Toyota harrier (tako la nyani)
Gari imetunzwa
Haijarudiwa rangi
Full ac
Full documents
Bei ni 19M
Tunakusaidia kuissue transfer of ownership
Piga simu 0688351006
Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Mambo mengine yanakera Sana!
Ebu fikilia, Gari limeibiwa mwezi wa nne, Tumehangaika kulitafta hatimaye likapatikana likiwa limefichwa huko Kimara na dreva wake kuuwawa na waliohusika na wizi huo walikamatwa wote na Cyber Crew!
Wakati taratibu zingine za kimahakama zikiendelea, Gari Hilo likiwa...
Kuna kipindi gari lilizama baharini na kutoweka, ikabidi wataalam Wakenya watumie mbinu za hali ya juu kulisaka mpaka wakalipata na kulitoa na kuopoa miili ya mama na mwanaye, kwa siku hizo wakati juhudi zinaendelea, JF ilikua inawaka moto, Watz walikua wanafungua nyuzi kila siku za kuchekelea...
Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Mamire wilayani Babati mkoani Manyara waliokuwa wakisafiri kwa kutumia bodaboda wamefariki duniani papo hapo baada ya kugongwa na gari la Askari wa Wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire(TANAPA) waliokuwa doria katika eneo la kijiji hicho linalopakana na...
Habari
Ningetaka kuanzisha biashara ya uuzaji mafuta ya gari
Ninatafuta partner.
Masharti :
Awe na skype, tuzungumze kwa haraka.
Kama hapendi kuandika / Kusoma, sina haja.
Ahsante
1. Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu
Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na nembo ya taifa ya Bwana na Bibi. Kwa Kiingereza magari haya hufahamika kama State Cars.
2. Spika wa...
Wasalaam Wanajamvi,
Sina Mengi naomba mwenye Kujua kuhusu gari aina ya Belta Kiujumla Msaada kwa Ufafanuzi.
Je, Belta na IST ipi gari bora katika kila Nyanja?
Nawakaribisha kunitoa Tongotongo na Ahsanteni!
Toyota Belta
Habari za jioni wakubwa na wadogo.
Naomba kuzamia kwenye mada
Nahitaji gari kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale kwenye mkoa wa Singida si unajuwa tena kipindi cha kampeni, gari hiyo ikipatikana itafanya kazi mkoa wa Singida ila anaeitaka kwa sasa yupo Kahama unakuja nyumbani mnaweka mkataba...
Mkuu wa wilaya ya Gairo amemtuhumu mwenyekiti wa CCM wa wilaya kwamba amehongwa gari na mbunge Ahmed Shabiby ili wambebe kwenye uchaguzi. Mkuu wa wilaya amewataka Takukuru wamshughulikie mwenyekiti huyo.
Naye mwenyekiti wa CCM amesema gari hilo hajahongwa na Shabiby kama inavyodaiwa bali...
Kwanza kabisa naomba radhi kwa sababu thread kidogo ni ndefu. Lakini ni muhimu kuisoma kwa sababu inaweza ikaokoa gharama kubwa au hata kuokoa maisha yako.
Sasa tuendelee..
Watu wengi wakienda kufanya ukaguzi(check up) wa magari yao, Huwa wanakagua vitu kama Brake pads/brake shoes, ball...
Nina kagari Toyota IST ambako kana namba CYZ jamaa mmoja alikuwa anakapenda haka kagari kutokana na condition yake na jamaa ni mbahili pia.binafsi nlikanunua sababu ya mamsap awe anaendea salon na sokoni.baadaye akaja akawa anataka Crown "Toyota" so haka kakabaki hakana kazi.
Kiukweli gari ipo...
Hello wakuu
Nataka kuagiza X-Trail new model 2007, ila tatizo ni kuwa ina kM zaidi ya laki 2. Sasa nakuwa na wasiwasi, je inaweza ikawa engine yake haijachoka. Kuna mtu kaniambia road za wenzetu Japan hazina shida Kama huku bongo.
Hebu naomba ushauri wenu wakubwa wa kazi.
Habari wapwa na natumahi tunaendelea kunawa mikono kama ilivyo ada.
Kwa thread hii tuzungumzie service inayohitajika kufanyika kwa magari yetu mara kwa mara. Wengi wetu tumekuwa tukitengeneza magari yetu pindi zinapoharibika lakini wataalamu wanatushauri kubadilisha aina na baadhi ya vifaa pale...
Leo hii sijui Mzukulu nimekumbwa na nini yaani similiki hata Baiskeli au Guta lakini nayazungumzia Magari ambayo sina hata Ubavu wa Kuyamiliki.
Lamborghin
Mercedes Benz
Porsche
Rolls Royce
Salam wakuu,
Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa.
Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.