gari

  1. Wick

    JamiiForums Tanzania Tesla Cybertruck: Gari 'game changer'

    Hii Tesla Cybertruck inabadili tafsiri ya gari kwa karne hii. Hii gari kimuonekano ni kama SUV lakini hili ni Pick up!. Cha kuipa sifa zaidi yenyewe ni EV - electric vehicle lakini imeweza shindanishwa na gari kama Ford F-150. Imagine siku ya kwanza baada ya kuzinduliwa watu 200,000 wakaweka...
  2. Google Diggers

    JamiiForums Tanzania Gari zinazochukua nauli na kufaulisha abiria nitataja namba

    Asubuhi asubuhi gari inachukua abiria na kumpa mwingine. Kero kubwa Wanapokuwa wanajua hawafiki safari tena ni vizuri wakafaulisha kwa gari ya route moja, gari namba hiyo (donor) inafanya safari zake Bunju Sokoni, na gari iliyopewa abiria recipient inafanya safari zake Tegeta Nyuki - Sokoni...
  3. Akili 09 Nguvu 01

    JamiiForums Tanzania Nataka Gari

    Nahitaji kununua gari bajeti yang ni kati ya shs Milion8 hadi milion 11 Napendelea gari mojawapo kati ya Ipsum au Wish Plate number ianzie DQ na kuendelea Au yeyote mwenyew Utaalamu wa kuagiza gari kutoka nje ya nchi akinisaidia kujua gharama zote adi usajili kwa gari tajwa hapo juu nitashukuru...
  4. dubu

    JamiiForums Tanzania Mtekwaji, usikubali kutekwa bila kuacha taharuki, fanya vurugu, ogopa gari usiogope bunduki kimbia

    Kukubali kuchukuliwa bila kuacha taharuki na kuwajulisha raia eneo hilo kuwa unakamatwa na watu wasio sahihi. Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni Maofisa Sahihi kwakuonyeshwa Vitambulisho. KOSA: Ni kuamini kila Ofisa ni Mkamataji mwema, Watekwaji...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwa huduma za Mafunzo ya udereva wa awali karibu sana Home of Excellence Driving School

    UDEREVA WA KUJIHAMI KUTOKA HOME OF EXCELLENCE DRIVING SCHOOL Imeandikwa na Mr. Manala Tabu Mbumba, Mhadhiri Msaidizi na Mshauri wa Magari-Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) Home of Excellence Driving School inatoa huduma bora kabisa za udereva pamoja na kusaidia upatikanaji wa leseni kwa...
  6. ndongandonga

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Natafuta GARI ya kununua

    kwema wakuu, nko dar natafuta gari ya mkononi, bajeti 4-5M, vitz/Glanza/carina......nk..cc900-cc1500.. Sihitaji yenye piston 3, ukinirushia picha DM ntashukuru zaidi.
  7. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Ninaomba kufahamishwa kuhusu gari la mkataba

    Habari wanajamvi! Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu pendwa katika kufikia ndoto ya Tanzania ya uchumi wa kati. Ninaomba kufahamishwa kuhusu hizo Ishu za gari za mkataba. Mfano kuna mtu nimeongea naye anadai nimpatie ama nimnunulie Noah nisajili kwa biashara, nikatie bima...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Injini ya GX 100 Inaweza kutumika kwenye gari gani nyingine Hasa ya Mizigo (CARGO)

    Habari ndugu zangu nina gari yangu Cresta ina Injini ya GX 100 ambayo bado mpya ila bodi limechoka,nataka kubadili matumizi iwe ya mizigo je ni bodi la gari gani inaweza kuingiliana na injini hiyo? Gari ni automatic.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Gari la msafara wa IGP Sirro laua Morogoro

    Jackline Samwel (9), amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 12, 2019 baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi leo kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Mugabo Wekwe amethibitisha kutokea...
  10. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa: Mwili wa mtu ambaye gari lake liliingia baharini waopolewa

    MWILI wa mtu ambaye gari lake liliingia baharini katika kivuko cha Likoni maarufu kama ‘Likoni Ferry’ jana saa nne na dakika 20 mjini Mombasa umeopolewa. Polisi limemtaja mtu huyo kuwa ni John Mutinda mwenye umri wa miaka 46 na wakati mwili wake ukiopolewa kutoka baharini, mkewe Ruth Mueni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu wakala mzuri wa kuagiza gari kutoka Nje

    Wanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
  12. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Ni basi gani zuri la Dar - Mwanza ambayo hailali Morogoro, huduma nzuri na luxury?

    Naomba msaada wa kufahamu gari nzuri ya Mwanza -Dar ambayo hakuna kulala Morogoro. Watu wengine wanasema Dar Lux, wengine Ally's na wengine Happy Nation. Naomba wenyeji mnisaidie kujua ipi nzuri hapo na ya uhakika. Natanguliza shukrani.
  13. Lizzy116

    JamiiForums Tanzania Full video ya yule mama mchungaji wa sex game ya God, kwenye gari, jikoni twa twa!

    Kuna clip fupi imesambaa mtandaoni ya Pastor Susan Munene akiongea kuhusu umuhimu wa sex katika ndoa. Hii hapa clip ndefu zaidi ikiwa na maelekezo mengi hasa kuhusiana mambo ya ndao. hapa chini ni baadhi tu maneno ya Pastor Susan Munene. Mimeweka full video pia hapo chini. “Kama kuna kitu ya...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Cybertruck: Tesla yapata aibu wakati wa uzinduzi wa gari lake la umeme

    Tesla imezindua gari linalotumia umeme ambalo hatahivyo liliiaibisha kampuni hiyo wakati wa uzinduzi huo. Wakati walipokuwa wakionyesha jinsi madirisha ya gari hilo yalioundwa na glasi isiyovunjika; kwa bahati mbaya wakati wa maonyesho yalivunjika. Elon Musk alisikika akitukana kabla ya kutoa...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuagiza gari

    Napenda kuuliza kuwa Gari ambayo kwa japani inauzwa $3467 na CIF mpaka dar ni $5281,je itagharimu kiasi gani mpaka kuingia barabarani ?,na tax yake pale bandarini itakuwa kiasi gani?
  16. Wick

    JamiiForums Tanzania Ondoa gari inayosababisha foleni

    Moja kati ya gari hizi 7 ndio inayosababisha foleni na ikitolewa basi foleni nzima itapotea. Je, ni gari namba ngapi ya kuitoa?
  17. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Uliza chochote kuhusu mchakato wa uagizaji magari

    Mara kadhaa tumekuwa tukianzisha mada mbalimbali zenye lengo la kutoa elimu, dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbalimbali kuhusu uagizaji wa magari. Leo tungependa kusikia masuala tofauti tofauti kutoka kwenu wadau ili tuzidi kupeana uzoefu na elimu zaidi. Shukrani...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Car Tracking services

    Sumtech Company Limited Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona, -Speed -Sehemu ya gari yako ilipo -kuzima au kuwasha gari -Routes za gari -Gari lilipo -Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
  19. KIM KARDASH

    JamiiForums Tanzania Prof.Assad-Ukiwa na gari au nyumba una dhima ya kwenda hijja

  20. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: Watu watano wafariki kwa ajali ya gari wakiwa wanaelekea kwenye mazishi

    Watu watano wakiwamo wanawake wanne na mtoto mmoja wameripotiwa kufariki kwa ajali ya gari wakati wakiwa wanaelekea kwenye mazishi. Ajali hiyo ilihusisha Malori mawili pamoja na gari dogo aina ya Saloon. Ajali hiyo imetokea maeneo ya Murula yaliyopo katika njia panda ya Naivasha nchini Kenya...
Back
Top Bottom