini Kenya...
  7. N

    Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
  8. E

    Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?'' Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia changamoto gani kimasha. Wanakosoa bila kuelewa. Je, ungependa ''kuwanyamazisha'' hawa watu wenye tabia ya...
  9. BASIASI

    Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

    KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA MSIKURUPUKE KUJA HUMU KAMA MKO...
  10. U

    Nahitaji msaada wa mawazo juu ya gari gani ya familia ninunue

    Nawaomba msada wenu wadau. Nahaitaji gari ya familia ya watoto wanne na mke, kati ya Spacio new model au Wish new model, au nyingine yenye muelekeo huo ila isiwe ya kufunguka kama Noah, mfano Raum Isis. Kama utanishauri, naomba unipe sababu ya kuchagua hako kagari. Nawasilisha wapendwa.
  11. U

    Nahitaji gari naombeni nichagulieni

    Tafadhali wajuvi hapa jukwaani naomba mnichagulie gari kati ya haya Spacio new model, Wish Toyota au kama unajua gari nyingine zinazokaribiana na hizo ila zisiwe Sienta au Raum au Toyota Isis na pia kama itakupendeza uniambie kwanini umenichagulia Wish au Spacio au hiyo nyingine uliyonichagulia...
  12. D

    MADEREVA WA UBER ,TAXIFY NA ROVA.

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva kupitia Email hapo...
  13. Mtekinolojia

    Car4Sale Toyota Voltz in mint condition for Sale

    Price: TZS 14,000,000 Toyota VOLTZ impoorted and used for only 13 Months in Tanzania for sale by the owner Facilities and specifications - Km 117,000-Imported with 110,000 KMs (Rarely driven in Tanzania) -New tyres installed Nov 2018 -Elegant music system -Smart radio that support video -Back...
  14. R

    Car4Sale TOYOTA HARRIER 6M TSHS

    TOYOTA HARRIER for sale 2160 CC Automatic No B Good condition for sale Tshs 6000000 0758 788801 DSM
  15. R

    Car4Sale TOYOTA HARRIER 6M TSHS

    TOYOTA HARRIER for sale 2160 CC Automatic No B Good condition for sale Tshs 6000000 0758 788801 DSM
  16. R

    Car4Sale TOYOTA HARRIER 6M TSHS

    TOYOTA HARRIER for sale 2160 CC Automatic No B Good condition for sale Tshs 6000000 0758 788801 DSM
  17. Trigonometry

    Kwanini wanawake wanaamini kuwa mwanaume mwenye gari ndio sahihi?

    Kwanini wanawake wanaamini kwamba mwanaume mwenye gari ndo mume sahihi? Je akili zao ziko miguuni hawa wanawake?
Back
Top Bottom