gari

  1. Mb-one

    JamiiForums Tanzania Nataka kuagiza gari ila imetembea zaidi ya kilometer 200,000

    Hello wakuu Nataka kuagiza X-Trail new model 2007, ila tatizo ni kuwa ina kM zaidi ya laki 2. Sasa nakuwa na wasiwasi, je inaweza ikawa engine yake haijachoka. Kuna mtu kaniambia road za wenzetu Japan hazina shida Kama huku bongo. Hebu naomba ushauri wenu wakubwa wa kazi.
  2. muzi

    JamiiForums Tanzania Service inayohitajika mara kwa mara kwa gari yako

    Habari wapwa na natumahi tunaendelea kunawa mikono kama ilivyo ada. Kwa thread hii tuzungumzie service inayohitajika kufanyika kwa magari yetu mara kwa mara. Wengi wetu tumekuwa tukitengeneza magari yetu pindi zinapoharibika lakini wataalamu wanatushauri kubadilisha aina na baadhi ya vifaa pale...
  3. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini pamoja na ujio wa Magari mengi na mapya duniani lakini Gari za Mercedes Benz, Rolls Royce, Porsche na Lamborghini zitaheshimika Milele?

    Leo hii sijui Mzukulu nimekumbwa na nini yaani similiki hata Baiskeli au Guta lakini nayazungumzia Magari ambayo sina hata Ubavu wa Kuyamiliki. Lamborghin Mercedes Benz Porsche Rolls Royce
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Naomba kujuzwa namna ya kuongeza kimo/ urefu wa gari

    Salam wakuu, Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa. Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri...
  5. Double line

    JamiiForums Tanzania Pata picha umemuazima rafiki yako gari

  6. lite boe

    JamiiForums Tanzania Taja sheria moja ya gari ya polisi aina ya Defender

    Message…
  7. Jeff

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA

    Habari wandugu! Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age). Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa...
  8. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Kupiga Picha ukiwa ama umeshika Gari la Kifahari au umekalia katika Kiti cha Dereva huku ukijijua kabisa kuwa hujui hata Kuendesha kuna maanisha nini?

    Mliosoma na Kubobea hasa katika Saikolojia hii hali huwa mnaiitaje na Kitendo husika pia huwa kina maana gani kwa Mhusika?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Land Rover Discovery 4 - Ikoje hii gari, naomba uzoefu na ufafanuzi wake

    Naihusudu sana Discovery 4 angalau kwa muonekano na chapa yake ya Land Rover, japo nikiri sijawahi kuiendesha hivyo siijui kivile. Kama walivyo watu wengi wa ukanda wa Afrika Mashariki, tumekuwa tuikitumia magari ya mjapani haswa haya yaliochini ya kampuni iliyoanzishwa na Bwana Kiichiro...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mchome Mwenyekiti wa Bavicha Kilimanjaro aliyesafirishwa kuelekea Dar es salaam, Hayupo kwenye vituo vya Polisi , yuko wapi au gari bado haijafika ?

    Gari iliyombeba imetajwa kufahamika kwa namba za usajili za T 363 CDU
  11. Bwegemsela

    JamiiForums Tanzania Nini faida ya kumiliki gari?

    Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kiufundi: Gari kupoteza maji kila siku

    Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji. Kwenye reserve tank yako hayaongezeki hayapungui, na hakuna dalili zozote za engine oil kwenye radiator wala reserve...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Kilimanjaro akamatwa na Polisi akidaiwa kupiga picha gari la Mkurugenzi wa TISS

    Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga . Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi katika tatizo la Hand break ya gari kung'ang'ania

    Hii issue imenitokea mara mbili. Mara ya kwanza nilikuwa naendesha gari Pasaka kwenye mvua na tope kali sana. Ile gari baada ya Pasaka nili ipark kama wiki moja hvi bila kuiendesha. Siku natoka gari haisogei mbele wala nyuma.. nilihangaika nayo mbele nyuma kama dakika 15 hvi.. nikasikia imepiga...
  15. Stanboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa tutaondoka wote, una gari?

    Wazee tafuteni hela mnunue magari,ni muhimu sana kuliko mnavyochukulia. Siku moja niko zangu club moja hapa mji pendwa unaoongoza kwa raha za kila aina hapa Tanzania.Mara hatua kama 5 hivi nikamuona mrembo matata mwenye shepu ya kike hasa, sura yenye kuvutia na rangi ya kichaga kaketi pekee...
  16. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Gari lililokuwa nyuma la Kitanzania sasa limelipita kwa Kasi ya ajabu Gari la Kenya lililokuwa likiongoza

    Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla. Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida...
  17. manchoso

    JamiiForums Tanzania Mzungu alietengeneza Gari bila shaka alifikiria na kutazama uumbwaji wa binadamu

    Utukufu wote anastahiki Mwenyezi Mungu, Alliemuumba binadamu kisha akampa akili na ufahamu, Umbile la binadamu ni kielelezo cha uwezo wa Mwenyezi Mungu Alexander Bell inasemekana mama na mke wake walikuwa viziwi pindi anawaza na kuja kufanya uvumbuzi wake na hata Galileo Galilei inasemekana...
  18. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania What Gado says about corona and remedy inhalation

  19. U

    JamiiForums Tanzania Gari yangu inatoa moshi mweupe mwingi kama wingu naomba msaada

    Tafadhali wataalamu na wazoefu wa jukwaaa letu pendwa 1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya kuchange oil ikawa haitoi tens moshi kabisa na ile taa ya check engine ikazima Ila baada ya halo...
  20. Mbayo wa Giika

    JamiiForums Tanzania Gari ipi itanifaa kati ya Spacio na Toyota Wish?

    Wadau naombeni ushauri. Mimi si mtaalamu wa magari ila nahitaji kuwa na gari kwa ajili ya familia ya watu kama saba hadi nane na matumizi ya hapa na pale, safari za kazini na mara chache safari ndefu za mikoani na hasa vijijini. Ninahitaji gari ambalo ni rafiki kwa matunzo na mafuta na linaweza...
Back
Top Bottom