gari

  1. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Ninaomba kufahamishwa kuhusu gari la mkataba

    Habari wanajamvi! Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu pendwa katika kufikia ndoto ya Tanzania ya uchumi wa kati. Ninaomba kufahamishwa kuhusu hizo Ishu za gari za mkataba. Mfano kuna mtu nimeongea naye anadai nimpatie ama nimnunulie Noah nisajili kwa biashara, nikatie bima...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Injini ya GX 100 Inaweza kutumika kwenye gari gani nyingine Hasa ya Mizigo (CARGO)

    Habari ndugu zangu nina gari yangu Cresta ina Injini ya GX 100 ambayo bado mpya ila bodi limechoka,nataka kubadili matumizi iwe ya mizigo je ni bodi la gari gani inaweza kuingiliana na injini hiyo? Gari ni automatic.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Gari la msafara wa IGP Sirro laua Morogoro

    Jackline Samwel (9), amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 12, 2019 baada ya kugongwa na gari lililokuwa katika msafara wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi leo kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Mugabo Wekwe amethibitisha kutokea...
  4. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mombasa: Mwili wa mtu ambaye gari lake liliingia baharini waopolewa

    MWILI wa mtu ambaye gari lake liliingia baharini katika kivuko cha Likoni maarufu kama ‘Likoni Ferry’ jana saa nne na dakika 20 mjini Mombasa umeopolewa. Polisi limemtaja mtu huyo kuwa ni John Mutinda mwenye umri wa miaka 46 na wakati mwili wake ukiopolewa kutoka baharini, mkewe Ruth Mueni...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu wakala mzuri wa kuagiza gari kutoka Nje

    Wanajamvi naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu na uzoefu wa wakala wa uagizaji magari kutoka nje ambao hawana longo longo.
  6. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Ni basi gani zuri la Dar - Mwanza ambayo hailali Morogoro, huduma nzuri na luxury?

    Naomba msaada wa kufahamu gari nzuri ya Mwanza -Dar ambayo hakuna kulala Morogoro. Watu wengine wanasema Dar Lux, wengine Ally's na wengine Happy Nation. Naomba wenyeji mnisaidie kujua ipi nzuri hapo na ya uhakika. Natanguliza shukrani.
  7. Lizzy116

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full video ya yule mama mchungaji wa sex game ya God, kwenye gari, jikoni twa twa!

    Kuna clip fupi imesambaa mtandaoni ya Pastor Susan Munene akiongea kuhusu umuhimu wa sex katika ndoa. Hii hapa clip ndefu zaidi ikiwa na maelekezo mengi hasa kuhusiana mambo ya ndao. hapa chini ni baadhi tu maneno ya Pastor Susan Munene. Mimeweka full video pia hapo chini. “Kama kuna kitu ya...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Cybertruck: Tesla yapata aibu wakati wa uzinduzi wa gari lake la umeme

    Tesla imezindua gari linalotumia umeme ambalo hatahivyo liliiaibisha kampuni hiyo wakati wa uzinduzi huo. Wakati walipokuwa wakionyesha jinsi madirisha ya gari hilo yalioundwa na glasi isiyovunjika; kwa bahati mbaya wakati wa maonyesho yalivunjika. Elon Musk alisikika akitukana kabla ya kutoa...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuagiza gari

    Napenda kuuliza kuwa Gari ambayo kwa japani inauzwa $3467 na CIF mpaka dar ni $5281,je itagharimu kiasi gani mpaka kuingia barabarani ?,na tax yake pale bandarini itakuwa kiasi gani?
  10. Wick

    JamiiForums Tanzania Ondoa gari inayosababisha foleni

    Moja kati ya gari hizi 7 ndio inayosababisha foleni na ikitolewa basi foleni nzima itapotea. Je, ni gari namba ngapi ya kuitoa?
  11. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Uliza chochote kuhusu mchakato wa uagizaji magari

    Mara kadhaa tumekuwa tukianzisha mada mbalimbali zenye lengo la kutoa elimu, dhumuni likiwa ni kupeana uelewa zaidi na kukumbushana mambo mbalimbali kuhusu uagizaji wa magari. Leo tungependa kusikia masuala tofauti tofauti kutoka kwenu wadau ili tuzidi kupeana uzoefu na elimu zaidi. Shukrani...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Car Tracking services

    Sumtech Company Limited Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona, -Speed -Sehemu ya gari yako ilipo -kuzima au kuwasha gari -Routes za gari -Gari lilipo -Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
  13. KIM KARDASH

    JamiiForums Tanzania Prof.Assad-Ukiwa na gari au nyumba una dhima ya kwenda hijja

  14. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: Watu watano wafariki kwa ajali ya gari wakiwa wanaelekea kwenye mazishi

    Watu watano wakiwamo wanawake wanne na mtoto mmoja wameripotiwa kufariki kwa ajali ya gari wakati wakiwa wanaelekea kwenye mazishi. Ajali hiyo ilihusisha Malori mawili pamoja na gari dogo aina ya Saloon. Ajali hiyo imetokea maeneo ya Murula yaliyopo katika njia panda ya Naivasha nchini Kenya...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?'' Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia changamoto gani kimasha. Wanakosoa bila kuelewa. Je, ungependa ''kuwanyamazisha'' hawa watu wenye tabia ya...
  17. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

    KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA MSIKURUPUKE KUJA HUMU KAMA MKO...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wa mawazo juu ya gari gani ya familia ninunue

    Nawaomba msada wenu wadau. Nahaitaji gari ya familia ya watoto wanne na mke, kati ya Spacio new model au Wish new model, au nyingine yenye muelekeo huo ila isiwe ya kufunguka kama Noah, mfano Raum Isis. Kama utanishauri, naomba unipe sababu ya kuchagua hako kagari. Nawasilisha wapendwa.
  19. U

    JamiiForums Tanzania Nahitaji gari naombeni nichagulieni

    Tafadhali wajuvi hapa jukwaani naomba mnichagulie gari kati ya haya Spacio new model, Wish Toyota au kama unajua gari nyingine zinazokaribiana na hizo ila zisiwe Sienta au Raum au Toyota Isis na pia kama itakupendeza uniambie kwanini umenichagulia Wish au Spacio au hiyo nyingine uliyonichagulia...
  20. D

    JamiiForums Tanzania MADEREVA WA UBER ,TAXIFY NA ROVA.

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva kupitia Email hapo...
Back
Top Bottom