Askari mstaafu: Walichofanya Mdee na wenzake pale Segerea ni sawa na Gari kugonga Treni kwenye "Railway cross Road"

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Afisa mstaafu wa jeshi la magereza ndugu Mwakibinga amenieleza kuwa kilichotokea pale Segerea kati ya akina Halima Mdee na askari walinzi wa gereza ni sawa kabisa na Gari kugongana na Treni kwenye eneo ambalo Reli imevuka barabara " Railway cross Road"

Vyovyote itakavyokuwa tafsiri ni moja tu uwapo eneo la gereza raia unapaswa kuheshimu na kutii maelekezo yote unayopewa na askari au maofisa magereza na si vinginevyo anasema Mwakibinga.

Hata upelelezi wa matukio ya namna hauwezi kuchukua zaidi ya dakika 30 kwa sababu utaratibu wa Magereza kwa wageni uko wazi kabisa, amemalizia Mwakibinga.

Binafsi bado natafakari hii ya " Railway cross Road" mara nyingi magari ndio huchakazwa chakari na kesi hubebeshwa wao, kweli mwenye nguvu mpishe.

Maendeleo hayana vyama!
 
Maelezo yake ni kweli kwa sababu hawa jamaa wa magereza huwa hawatumii akili ili kufikiri, bali wanatumia makalio.

Wenye kutumia akili huwa wanatumia maarifa kufanya maamuzi, hata poli si wetu vilevile nao sijui wanakwama wapi.
Wanashindwa hata kutafuta ka uwongo kanakofanana na ukweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila mzee ana busara,hata wapumbav huzeeka!
Yaani huyo askari anachosema haijalishi matokeo ni nini,hata kama hao jamaa wangeamua kuwapiga risasi na kuwaua wote waliokuwepo pale,ni sawa tu!
 
Maelezo yake ni kweli kwa sababu hawa jamaa wa magereza huwa hawatumii akili ili kufikiri, bali wanatumia makalio.

Wenye kutumia akili huwa wanatumia maarifa kufanya maamuzi, hata poli si wetu vilevile nao sijui wanakwama wapi.
Wanashindwa hata kutafuta ka uwongo kanakofanana na ukweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa askari zetu ukiwapeleka nchi nyingine,wataua sana watu!
 
Toa vifungu vya taratibu, sheria, katiba na vilipovunjwa.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Wakati mwingine mtambue kuwa si sheria tu zinazoongoza nchi..! Kuna amri, maelekezo si kila jambo hapa nchini limetungiwa sheria.

Katika hili Chadema walichemka jeshini wanatumia zaidi amri si sheria kwenda kubishania gerezani kuliko fanywa na akina Mdee na yaliwapata ni haki yao.

Lakini pia waneshindwa kujitathimini na kuwa na mikakati mipya ya kufanya siasa shindani ndani ya mazingira kinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afisa mstaafu wa jeshi la magereza ndugu Mwakibinga amenieleza kuwa kilichotokea pale Segerea kati ya akina Halima Mdee na askari walinzi wa gereza ni sawa kabisa na Gari kugongana na Treni kwenye eneo ambalo Reli imevuka barabara " Railway cross Road"

Vyovyote itakavyokuwa tafsiri ni moja tu uwapo eneo la gereza raia unapaswa kuheshimu na kutii maelekezo yote unayopewa na askari au maofisa magereza na si vinginevyo anasema Mwakibinga.

Hata upelelezi wa matukio ya namna hauwezi kuchukua zaidi ya dakika 30 kwa sababu utaratibu wa Magereza kwa wageni uko wazi kabisa, amemalizia Mwakibinga.

Binafsi bado natafakari hii ya " Railway cross Road" mara nyingi magari ndio huchakazwa chakari na kesi hubebeshwa wao, kweli mwenye nguvu mpishe.

Maendeleo hayana vyama!
Yaani huyu mpumbwavv anataka kusema hata askari magereza akiua mtu yeyote maeneo ya gereza hakuna kosa!!!

Mstaafu naona kamaliza pensheni yake mapema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine mtambue kuwa si sheria tu zinazoongoza nchi..! Kuna amri, maelekezo si kila jambo hapa nchini limetungiwa sheria.

Katika hili Chadema walichemka jeshini wanatumia zaidi amri si sheria kwenda kubishania gerezani kuliko fanywa na akina Mdee na yaliwapata ni haki yao.

Lakini pia waneshindwa kujitathimini na kuwa na mikakati mipya ya kufanya siasa shindani ndani ya mazingira kinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana bwashee!
 
Back
Top Bottom