JAMII BORA
Member
- Apr 18, 2017
- 78
- 58
Habari wakuu na poleni kwa changamoto za Covid-19.
Nipo kazini hapa na boss Ritesh, ana gari yake ya passo ka-import mwaka jana mwishoni ili aiuzie kampuni hii ambayo yeye ni afisa manunuzi.
Sasa kampuni imeyumba kiuchumi, na Ritesh mkataba umeisha anatakiwa arudi India soon, hivyo kanipa kazi niulizie bei ya gari hii kama umetumia nusu mwaka unaweza uza kiasi gani. Mimi si mtaalamu wa magari na kwa kuwa ana haraka, humu jukwaani naamini wazoefu mtanipa bei ili apime kama inalipa.
Msaada hapa au kwa wasio member ukishindwa kucomment hapa tumia simu :0713 039875
Naomba msaada wenu wa busara na utaalam.
Nipo kazini hapa na boss Ritesh, ana gari yake ya passo ka-import mwaka jana mwishoni ili aiuzie kampuni hii ambayo yeye ni afisa manunuzi.
Sasa kampuni imeyumba kiuchumi, na Ritesh mkataba umeisha anatakiwa arudi India soon, hivyo kanipa kazi niulizie bei ya gari hii kama umetumia nusu mwaka unaweza uza kiasi gani. Mimi si mtaalamu wa magari na kwa kuwa ana haraka, humu jukwaani naamini wazoefu mtanipa bei ili apime kama inalipa.
Msaada hapa au kwa wasio member ukishindwa kucomment hapa tumia simu :0713 039875
Naomba msaada wenu wa busara na utaalam.