Kipi kinachokufanya utembee kifua mbele?

Kipi kinachokufanya utembee kifua mbele?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,559
Reaction score
3,810
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.

sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
 
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.

sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
Hebu tupiamo kapicha basi ili nasi tujionee unachoringia. Bila picha uzi huu ni batili.
 
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.

sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
Huyu ni mwanaume au mwanamke?
 
Huyu ni mwanaume au mwanamke?
Ni mwanaume . Na hana ndevu hata moja 😂😂😂😂.

Akinawa uso ni kama vile anaosha embe.
Anateleza 😊😊😊😊.

picha yake watu weng tunaijua. Binafsi sijaona uhandsome wake...

Hii kusema watu wanamtazama kwa matamanio asidhan ni kwa kuwa ana sura nzur. Ila ni kwasababu ana haiba ya kike.

Kwahiyo watu wanashangaa huyu mwamba hana matiti ila kwanini anajishebedua na kubinua kiuno kama mwanamke.
wanashangaa hilo tu na sio kama anavyodhan yeye.
 
Mimi naringia muonekano wangu, nikifika sehemu lazima watu waanze kunitazama kwa jicho la matamanio na butwaa. basi kama ni huduma napata haraka, Nadhan hata interview walipata butwaa mambo yakawa mepesi kabisa.

sasa unakuna mtu hana chochote cha kuringia kisha anatembea akivimba, bure kabisa
Kifua kiko mbele tu, hata nikitembea kinyumenyume 😂
 
Post kapicha tuone uzuri wako, shekhe huenda ukampata kijana wa kukitolea posa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom