Hii ni aina gani ya kuku??

Hii ni aina gani ya kuku??

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,242
Reaction score
16,531
Leo nimepita maeneo flani hapa dar nikaona kuku ambao sijawaelewa.

Paja lake tuu wanauza 15,000
Hilo paja ni nene sana Lina nyama nyingi uzito ni zaidi ya kg1

Shingo yake ni ndefu sana halafu nene mno.

Hii ni mbegu aina gan ya kuku?

Mfupa wake ni ngumu kama wa mbuzi kuuvunja lazima upige panga
 
27510.jpg

Huu mfupa kuuvunja lazima uwe na panga

Hapa kwa sababu ya picha linaonekana kawaida lakin ni zaid ya kg 1 kwa uzito
 
Back
Top Bottom