gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. kijanamtanashati

    JamiiForums Tanzania Ungezaliwa upya ungependa kuzaliwa nchi gani?

    Je kungekua na uwezekano wa kuzaliwa upya, ungependa kuzaliwa nchi gani? Toa sababu?
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

    Kipindi ukiwa na umri gani ndo uliamua KUOA AU KUOLEWA? ✨Ulimpata wapi your partner? HAPO ONGEZEA ULIMPATA WAPI HUYO MWENZA WAKO?
  3. benzemah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

    Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya, Waziri Mkuu wa Zamani wa Nchi hiyo na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema jitihada za kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea kulitafuna taifa zilifanywa sio tu na jamii wa Wakenya peke yao bali hata Matifa jirani ambapo...
  4. National Anthem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

    Hallo Wakuu, Baridaaa! Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa (money) yako.. nafsi yako (roho yako) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake? Binafsi; 1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani. 2. Kujaza wese na kukimbia (napenda sana...
  5. Supercomputer

    JamiiForums Tanzania Janga gani lilikukuta baada ya kuexpose mafanikio yako public?

    Vipi wakuu; Katika harakati za maisha, wengi wetu tuna ile kasumba kutaka kuwaprove wrong ndugu jamaa na jamii inayotuzunguka kwamba wasikuchukulie poa kwa kuonyesha progress zako, bila kujua kwamba watu hawafurahii positive changes especially watu wa uswahilini. Binafsi baada ya kustruggle...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania IGA ya DPW imetusaidia mambo mengi. Kwanza kuonyeshea tuna wanasheria wa aina gani, pili kuidogosha fani ya sheria na sasa kila mtu ni Mwanasheria?

    Wanabodi Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo...
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kofia ndogo wanazovaa Wayahudi huwa zina maana gani?

    Nawaona sana wanavaa hao jamaa; watu wa kawaida hadi viongozi. Ina maana gani kuwa vidogo vile?
  8. kibori nangai

    JamiiForums Tanzania Huyu Hamza Johari CV yake ikoje na ni kabila gani

    Ndugu Watanzania wenzangu Wikiendi imeenda vyama sana. Embu kwenye kumjua Hutu jamaa wa DP World kwa Tanzania embu naomba atusadie Nadhani sio mimi pekee nisiyemfahamuu vyema . Maeneo ya msingi 1.Historia take 2.Tasisi alizowahi kuhudumu 3.na sasa nini Nani chini Mwisho elimu yake...
  9. C

    JamiiForums Tanzania NMB mna shida gani kwenye huduma zenu kupitia mawakala?

    NMB huduma za kibenki kupitia kwa mawakala imekuwa ni changamoto. Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc. Sijui shida ipo kwa nani. Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM...
  10. The Boss

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa hivi Wana shida gani?

    Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali. Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k. Na wengine wanakuwa maarufu Sana. Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Wadau hiyo gari ya hiyo dada ni aina gani

    Wakuu hamjamboni nyote? Naomba kufahamu hiyo gari pichani ni aina gani na inagharimu kiasi gani ukiamua kuinunua kwa fedha za Kitanzania ikiwa mpya kabisa Naomba pia kujua kiwango cha matumizi ya mafuts pet kilometa Aksanteni niwatakie usiku mwema
  12. Mama Mwana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kisa gani ulikumbana nacho kwenye safari yako ya mapenzi

    nilikua nikieperuzi peruzi humu nikana kuna mtu anatafuta mume mtu mzima akanikumbusha mbali sana kwenye moja wapo ya kisa nilichokutana nacho, ilikua hivi nilitokea kupata danga la kizee, ni mtu mzima mno maana si mama yangu wala baba yangu anamfikia sasa nikawa namuita babu, huyu babu niseme...
  13. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kitanizuia kuwa Kama Elon Musk

    Habari Wana jf Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu. Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi 👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami...
  14. blogger

    JamiiForums Tanzania Hiki ni kitu gani jamani?

    Ni nini!?
  15. Black Opal

    JamiiForums Tanzania Ungeweza kuchagua kazi yoyote hapa duniani ungetamani kufanya kazi gani?

    Wakuu kwema? Kama ungepewa nafasi ya kuchagua kazi yoyote hapa duniani ungependa kufanya kazi gani? Haijalishi ina hela au lah, lakini kazi hiyo inakupa amani ya moyo na furaha na unaona ungekuwa unafanya hiyo yaani utakuwa na furaha maisha yako yote, ungependa kufanya nini? Mi napenda sana...
  16. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulipomfumania umpendaye ulichukua hatua gani?

    Asubuhi hii mie nipo busy . Kutoa hii post maana imeniusu 100% . Huyu kijana nilimpenda alinipenda sana . Ukiwa kijana huwezi ishi na mtu mmoja ila huyu niliishi naye sikuwa na jiibia kwa mtu. Siku moja niliamua kwenda kumsabahi mwaya dah yupo na mwana dada anatako kubwa , ni mrefu alikuwa na...
  17. Black Opal

    JamiiForums Tanzania Leo tuwape Mods na Kiongozi Melo maua yao. Mod gani anakukosha? Alifanya kitu gani ukafurahia uwepo wako JF?

    Wakuu kwema? Mada inajieleza kabisa hapo. Leo ni tuwape Mods wa JF pamoja na Muanzilishi wa JF, kioo cha wengi Bwana Maxence Melo maua yao. Sema jinsi Mods na Melo wanavyosaida siku yako iwe nzuri kila unapoingia JF. Ulifanyiwa kitu gani kikakupendeza mpaka ukatamani uwatoe hata ka ofa ka...
  18. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni movie gani umewahi kuangalia ikakutoa machozi?

    Nawasalimu kwa Jina la jamiiforums, stori ziendelee. wana JF napenda sana muvi za hisia zile mtu unatazama hadi unatoka machozi. Tunaomba kwa yeyote anaezifahamu muvi za kutoa machozi aweke hapa jina la muvi tukazitafute.
  19. S

    JamiiForums Tanzania Hivi hili la bandari nalo likipita kwa ushwari uliolengwa na mamlaka, je ni kitu gani au jambo gani tena la kutuingiza barabarani kama nguvu ya umma?

    Kama kuna jambo ambalo limeamsha hisia na vuguvugu za kizalendo kwa kipindi kirefu kilichopita, na kupata sapoti ya wanazuoni wanaoheshimika ndani na nje ya nchi ni hili la bandari. Pamoja na kuwa wazi kabisa kwamba kuna kila dalili ya kuja kulilia huko mbele ya safari kuwa viongozi wetu...
  20. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

    Nimejikuta nawaza tu.... Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh. Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Back
Top Bottom