gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mambo/vitu gani vilikushangaza sana ulipokuja rasmi kuishi Dar es Salaam?

    Ni ndoto ya watu wengi mikoani na hata nchi za jirani kama Zambia, Malawi, Burundi na Rwanda siku moja kutia mguu Dar au kuishi kabisa mjini Dar. Hata mimi ilikuwa ndoto yangu pia. Kile kibao kilichoandikwa DAR ES SALAAM pale Chalinze kinachoonekana wakati ukitokea Arusha kilikuwa kinanipa moto...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hii kauli ya Mo ina maana gani?

    Rais wa heshima wa Simba Mohammed 'Mo' Dewji, amewaambia wanasimba wote: "Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, istokee kwamba MTU aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji' Nimejiuliza hii kauli ina maana gani? Kwa nini itoke sasa? Kama ni kutoa pesa kwa nini atoke hadharani...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Afande Wambura soma kesi ya Machano vs Republic hapa chini ujiridhishe ni elements zipi zinaweza kufanya treason

    S.M. Z versus Machano Khamis Ali and 17 Others; Criminal Application No 8 of 2000: Court of Appeal of Tanzania at Zanzibar (Unreported). Criminal Law Treason – whether or not treason can be committed against the Revolutionary Government of Zanzibar. Treason – what are the elements of offence...
  4. Yericko Nyerere

    JamiiForums Tanzania UTATA: Ni muda gani na wapi Rais anatumia Nembo ya Taifa, au Nembo ya Rais, kwenye mimbari?

    Je Serikali imebadili nembo ya taifa kimyakimya bila kufuata utaratibu wa Kikatiba na kisheria? Rais wetu Samia anatumia hii nembo ya taifa gani katika nchi ya TANZANIA? Je, watu wanaelewa kweli hatari ya jambo hili? Nani katwaa Urais wa Rais Samia? Tunamtaka aliyetwaa Urais wa Samia aurejeshe...
  5. AbuuMaryam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama lengo ni Yanga na Simba zikutane Fainali kulikuwa na haja gani ya haya Mashindano?

    Kwa sababu kwa asili ilikuwa MSHINDI WA KWANZA WA LIGI NA WA PILI WATACHEZA NGAO YA HISANI...ilikuwa SIMBA NA YANGA zicheze NGAO YA JAMII. Sasa kulikuwa na haja gani ya mashindano...na huku mmeshapanga fulani ashinde... Hili suala la kuweka gender balance kwenye baadhi ya mambo ambayo...
  6. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Kwa muda gani mrefu umekaa bila kuoga na kwanini?

    Muda: nilikaa wiki 2 bila kuoga nikaja kuoga mara 1 nikakaa tena wiki 2, Chanzo: Niliingia kwenye msala flan ambao hatma yake iliamuliwa baada ya siku 30, ulikuwa msala ambao ungeathiri hata maisha yangu kiujumla. Nlijaa stress sana hicho kipindi nasubiri hatma, nilikaa wiki 2 bila kuoga...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Haya maisha ya namba gani?!

    WanaJf wenzangu,Nawasalimu.Kuna jamaa yangu mmoja anaishi maisha ya ajabu sana!Hela anapata sana,lakini Hana kitanda,godoro Wala chumba Cha kulala!Kulala kwake ni kwa kidandia mara kwangu mara kwa jamaa wengine,akizipata analala bar!Na ni mchangiaji mzuri wa mada mbalimbali nk.Na ukimpa ushauri...
  8. Torra Siabba

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Ni aibu Jiji la Mwanza kuwa na mgao wa maji

    Nianze kwa kusema ukweli kwamba Waziri Juma Aweso, Anafanya kazi kubwa ya kuhakikisha kwamba Tanzania tatizo la maji linakwisha lakini naamini watendaji wake ndio wanaomkwamisha. Ni miezi mitatu sasa Jiji la Mwanza lililozungukwa na Ziwa Kubwa barani Afrika Wakazi wake tunakosa maji wakati ziwa...
  9. Webabu

    JamiiForums Tanzania Usuluhishi gani huu wa kutomualika mmoja ya wanaogombana

    Saudi Arabia kicks off Ukraine talks that exclude Russia Some 40 countries will attend a meeting in Jeddah to discuss a set of common principles to end the war in Ukraine. Saudi Arabia has kicked off a weekend summit in Jeddah, in which senior officials from some 40 countries – but not Russia –...
  10. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Hii ni nchi gani ambayo maghorofa yanafika hadi mawinguni?

    Mniambie kwa kina nisije kuwa nimepigwa na kitu kizito. Ni kweli kuna nchi ina majengo marefu kiasi kwamba yapite usawa wa Mawingu😅😅 Kuna watu wanamchokoza Mungu, tusije letewa yale yale ya mnara wa Babeli
  11. Equation x

    JamiiForums Tanzania Kijiji gani ardhi yake ina rutuba, na gharama za kilimo ziko chini?

    Sasa ni muda muafaka kwa vijana kuingia kwenye kilimo. Najua vijijini gharama za kilimo huwa chini, unaweza kubahatisha mashamba yenye rutuba na yanakodishwa kwa bei nafuu. Na pia katika kuimarisha umoja katika maeneo hayo, wanakijiji hao hao wanakuwa vibarua kwenye hayo mashamba, ambapo...
  12. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa angekuwa Mbongo angefaa kuwa kabila gani?

  13. Exile

    JamiiForums Tanzania Hivi hizo tozo za jengo zinafanya kazi gani? maana umeme kutwa kukatika

    Wakuu juzi tu hapa wameongeza kodi ya mita za luku kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500. Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujua mtu akikwambia nimeenda sehemu maalamu kufanya kazi maalumu ina maana gani?

    kuna mtu wangu wa karibu kuna muda anasafiri ukimuuliza ulikua wapi anasema kufanya kazi maalumu na sehemu maalumu hapo ndo sielewagi kabisa..natamani anaeelewa haya mambo anielezee
  15. Yofav

    JamiiForums Tanzania Ni kiasi gani kinapaswa kuchangiwa kama mchango wa harusi?

    Habari wakuu, ni katika hali ya kunishangaza leo nimepokea kadi ya mchango kutoka kwa jirani yangu ambae anatarajia kufunga ndoa. Nimepokea kadi hii na shughuli yao inaonekana inafanyika mwezi ujao, Hii ni kadi ya kwanza napokea ya kuhusu haya masuala toka nizaliwe 23years ago maana nilizoea...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Ukibahatika kuwa na hela nyingi usizitumie kufanya uovu. Kuna faida gani kuoa mwanaume mwenzio sababu ya pesa?

    WanaJF ninaandika huu uzi baada ya kusoma machapisho mbalimbali mitandaoni na mimi mwenyewe kujionea mambo mengi maovu. Watu wengi wenye pesa wamekuwa chanzo cha maovu mengi sana. Ni kawaida watu wengi wenye pesa kutaka kufanya mambo ambayo ni ufedhuli uliopotiliza. Kuna wengi wanatumia fedha...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Asili ya jina "Mhelela" ni kabila gani na kutoka mkoa gani?

    Wakuu, kama mada hapo juu naomba nisaidiwe jibu. Tafadhali kama hujui naomba ukae kimya.
  18. R-K-O

    JamiiForums Tanzania Kikristo ni dhambi gani unakuwa umeitenda ukiamua kuwa na wake wawili au zaidi

    Je ni dhambi kuoa mke zaidi ya moja ? Kama ni dhambi, hio ni dhambi ipi waliyoitenda pia kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k. kwa kuoa zaidi ya mke moja ?
  19. MrWings

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi gani unaweza kumtambua mdada anae danga( mdangaji )?

    Habari za mda huu wakuu, Leo nimeamua kulileta suala Hili ili tupeane experience ya jinsi Gani unaweza kumtambua mdada kuwa ni mdangaji au Malaya. Kwa mimi binafsi huangalia vitu vifuatavyo, 1.nywele huwa Wana zibreach 2.huvaa vile viskin vya kubana, kirefu au kifupi 3.huvaa Yale masuruali ya...
  20. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Taa za barabarani za sola zinagharimu kiasi gani?

    Habari. Naona kuna jambo zuri sana la kufunga taa za barabarani za sola. Zinagharimu kiasi gani taa hizo mbali na nguzo zake? Haziwezi fungwa kwenye nguzo za TANESCO mitaani?
Back
Top Bottom