MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,743
- 48,326
Kuna kipindi gari lilizama baharini na kutoweka, ikabidi wataalam Wakenya watumie mbinu za hali ya juu kulisaka mpaka wakalipata na kulitoa na kuopoa miili ya mama na mwanaye, kwa siku hizo wakati juhudi zinaendelea, JF ilikua inawaka moto, Watz walikua wanafungua nyuzi kila siku za kuchekelea.
Wakajisahau kwao walivyo nyuma sana kwenye haya mambo, meli yao ilipozama ziwa Victoria, ilibidi juhudi za uokoaji kusitishwa kisa hawakua na mwangaza wa kutosha usiku hivyo ikabidi abiria wajifie mbali na baadhi ya miili yao kuopolewa ila mingine ikaachwa iliwe na viumbe vya humo ziwani, juzi hapa siku kumi zimepita tangu lori kutumbukia kwenye mtoni, wamehangaika na kushindwa kulitoa.
Mmiliki wa lori amekata tamaa na kulisahau.
Wakajisahau kwao walivyo nyuma sana kwenye haya mambo, meli yao ilipozama ziwa Victoria, ilibidi juhudi za uokoaji kusitishwa kisa hawakua na mwangaza wa kutosha usiku hivyo ikabidi abiria wajifie mbali na baadhi ya miili yao kuopolewa ila mingine ikaachwa iliwe na viumbe vya humo ziwani, juzi hapa siku kumi zimepita tangu lori kutumbukia kwenye mtoni, wamehangaika na kushindwa kulitoa.
Mmiliki wa lori amekata tamaa na kulisahau.