gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. C

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilikufanya ujitafakari

    Mimi nilikia najichukulia poa lakini kuna siku wanawake wawili walinipigania. Walipigana haswa hadi balozi alikuja kuamua na kila moja alipigana na mwenzake kwasababu wote walikua wananipenda sana hawakutaka kunipoteza, kilichosaidia balozi alikuja kuwaamua na tangu hapo nilijitafakari upya na...
  2. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kitu gani ulishawahi kukisikia hukuamini kabisa lakini baadae ukajua ni kweli?

    Kwema wakuu, Mada hapo juu yahusika share kitu gani umewahi kusikia ukabisha sana ukidhani kuwa ni chai, lakini baadae ukajagundua ni kweli. Na vipi ulipogundua ni kweli, uliamini au uliendelea kubisha!
  3. Dr PL

    JamiiForums Tanzania Wanaozuia mtandao mpaka sasa wamepata faida gani?

    Tangu mwaka jana jukwaa hili lilizuiwa kwa muda wa siku 90 na TCRA. Tulipitia wakati mgumu sana kwa sababu hili jukwaa lina manufaa mengi sana hasa kwa ustawi wa taifa letu. Ni kupitia jukwaa hili ambapo wananchi huwasilisha kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili. Ni kupitia jukwaa hili...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Changamsha bongo: Wasomi, unaweza tumia njia gani kutenganisha huu udongo?

    Ukiambiwa utenganishe huu udongo utatumia njia gani?
  5. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo mwakilishi wa Tanzania huko kwenye Miss World? Mbona kama tumepigwa?

    Wakuu, Anaitwa Latricia Ian, jana ndo kachaguliwa kuwa ni Miss World Tanzania Mna uhakika huyu ndo anaenda kutuwakilisha Watanzania huko Miss World? Kamati ya Miss World wametumia vigezo kumpa huyu dada title ya Miss World Tanzania? Nimesikitika!
  6. Foffana

    JamiiForums Tanzania Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Habari za jioni Wakuu Kwa wale ambao wapo Dar ama wanapafahamu vyema Dar, basi sio wageni na kitu hiki kabisa lazima watakuwa washawahi kuona ama kusikia Kuna baadhi ya sehemu ukipita hasa maeneo ya mjini au sokoni huwa unaona kuna kundi limejikusanya wakimzunguka mtu anayetangaza vitu fulani...
  7. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Wakali wa Location hapa ni Makambako sehemu gani?

    Wakali wa location mko wapi Ni eneo maarufu sana hapa Makambako
  8. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pisi gani kali iliyomo humu tuende naye mbugani, tukajifunze namna ya kuijaza dunia?

    Kutokana na uchovu wa wiki nzima, imenibidi nitenge muda angalau wikiendi hii niende nikashangae viumbe wengine wanavyoishi wakiwa hapa duniani. Nimeazimia kutembelea mbuga mbili, sasa ili safari isinichoshe na niifurahie zaidi, nahitaji kampani ya pisi kali tukaangalie namna viumbe wengine...
  9. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ya kudai Boss alipe Mishahara

    Nimejishikiza katika kaajira flani private sasa boss watu wanadai ndiyo michezo yake wafanyakazi wakifanya kazi miezi kadhaa huwa anataka kuzurulumu. Mwezi mmoja ili muondoke then alete wengine nao wakifanya anawadhurumu . Trend huwa ipo ivyo Leo tumekaa kupanga jinsi gani Tu deal na BOSS ila...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Eti wadau, Huyu atakuwa Naibu waziri wa wizara gani?

    Huyu kajichanganya, kapita kwenye njia ambazo walipa kodi huwa wanapita huku CCM wakinadi kuwa nchi ina barabara zimejengwa kwa kiwango bora sana huku sehemu kubwa ya nchi ikiwa hoi kama hivyo licha ya kelele kuwa wamewaletea maendeleo wananchi. Haya huyu atakuwa wa wizara gani huyu?
  11. Red black

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo ukiwa unafikiria akili ya kibinadamu inafikia mwisho kabisa. Je, huwa unatumia njia gani kupata majibu sahihi kwa jambo linalokutatiza?

    .
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis, ni namna gani ya kuweka tahadhari za kuizuia isiwake moto

    Ni magari ambayo yamekuwa na matukio ya kuwaka moto, Ni tahadhari ipi ya kuchukua 𝗠𝗥𝟮𝟬 𝗘𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝗖𝗰 𝟭𝟵𝟵𝟬 𝗣𝗲𝘁𝗿𝗼𝗹 𝗔𝘂𝘁𝗼𝗺𝗮𝘁𝗶𝗰 Location: Tanga
  13. B

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha hii ilipigwa mwaka 2012 nchini Korea Kaskazini

  14. M

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na msemo " maisha yenyewe mafupi " ni msemo gani mwingine hutumia kujifariji ukitumia pesa nyingi kwenye starehe?

    Ukiachana na msemo " maisha yenyewe mafupi " ni msemo gani mwingine hutumia kujifariji ukitumia pesa nyingi Kwenye maisha kuna mambo mengi sana, kuna wakati mtu unaamua kujipa kafuraha unatumia pesa, ukistuka kibinda kimeenda kikubwa kiasi unataka kuumia roho ila unatafuta kamsemo ka kujifariji...
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Muhoozi Kainerugaba anacheza game gani? Au ni ujinga wa kuzidi tu?

    Huyu jamaa maneno anayotoa kwa umma ni kuna game au hila anachezea watu au ni ujinga umemzidi na Schizo kabisa?
  16. COLTAN

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Habari I??? Kichwa Cha habari kisemavyo.Je ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?
  17. Emily magnus

    JamiiForums Tanzania Huu ni ugonjwa gani na unatibiwa vipi/na dawa gani?

    Habari za muda huu madaktari.... Nina ng'ombe 2 zinaumwa, ila sijui nini tatizo. Wa kwanza jike. Dalili alizonazo ni kutoshiba vizuri(tumbo halijai), ila anakula kuanzia asubuhi(saa 3 au saa 4) mpaka jioni. Na pia, akiwa porini anapenda kulala au kusimama sehemu kwa muda mrefu(nikama...
  18. Mtumishi 19

    JamiiForums Tanzania Je, ni utaratibu gani wa kufungua biashara ndogo-ndogo chini ya 5M?

    Ndugu zangu habarini za wakati huu. Naomba mwenye kujua taratibu za kufungua biashara yoyote ndogo-ndogo anifahamishe hataua kwa hafua kwa mjibu wa sheria.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Salma Kikwete: Majaliwa hakutimiza ahadi ya kujenga barabara ya lami, Serikali ina mpango gani?

    Salma Kikwete: Kutokana na kwamba Waziri mkuu mstaafu Kassim Majaliwa hakutimiza ahadi aliyotuahidi ya kutujengea barabara ya lami ya urefu wa kilomita 4.5 watu wa jimbo la Mchinga, nini mkakati wa Serikali kujenga barabara hiyo ambayo mpaka sasa haijajengwa hata kilomita 0.5? Serikali: Kwanza...
  20. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Kama kila kitu kina faida na hasara zake. Je, kuna faida gani za kuwa masikini?

    Kama kila kitu kina faida na hasara zake je, kuna faida gani za kuwa maskini?
Back
Top Bottom