Mambo mengine yanakera Sana!
Ebu fikilia, Gari limeibiwa mwezi wa nne, Tumehangaika kulitafta hatimaye likapatikana likiwa limefichwa huko Kimara na dreva wake kuuwawa na waliohusika na wizi huo walikamatwa wote na Cyber Crew!
Wakati taratibu zingine za kimahakama zikiendelea, Gari Hilo likiwa ni miongoni mwa vielelezo vya ushahidi! Nikaomba nipatiwe ili liendelee kufanya biashara kwa masharti kuwa sitakiwi kuliuza hadi kesi itakapoisha, ili pindi wakilihitaji mahakamani kwa ushahidi nilipeleke;
Nilikubali masharti hayo, lakini wakaomba niwapatie funguo wa akiba ili waliendeshe wao kulipeleka kwa mkaguzi (Vehicle inspector) kabla ya kunikabidhi rasmi! Nikawapa funguo!
Hadi Sasa Zimepita wiki mbili wananizungusha hawataki kunipa gari Hilo, Kibaya zaidi Sasa wanasema gari lenyewe sahivi matairi mawili halina, halafu na radio haimo; Eti ndiyo maana wanachelewa kunipatia kwasababu upelelezi unaendelea!
Inauma Sana! GARI IMEKAMATWA IKIWA SALAMA NA FUNGUO WAKAOMBA; Sasa imekuaje ghafla matairi na radio vimepotea!?
Nachoamini Ilikuwa kituoni sehemu salama! Matairi yamepoteaje?
NATOA SIKU SABA waliohusika wote na wizi wa matairi hayo warudishe haraka vinginevyo napita Nao hivi, maana hawana huruma hata kidogo!
Iwe ni watu wa breakdown au ni nani yoyote aliyehusika Itakula kwao hadi kizazi Chake Cha tatu!
SIWAPIGII TENA KUFUATILIA TOENI NA INJINI KABISA!
Ebu fikilia, Gari limeibiwa mwezi wa nne, Tumehangaika kulitafta hatimaye likapatikana likiwa limefichwa huko Kimara na dreva wake kuuwawa na waliohusika na wizi huo walikamatwa wote na Cyber Crew!
Wakati taratibu zingine za kimahakama zikiendelea, Gari Hilo likiwa ni miongoni mwa vielelezo vya ushahidi! Nikaomba nipatiwe ili liendelee kufanya biashara kwa masharti kuwa sitakiwi kuliuza hadi kesi itakapoisha, ili pindi wakilihitaji mahakamani kwa ushahidi nilipeleke;
Nilikubali masharti hayo, lakini wakaomba niwapatie funguo wa akiba ili waliendeshe wao kulipeleka kwa mkaguzi (Vehicle inspector) kabla ya kunikabidhi rasmi! Nikawapa funguo!
Hadi Sasa Zimepita wiki mbili wananizungusha hawataki kunipa gari Hilo, Kibaya zaidi Sasa wanasema gari lenyewe sahivi matairi mawili halina, halafu na radio haimo; Eti ndiyo maana wanachelewa kunipatia kwasababu upelelezi unaendelea!
Inauma Sana! GARI IMEKAMATWA IKIWA SALAMA NA FUNGUO WAKAOMBA; Sasa imekuaje ghafla matairi na radio vimepotea!?
Nachoamini Ilikuwa kituoni sehemu salama! Matairi yamepoteaje?
NATOA SIKU SABA waliohusika wote na wizi wa matairi hayo warudishe haraka vinginevyo napita Nao hivi, maana hawana huruma hata kidogo!
Iwe ni watu wa breakdown au ni nani yoyote aliyehusika Itakula kwao hadi kizazi Chake Cha tatu!
SIWAPIGII TENA KUFUATILIA TOENI NA INJINI KABISA!