GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Msifungwe nyie nani? Wapuuzi wakubwa. Inafungwa Simba SC inayowazudi Kimafanikio kwa Kimataifa, inafungwa Real Madrid FC na hata PSG FC sembuse nyie Washamba ( Wagaigai ) tukuka wa Jangwani na Kigamboni?
Sasa kwa taarifa yenu Ihefu FC ipo pamoja na Mwenyezi Mungu, itakuwepo na atailinda dhidi ya Ukatili na Roho zenu mbaya Wanafiki na Wapuuzi Waandamizi nyie.
Mijitu mizima lakini hamna Akili. Hivi ukiwa na Spirit of Sportsmanship unaweza kweli Kuchukia au kutotaka Kufungwa?
Kumbe ndiyo maana Haji Manara aliwahi kusema kuwa huko Klabuni kwenu wenye AKILI KUBWA na TIMAMU ni Wawili tu Baba yake Mzazi Mzee Manara na Rais Mstaafu Kikwete na Wengine wote Dr Matola PhD ( akiwemo ) hawana Akili yaani ni Mazuzu ( Dimwits ) tupu.
Ila siwashangai sana kwani hata wakati wa Sakata lenu na Mchezaji Feisal Salum "Fei Toto' huku kwa Upumbavu wenu mkiwa hamna Ushahidi mlikurupuka kama hivi na kusema kuwa eti mtagomea kununua Bidhaa za Azam / Bakhressa Company hadi kutotizama Mpira kupitia Azam Tv.
Kudadadeki zenu hivi kwa huu Umasikini mkubwa tulionao Watanzania Wengi ( GENTAMYCINE nikiwemo ) kuna mwana Yanga SC ambaye tokea akiamka Asubuhi hadi Usiku akienda Kulala hatumii / hanunui Product yoyote ile ya Azam / Bakhressa?
Hivi kuna Watu na Mibichwa yao mikubwa na Macho yao makubwa wanapenda kutizama Azam Tv hasa Mipira ( Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC ) kama Mashabiki wa Yanga SC?
Hovyo kabisa nyie.....!!
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!
Sasa kwa taarifa yenu Ihefu FC ipo pamoja na Mwenyezi Mungu, itakuwepo na atailinda dhidi ya Ukatili na Roho zenu mbaya Wanafiki na Wapuuzi Waandamizi nyie.
Mijitu mizima lakini hamna Akili. Hivi ukiwa na Spirit of Sportsmanship unaweza kweli Kuchukia au kutotaka Kufungwa?
Kumbe ndiyo maana Haji Manara aliwahi kusema kuwa huko Klabuni kwenu wenye AKILI KUBWA na TIMAMU ni Wawili tu Baba yake Mzazi Mzee Manara na Rais Mstaafu Kikwete na Wengine wote Dr Matola PhD ( akiwemo ) hawana Akili yaani ni Mazuzu ( Dimwits ) tupu.
Ila siwashangai sana kwani hata wakati wa Sakata lenu na Mchezaji Feisal Salum "Fei Toto' huku kwa Upumbavu wenu mkiwa hamna Ushahidi mlikurupuka kama hivi na kusema kuwa eti mtagomea kununua Bidhaa za Azam / Bakhressa Company hadi kutotizama Mpira kupitia Azam Tv.
Kudadadeki zenu hivi kwa huu Umasikini mkubwa tulionao Watanzania Wengi ( GENTAMYCINE nikiwemo ) kuna mwana Yanga SC ambaye tokea akiamka Asubuhi hadi Usiku akienda Kulala hatumii / hanunui Product yoyote ile ya Azam / Bakhressa?
Hivi kuna Watu na Mibichwa yao mikubwa na Macho yao makubwa wanapenda kutizama Azam Tv hasa Mipira ( Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC ) kama Mashabiki wa Yanga SC?
Hovyo kabisa nyie.....!!
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!