Hatimaye Gari lililokuwa nyuma la Kitanzania sasa limelipita kwa Kasi ya ajabu Gari la Kenya lililokuwa likiongoza

Mzukulu

JF-Expert Member
Feb 14, 2020
1,401
2,631
Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla.

Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida kabisa huku Watu ( Watazamaji ) wakiwa wameshikwa na Butwaa ni kwamba hivi sasa Gari la Tanzania limelizidi kwa Umbali wa Kilometa 480 Gari la Kenya ambalo kwa sasa bado linakimbia kwa Umbali wa Kilometa 384 tu.

Na Wataalam wa Mashindano ya Magari wanasema kuwa kwa hali inavyoonekana kwa sasa baada ya Dereva wa Tanzania Kuficha Mbinu zake za Kimashindano kuna uwezekano baada ya muda mfupi ujao Gari la Tanzania likakimbia kwa Kilometa 750 hadi 1000 huku Gari la Kenya likikomea ( likiishia ) tu Kukimbia kwa Kilometa kati ya 450 au 600.

Hivyo basi kupitia Mbio hizi za Mashindano haya ya Magari kati ya Gari la Kenya na la Tanzania ambayo yapo chini ya Mdhamini Mkuu wa Kichina kutoka Mji wa Wuhan tunaamini yale maneno ya Kihenga yasemayo kuwa siku zote Kutangulia si Kufika. Gari ya Kenya ilitangulia kwa muda mrefu ila sasa Gari la Tanzania limeshika Kasi na limelipita la Kenya.
 
TUEPUKE HOFU!!!.Ni hatari kuliko corona yenyewe kikubwa tahadhari ichukuliwe ,naiyamini serikali kwa ujumla binafsi nimemwelewa Sana raisi Magufuli

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla.

Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida kabisa huku Watu ( Watazamaji ) wakiwa wameshikwa na Butwaa ni kwamba hivi sasa Gari la Tanzania limelizidi kwa Umbali wa Kilometa 480 Gari la Kenya ambalo kwa sasa bado linakimbia kwa Umbali wa Kilometa 380 tu.

Na Wataalam wa Mashindano ya Magari wanasema kuwa kwa hali inavyoonekana kwa sasa baada ya Dereva wa Tanzania Kuficha Mbinu zake za Kimashindano kuna uwezekano baada ya muda mfupi ujao Gari la Tanzania likakimbia kwa Kilometa 750 hadi 1000 huku Gari la Kenya likikomea ( likiishia ) tu Kukimbia kwa Kilometa kati ya 450 au 600.

Hivyo basi kupitia Mbio hizi za Mashindano haya ya Magari kati ya Gari la Kenya na la Tanzania ambayo yapo chini ya Mdhamini Mkuu wa Kichina kutoka Mji wa Wuhan tunaamini yale maneno ya Kihenga yasemayo kuwa siku zote Kutangulia si Kufika. Gari ya Kenya ilitangulia kwa muda mrefu ila sasa Gari la Tanzania limeshika Kasi na limelipita la Kenya.
na hapo taarifa sijui kama ni halisia tunakimbiza hivi sijui zikiwa halisi itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari letu Lina turbo Mkuu usishangae Sana hiyo speed

Nasikia baada ya Tanzania kuona Dereva wa Gari lao la Mashindano linapitwa hovyo na lile la Kenya wakaamua wamtafute Dereva mahiri ambaye Yeye haogopi Kitu ambapo alipoambiwa inabidi alipite lile la Kenya ili Mdhamini Mkuu wa Kichina afurahi na pia waweze Kupewa Cheti cha Ushiriki bora na WHO nae akawaambia ( akawajibu ) kuwa Watanzania watafurahi wenyewe na Wakenya watamkoma kwani kwa muda mfupi sana atalipita kwa mbali ( Kilometa ) nyingi lile la Kenya na yametimia hasa.
 
Nasikia Gari la kitanzania lina tumia mvuke badala ya mafuta

Nasikia Dereva wa Gari la Kenya ameshangaa sana kupitwa kwa haraka hivi na Dereva wa Tanzania kwa alimuacha mbali sana.
 
Sasa tafadhalini sana jamani msije sema mbona hatujalipita la Italy au Spain au US apo mtakuwa mashetani!

Kwa sasa Gari la Mashindano la Kitanzania linashindana zaidi na lile Gari la Mashindano la Kenya na tayari limeshalipita Ndugu.
 
Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla.

Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida kabisa huku Watu ( Watazamaji ) wakiwa wameshikwa na Butwaa ni kwamba hivi sasa Gari la Tanzania limelizidi kwa Umbali wa Kilometa 480 Gari la Kenya ambalo kwa sasa bado linakimbia kwa Umbali wa Kilometa 380 tu.

Na Wataalam wa Mashindano ya Magari wanasema kuwa kwa hali inavyoonekana kwa sasa baada ya Dereva wa Tanzania Kuficha Mbinu zake za Kimashindano kuna uwezekano baada ya muda mfupi ujao Gari la Tanzania likakimbia kwa Kilometa 750 hadi 1000 huku Gari la Kenya likikomea ( likiishia ) tu Kukimbia kwa Kilometa kati ya 450 au 600.

Hivyo basi kupitia Mbio hizi za Mashindano haya ya Magari kati ya Gari la Kenya na la Tanzania ambayo yapo chini ya Mdhamini Mkuu wa Kichina kutoka Mji wa Wuhan tunaamini yale maneno ya Kihenga yasemayo kuwa siku zote Kutangulia si Kufika. Gari ya Kenya ilitangulia kwa muda mrefu ila sasa Gari la Tanzania limeshika Kasi na limelipita la Kenya.
Hongera kushangilia ndugu zako wakiangamia badala ya kuchukua hatua ya kujilinda uwalinde pia
 
Kwa sasa Gari la Mashindano la Kitanzania linashindana zaidi na lile Gari la Mashindano la Kenya na tayari limeshalipita Ndugu.
Sawa kabisa ndio kiu ya watazamaji wengi kwa sababu tumesha mshinda wa kenya na hakuna jinsi ambavyo anaweza kutupita tusiombe dereva wetu ashindane na madereva wa ulaya!
 
Hongera kushangilia ndugu zako wakiangamia badala ya kuchukua hatua ya kujilinda uwalinde pia

Ninaongelea Mashindano ya Mbio za Magari hapa kati ya lile la Tanzania na la Kenya na siwazii Upumbavu unaouwazia Wewe.
 
Back
Top Bottom