Habari,
Huwa kuna kipindi shirika la unhcr huuza magari yao yaliyoshatumika.Kwa anayejua, sio anayedhani, anayejua, gari km hii hap iliyoshatumika unaweza pata kwa bei gani?
Habari
kwa mafundi, kupaka upya rangi gari km hii hapa kwa dar inaweza kuwa bei gani. nataka iwe black metallic. Haina mikwaruzo kivile cha muhimu rangi bei yake inaweza kuwa bei gani
Itakuwa vzr nikipata jibu kwa watu wanaojua sio mtu tu ku gesi na kujibu.
Kama kichwa kilivyo,
Nilinunua battery ya gari March 2019, leo imekufa narurisha dukani , wanagoma kunibadilishia wakidai ilitakiwa ninunue battery kubwa zaidi kwa ajili ya hiyo gari yangu, na tulibadilisha na kuweza saizi ile ile iliokuja na gari, na ndio saizi yake halisi.
Ni wapi...
Bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari limelipuka katika eneo la makutano lenye shughuli nyingi mji mkuu wa Somalia na kusababisha vifo kwa watu 3 huku wengine 6 wakijeruhiwa kulingana na mkuu wa huduma ya uokoaji ya Mogadishu.
Gari lilikokuwa na vilipuzi lililipuka katika kituo cha ukaguzi eneo...
Hery ya Mwaka mpya 2020.
Kutokana na uvivu wa kufanya mazoezi ya viungo, kupanda kwa gharama za Maisha (hata jamiiforums hawapati matangazo 😢😢😢).
Nataka niaze kutumia Usafiri wa BAISIKELI naomba mwenye kujua sehemu wanapo uza BAISIKELI nzuri weka bei na mawasiliano. hata kama ni USED.
JF ndio kisima cha majibu, ndio Tanzania, ndio dunia. Hapajawahi kuniangusha humu.
Naomba mwaka huu wadau wenye masihara wafanye kubadilika. Kipindi cha kazi na umakini.
Niulize hivi ukiuziwa gari ukaja kugundua nyaraka zake si halali na liliingizwa nchini kimakosa kama yale ya namba pacha...
Hii Tesla Cybertruck inabadili tafsiri ya gari kwa karne hii. Hii gari kimuonekano ni kama SUV lakini hili ni Pick up!.
Cha kuipa sifa zaidi yenyewe ni EV - electric vehicle lakini imeweza shindanishwa na gari kama Ford F-150.
Imagine siku ya kwanza baada ya kuzinduliwa watu 200,000 wakaweka...
Asubuhi asubuhi gari inachukua abiria na kumpa mwingine. Kero kubwa
Wanapokuwa wanajua hawafiki safari tena ni vizuri wakafaulisha kwa gari ya route moja, gari namba hiyo (donor) inafanya safari zake Bunju Sokoni, na gari iliyopewa abiria recipient inafanya safari zake Tegeta Nyuki - Sokoni...
Nahitaji kununua gari bajeti yang ni kati ya shs Milion8 hadi milion 11
Napendelea gari mojawapo kati ya Ipsum au Wish
Plate number ianzie DQ na kuendelea
Au yeyote mwenyew Utaalamu wa kuagiza gari kutoka nje ya nchi akinisaidia kujua gharama zote adi usajili kwa gari tajwa hapo juu nitashukuru...
Kukubali kuchukuliwa bila kuacha taharuki na kuwajulisha raia eneo hilo kuwa unakamatwa na watu wasio sahihi.
Hii inatokea mara Nyingi, mtekwaji anachukuliwa kwa kuaminishwa na Watekaji kuwa ni Maofisa Sahihi kwakuonyeshwa Vitambulisho.
KOSA: Ni kuamini kila Ofisa ni Mkamataji mwema, Watekwaji...
UDEREVA WA KUJIHAMI
KUTOKA HOME OF EXCELLENCE DRIVING SCHOOL
Imeandikwa na Mr. Manala Tabu Mbumba, Mhadhiri Msaidizi na Mshauri wa Magari-Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT)
Home of Excellence Driving School inatoa huduma bora kabisa za udereva pamoja na kusaidia upatikanaji wa leseni kwa...
kwema wakuu, nko dar natafuta gari ya mkononi, bajeti 4-5M, vitz/Glanza/carina......nk..cc900-cc1500.. Sihitaji yenye piston 3, ukinirushia picha DM ntashukuru zaidi.
Habari wanajamvi!
Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu pendwa katika kufikia ndoto ya Tanzania ya uchumi wa kati.
Ninaomba kufahamishwa kuhusu hizo Ishu za gari za mkataba.
Mfano kuna mtu nimeongea naye anadai nimpatie ama nimnunulie Noah nisajili kwa biashara, nikatie bima...
Habari ndugu zangu nina gari yangu Cresta ina Injini ya GX 100 ambayo bado mpya ila bodi limechoka,nataka kubadili matumizi iwe ya mizigo je ni bodi la gari gani inaweza kuingiliana na injini hiyo? Gari ni automatic.
Jackline Samwel (9), amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 12, 2019 baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro mkoani Morogoro.
Akizungumza na Mwananchi leo kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Mugabo Wekwe amethibitisha kutokea...
MWILI wa mtu ambaye gari lake liliingia baharini katika kivuko cha Likoni maarufu kama ‘Likoni Ferry’ jana saa nne na dakika 20 mjini Mombasa umeopolewa.
Polisi limemtaja mtu huyo kuwa ni John Mutinda mwenye umri wa miaka 46 na wakati mwili wake ukiopolewa kutoka baharini, mkewe Ruth Mueni...
Naomba msaada wa kufahamu gari nzuri ya Mwanza -Dar ambayo hakuna kulala Morogoro. Watu wengine wanasema Dar Lux, wengine Ally's na wengine Happy Nation.
Naomba wenyeji mnisaidie kujua ipi nzuri hapo na ya uhakika.
Natanguliza shukrani.
Kuna clip fupi imesambaa mtandaoni ya Pastor Susan Munene akiongea kuhusu umuhimu wa sex katika ndoa. Hii hapa clip ndefu zaidi ikiwa na maelekezo mengi hasa kuhusiana mambo ya ndao.
hapa chini ni baadhi tu maneno ya Pastor Susan Munene. Mimeweka full video pia hapo chini.
“Kama kuna kitu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.