gari

  1. Gabbimakini

    Car4Sale Gari aina ya Harrier linauzwa

    Toyota harrier (tako la nyani) Gari imetunzwa Haijarudiwa rangi Full ac Full documents Bei ni 19M Tunakusaidia kuissue transfer of ownership Piga simu 0688351006
  2. Tabutupu

    Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

    Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao. Wabongo sio watu wazuri. Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
  3. D

    Natoa siku saba walioiba matairi ya gari la wizi likiwa kituoni baada ya kukamatwa likiwa salama watakipata Cha Moto

    Mambo mengine yanakera Sana! Ebu fikilia, Gari limeibiwa mwezi wa nne, Tumehangaika kulitafta hatimaye likapatikana likiwa limefichwa huko Kimara na dreva wake kuuwawa na waliohusika na wizi huo walikamatwa wote na Cyber Crew! Wakati taratibu zingine za kimahakama zikiendelea, Gari Hilo likiwa...
  4. MK254

    Watanzania mlitusema wakati tulikawia kutoa gari kutoka baharini, nyie mumeshindwa kwenye mto, siku kumi sasa

    Kuna kipindi gari lilizama baharini na kutoweka, ikabidi wataalam Wakenya watumie mbinu za hali ya juu kulisaka mpaka wakalipata na kulitoa na kuopoa miili ya mama na mwanaye, kwa siku hizo wakati juhudi zinaendelea, JF ilikua inawaka moto, Watz walikua wanafungua nyuzi kila siku za kuchekelea...
  5. Suley2019

    BABATI: Watatu wafariki kwa kugongwa na gari ya Askari wa TANAPA

    Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Mamire wilayani Babati mkoani Manyara waliokuwa wakisafiri kwa kutumia bodaboda wamefariki duniani papo hapo baada ya kugongwa na gari la Askari wa Wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire(TANAPA) waliokuwa doria katika eneo la kijiji hicho linalopakana na...
  6. Z

    Partnership : Biashara ya uuzaji mafuta ya gari

    Habari Ningetaka kuanzisha biashara ya uuzaji mafuta ya gari Ninatafuta partner. Masharti : Awe na skype, tuzungumze kwa haraka. Kama hapendi kuandika / Kusoma, sina haja. Ahsante
  7. sanalii

    TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

    Nimetumia kikokotoo cha TRA nimechoka kabisa, ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari yenyewe
  8. WilsonKaisary

    Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa

    1. Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na nembo ya taifa ya Bwana na Bibi. Kwa Kiingereza magari haya hufahamika kama State Cars. 2. Spika wa...
  9. Ndikwega

    Naomba Kufafanuliwa kuhusu Gari aina ya Toyota Belta

    Wasalaam Wanajamvi, Sina Mengi naomba mwenye Kujua kuhusu gari aina ya Belta Kiujumla Msaada kwa Ufafanuzi. Je, Belta na IST ipi gari bora katika kila Nyanja? Nawakaribisha kunitoa Tongotongo na Ahsanteni! Toyota Belta
  10. Ndama dume

    Gari ya kukodi inahitajika

    Habari za jioni wakubwa na wadogo. Naomba kuzamia kwenye mada Nahitaji gari kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale kwenye mkoa wa Singida si unajuwa tena kipindi cha kampeni, gari hiyo ikipatikana itafanya kazi mkoa wa Singida ila anaeitaka kwa sasa yupo Kahama unakuja nyumbani mnaweka mkataba...
  11. J

    Gairo: DC amtuhumu mwenyekiti wa CCM kuhongwa gari na mbunge Shabiby, mwenyewe akana asema amenunuliwa na Dkt. Mwigulu. Kesi iko Takukuru

    Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo. Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali...
  12. JituMirabaMinne

    Kuna umuhimu mkubwa sana kufanya check up ya mifumo ya umeme na electronics kwenye gari yako

    Kwanza kabisa naomba radhi kwa sababu thread kidogo ni ndefu. Lakini ni muhimu kuisoma kwa sababu inaweza ikaokoa gharama kubwa au hata kuokoa maisha yako. Sasa tuendelee.. Watu wengi wakienda kufanya ukaguzi(check up) wa magari yao, Huwa wanakagua vitu kama Brake pads/brake shoes, ball...
  13. Chizi Maarifa

    Msinunue Namba za magari badala ya Gari lenyewe

    Nina kagari Toyota IST ambako kana namba CYZ jamaa mmoja alikuwa anakapenda haka kagari kutokana na condition yake na jamaa ni mbahili pia.binafsi nlikanunua sababu ya mamsap awe anaendea salon na sokoni.baadaye akaja akawa anataka Crown "Toyota" so haka kakabaki hakana kazi. Kiukweli gari ipo...
  14. L

    Naomba kujuzwa sehemu ambayo nitaweza repair bodi za Landrover kwa Dar es salaam

    Habari. Jaman mwenye kujua gereji au fundi Mtaalam anae repair bodi za landrover kwa Dar es salaam anisaidie Namba yake. CC. MshanaJr
  15. Mb-one

    Nataka kuagiza gari ila imetembea zaidi ya kilometer 200,000

    Hello wakuu Nataka kuagiza X-Trail new model 2007, ila tatizo ni kuwa ina kM zaidi ya laki 2. Sasa nakuwa na wasiwasi, je inaweza ikawa engine yake haijachoka. Kuna mtu kaniambia road za wenzetu Japan hazina shida Kama huku bongo. Hebu naomba ushauri wenu wakubwa wa kazi.
  16. muzi

    Service inayohitajika mara kwa mara kwa gari yako

    Habari wapwa na natumahi tunaendelea kunawa mikono kama ilivyo ada. Kwa thread hii tuzungumzie service inayohitajika kufanyika kwa magari yetu mara kwa mara. Wengi wetu tumekuwa tukitengeneza magari yetu pindi zinapoharibika lakini wataalamu wanatushauri kubadilisha aina na baadhi ya vifaa pale...
  17. Mzukulu

    Ni kwanini pamoja na ujio wa Magari mengi na mapya duniani lakini Gari za Mercedes Benz, Rolls Royce, Porsche na Lamborghini zitaheshimika Milele?

    Leo hii sijui Mzukulu nimekumbwa na nini yaani similiki hata Baiskeli au Guta lakini nayazungumzia Magari ambayo sina hata Ubavu wa Kuyamiliki. Lamborghin Mercedes Benz Porsche Rolls Royce
  18. K

    Ushauri: Naomba kujuzwa namna ya kuongeza kimo/ urefu wa gari

    Salam wakuu, Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa. Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri...
  19. Double line

    Pata picha umemuazima rafiki yako gari

  20. lite boe

    Taja sheria moja ya gari ya polisi aina ya Defender

    Message…
Back
Top Bottom