Hellow,
Naitwa Neema (msichana) ni dereva natafuta gari kwa ajili ya Uber, yeyote anayehitaji dereva wa Uber tafadhali wasiliana nami kupitia: 0748341758
Kuendesha gari ni suala linalohitaji umakini na utulivu mkubwa, hasa pale unapoendesha gari umbali mrefu. Mara kwa mara kumeshuhudiwa ajali mbalimbali ambazo kimsingi zinatokana na madereva kutokuzingatia kanuni muhimu katika utumiaji wa vyombo vya usafiri.
Ili kuhakikisha usalama wako pamoja...
Nauliza basi za Mwanza kwenda Mbeya zinafika huku saa ngapi na huwa zinalala njiani au ni moja kwa moja? Ikiwezekana nipatieni na mawasiliano yao hapo Mwanza.
Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
Mafundi na wenye magari naomba kueleweshwa tatizo la gari langu. Asubuhi nimeamka kwa ajili ya kwenda Kanisani, baada ya kushusha handbrakes na kuanza kuondoka, tairi la upande wa kulia nyumba likagoma kuzunguka. Nikilazimisha linaslide tu.
Kwa kweli sijajua tatizo mpaka sasa. Mwenye utaalamu...
Habari za jioni kama ambavyo kichwa cha habari hapo juu kinasomeka nahitaji gari ndogo ya kukodi naendesha mwenyewe gari iwe nzima na tair nzima maana ni kwa ajili ya masafa ya mikoani wewe mwenye gari unaona lipo tu halina matumizi sana na upo Iringa na unajuwa gari yako ipo vizuri kwa masafa...
Habari,
Huwa kuna kipindi shirika la unhcr huuza magari yao yaliyoshatumika.Kwa anayejua, sio anayedhani, anayejua, gari km hii hap iliyoshatumika unaweza pata kwa bei gani?
Habari
kwa mafundi, kupaka upya rangi gari km hii hapa kwa dar inaweza kuwa bei gani. nataka iwe black metallic. Haina mikwaruzo kivile cha muhimu rangi bei yake inaweza kuwa bei gani
Itakuwa vzr nikipata jibu kwa watu wanaojua sio mtu tu ku gesi na kujibu.
Kama kichwa kilivyo,
Nilinunua battery ya gari March 2019, leo imekufa narurisha dukani , wanagoma kunibadilishia wakidai ilitakiwa ninunue battery kubwa zaidi kwa ajili ya hiyo gari yangu, na tulibadilisha na kuweza saizi ile ile iliokuja na gari, na ndio saizi yake halisi.
Ni wapi...
Bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari limelipuka katika eneo la makutano lenye shughuli nyingi mji mkuu wa Somalia na kusababisha vifo kwa watu 3 huku wengine 6 wakijeruhiwa kulingana na mkuu wa huduma ya uokoaji ya Mogadishu.
Gari lilikokuwa na vilipuzi lililipuka katika kituo cha ukaguzi eneo...
Hery ya Mwaka mpya 2020.
Kutokana na uvivu wa kufanya mazoezi ya viungo, kupanda kwa gharama za Maisha (hata jamiiforums hawapati matangazo 😢😢😢).
Nataka niaze kutumia Usafiri wa BAISIKELI naomba mwenye kujua sehemu wanapo uza BAISIKELI nzuri weka bei na mawasiliano. hata kama ni USED.
JF ndio kisima cha majibu, ndio Tanzania, ndio dunia. Hapajawahi kuniangusha humu.
Naomba mwaka huu wadau wenye masihara wafanye kubadilika. Kipindi cha kazi na umakini.
Niulize hivi ukiuziwa gari ukaja kugundua nyaraka zake si halali na liliingizwa nchini kimakosa kama yale ya namba pacha...
Hii Tesla Cybertruck inabadili tafsiri ya gari kwa karne hii. Hii gari kimuonekano ni kama SUV lakini hili ni Pick up!.
Cha kuipa sifa zaidi yenyewe ni EV - electric vehicle lakini imeweza shindanishwa na gari kama Ford F-150.
Imagine siku ya kwanza baada ya kuzinduliwa watu 200,000 wakaweka...
Asubuhi asubuhi gari inachukua abiria na kumpa mwingine. Kero kubwa
Wanapokuwa wanajua hawafiki safari tena ni vizuri wakafaulisha kwa gari ya route moja, gari namba hiyo (donor) inafanya safari zake Bunju Sokoni, na gari iliyopewa abiria recipient inafanya safari zake Tegeta Nyuki - Sokoni...
Nahitaji kununua gari bajeti yang ni kati ya shs Milion8 hadi milion 11
Napendelea gari mojawapo kati ya Ipsum au Wish
Plate number ianzie DQ na kuendelea
Au yeyote mwenyew Utaalamu wa kuagiza gari kutoka nje ya nchi akinisaidia kujua gharama zote adi usajili kwa gari tajwa hapo juu nitashukuru...
Kukubali kuchukuliwa bila kuacha taharuki na kuwajulisha raia eneo hilo kuwa unakamatwa na watu wasio sahihi.
Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni Maofisa Sahihi kwakuonyeshwa Vitambulisho.
KOSA: Ni kuamini kila Ofisa ni Mkamataji mwema, Watekwaji...
UDEREVA WA KUJIHAMI
KUTOKA HOME OF EXCELLENCE DRIVING SCHOOL
Imeandikwa na Mr. Manala Tabu Mbumba, Mhadhiri Msaidizi na Mshauri wa Magari-Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT)
Home of Excellence Driving School inatoa huduma bora kabisa za udereva pamoja na kusaidia upatikanaji wa leseni kwa...
kwema wakuu, nko dar natafuta gari ya mkononi, bajeti 4-5M, vitz/Glanza/carina......nk..cc900-cc1500.. Sihitaji yenye piston 3, ukinirushia picha DM ntashukuru zaidi.
Habari wanajamvi!
Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu pendwa katika kufikia ndoto ya Tanzania ya uchumi wa kati.
Ninaomba kufahamishwa kuhusu hizo Ishu za gari za mkataba.
Mfano kuna mtu nimeongea naye anadai nimpatie ama nimnunulie Noah nisajili kwa biashara, nikatie bima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.