Wee Bocco una mpira gani unaokupa jeuri ya kunyamazisha watu wasiongee?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,136
7,903
Bloo wangu siku hizi unazingua sana kwa vitendo vyako vya kujifanya kunyamazisha watu kisa umefunga tugoli, tena tugoli twenyewe twa offside na twingine beki kajifunga. Ukweli ni kuwa hakuna cha maana unachofanya uwanjani siku hizi, kazi kuwapiga vichwa na vikumbo wachezaji wenzio.

Nakushangaa sana, haujiulizi ulipokuwa hauchezi kwa nini watu walikuwa hawakulilii? U captain wenyewe sijui umepewa na Mangungu au Salim ndiyo unaokupa jeuri hiyo? Captain gani hana namba kwenye timu yake, yaani unaweza kwenda game 10 uko tu benchi na hakuna mtu yuko na time na wewe.

Ona Phiri tunayeamini kakuzidi kila kitu, mnafanya tu uswahili kumpiga pini ila kaingia tu dakika 2 kasaidia timu kupata goli. Hizi ni ishara za Mungu kuwazodoa wale wenye roho za korosho hapo Simba.

Mwenzio Kibu alipofanya ishara ya kunyamazisha mashabiki baada ya kumtungua Diarra, Baleke aliwahi kumzuia, wewe inaonyesha ni kama kamwinyi hapo Simba, hakuna wa kukukemea. Captain gani unakuwa na tabia mbofu?

NB: Siku hizi nimeamua kupumzika na mambo ya mpira naana kuna upuuzi mwingi ambao nimeshindwa kuendelea kuuvumilia.
 
Goli la Leo la offside limembeba Boko na kuibeba kolowizard mbumbumbu fc! Bila hivyo mechi ingeisha kivingine, prison wanapaswa kulalamika! Timu zingine zikicheza na Simba ziwe macho na marefa wa mchongo! Zisikubali red cards, magoli ya offside na penati za bahasha!
Hii imeonesha Kuna mkakati maalum Yanga isibebe kombe msimu huu!
Huyu Mr Karai hafai kuongoza soka la bongo!
 
Bloo wangu siku hizi unazingua sana kwa vitendo vyako vya kujifanya kunyamazisha watu kisa umefunga tugoli, tena tugoli twenyewe twa offside na twingine beki kajifunga. Ukweli ni kuwa hakuna cha maana unachofanya uwanjani siku hizi, kazi kuwapiga vichwa na vikumbo wachezaji wenzio.

Nakushangaa sana, haujiulizi ulipokuwa hauchezi kwa nini watu walikuwa hawakulilii? U captain wenyewe sijui umepewa na Mangungu au Salim ndiyo unaokupa jeuri hiyo? Captain gani hana namba kwenye timu yake, yaani unaweza kwenda game 10 uko tu benchi na hakuna mtu yuko na time na wewe.

Ona Phiri tunayeamini kakuzidi kila kitu, mnafanya tu uswahili kumpiga pini ila kaingia tu dakika 2 kasaidia timu kupata goli. Hizi ni ishara za Mungu kuwazodoa wale wenye roho za korosho hapo Simba.

Mwenzio Kibu alipofanya ishara ya kunyamazisha mashabiki baada ya kumtungua Diarra, Baleke aliwahi kumzuia, wewe inaonyesha ni kama kamwinyi hapo Simba, hakuna wa kukukemea. Captain gani unakuwa na tabia mbofu?

NB: Siku hizi nimeamua kupumzika na mambo ya mpira naana kuna upuuzi mwingi ambao nimeshindwa kuendelea kuuvumilia.
Umepumzika mpira..hiki ulichoandika Siasa??!
 
A9B81138-11CD-4B5E-A6F0-C49352F00850.jpeg
 
Goli la Leo la offside limembeba Boko na kuibeba kolowizard mbumbumbu fc! Bila hivyo mechi ingeisha kivingine, prison wanapaswa kulalamika! Timu zingine zikicheza na Simba ziwe macho na marefa wa mchongo! Zisikubali red cards, magoli ya offside na penati za bahasha!
Hii imeonesha Kuna mkakati maalum Yanga isibebe kombe msimu huu!
Huyu Mr Karai hafai kuongoza soka la bongo!
Mmeanza
 
Goli la Leo la offside limembeba Boko na kuibeba kolowizard mbumbumbu fc! Bila hivyo mechi ingeisha kivingine, prison wanapaswa kulalamika! Timu zingine zikicheza na Simba ziwe macho na marefa wa mchongo! Zisikubali red cards, magoli ya offside na penati za bahasha!
Hii imeonesha Kuna mkakati maalum Yanga isibebe kombe msimu huu!
Huyu Mr Karai hafai kuongoza soka la bongo!
Mmeanza kulalamika lakini muda utaongea.
 
Bloo wangu siku hizi unazingua sana kwa vitendo vyako vya kujifanya kunyamazisha watu kisa umefunga tugoli, tena tugoli twenyewe twa offside na twingine beki kajifunga. Ukweli ni kuwa hakuna cha maana unachofanya uwanjani siku hizi, kazi kuwapiga vichwa na vikumbo wachezaji wenzio.

Nakushangaa sana, haujiulizi ulipokuwa hauchezi kwa nini watu walikuwa hawakulilii? U captain wenyewe sijui umepewa na Mangungu au Salim ndiyo unaokupa jeuri hiyo? Captain gani hana namba kwenye timu yake, yaani unaweza kwenda game 10 uko tu benchi na hakuna mtu yuko na time na wewe.

Ona Phiri tunayeamini kakuzidi kila kitu, mnafanya tu uswahili kumpiga pini ila kaingia tu dakika 2 kasaidia timu kupata goli. Hizi ni ishara za Mungu kuwazodoa wale wenye roho za korosho hapo Simba.

Mwenzio Kibu alipofanya ishara ya kunyamazisha mashabiki baada ya kumtungua Diarra, Baleke aliwahi kumzuia, wewe inaonyesha ni kama kamwinyi hapo Simba, hakuna wa kukukemea. Captain gani unakuwa na tabia mbofu?

NB: Siku hizi nimeamua kupumzika na mambo ya mpira naana kuna upuuzi mwingi ambao nimeshindwa kuendelea kuuvumilia.

Mimi mwenyewe nilishangaa. Kakosa magoli mengi Sana ya wazi. Ila kafunga lile la utata anataka kunyamazisha watu. Very stupid.
 
Goli la Leo la offside limembeba Boko na kuibeba kolowizard mbumbumbu fc! Bila hivyo mechi ingeisha kivingine, prison wanapaswa kulalamika! Timu zingine zikicheza na Simba ziwe macho na marefa wa mchongo! Zisikubali red cards, magoli ya offside na penati za bahasha!
Hii imeonesha Kuna mkakati maalum Yanga isibebe kombe msimu huu!
Huyu Mr Karai hafai kuongoza soka la bongo!

Punguzeni lawama. Mpira haupo hivyo.
 
Back
Top Bottom