haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,559
- 3,810
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.
sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa