fursa

  1. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu

    Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji (TIC) inaendelea kutangaza fursa za uanzishwaji wa viwanda vya kuchakata mazao ikiwemo mazao ya karanga, ufuta na alizeti. Haya yamebainishwa bungeni...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Blue Economy Technical Adviser at VSO February, 2024

    Position: Blue Economy Technical Adviser Location: Tanzania Salary: Not Specified Contract Type: Not Specified Contract Length: Not Specified Full Time: Not Specified Interview Date: To be confirmed Start Date: June 2024 Download Job Description File Size: 205.58 KBs, File Type: pdf Role...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Fursa: Mechi ya Simba na Azam CCM Kirumba yatumika kutangaza Maandamano ya Amani

    Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo. Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe. Mashabiki wa...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Fursa zipo shida ni sisi

    Habari wakuu, jana nilileta bandiko hapa kwa wale wasio na kazi au wenye kupata japo masaa mawili kwa siku kuwa kwenye mtandao kutengeneza pesa kupitia simu zao wengi walibeza, lakini nilichokigundua kuwa wengi humu mmekaririshwa kuwa yeyote anayekuja humu na tangazo la fursa ni tapeli kitu...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Fursa ya uwekezaji Reli na barabara kwenda Zambia baada ya hili

    https://www.cnbc.com/2024/02/05/bill-gates-backed-miner-discovers-large-scale-copper-deposit-in-zambia.html
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Expression of Interest (EOI) at Buckreef Gold Company Ltd January, 2024

    Expression of Interest (EOI) for the Supply of Chemical and Reagents to Process Plant REF: BGC/TZ/PLANT/MET/2023/01 Buckreef Gold Company Ltd “BGCL”), a JV agreement company between State Mining Corporation (STAMICO) and TRX Gold, a 100% owned subsidiary of Tanzanian Gold Corporation (TSX...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Warehouse Co-Ordinator at Serengeti Breweries January, 2024

    Position: Warehouse Co-Ordinator Worker Type: Regular Primary Location: Moshi Purpose of Role: To ensure that inbound and outbound inventory SAP/WMS postings happen real time and are support by the right documentation for a specific warehouse. They system should always reflect what is on the...
  8. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Ya Magufuli kujirudia, anahisi kuwa ndiye Rais wa Nchi. Atumia fursa ya Rais Samia kuwa nje kikazi

    Wakati Mh Samia Suluhu yupo nje ya nchi kikazi , Paul Makonda anatumia ziara zake ambazo zimepewa jina la 'OPERESHENI CHAFUA MBOWE" kujijenga kisiasa na siyo kujenga chama wala bosi wake , yaani mwenyekiti wa chama. RC na WAZIRI hawana mamlaka hata ya kumfukuza mtu kazi. Ila wanaweza...
  9. Championship

    JamiiForums Tanzania Muda ambao Mungu anafungua milango hakuna cha kuzuia, endeleeni kupambana kutafuta fursa za ajira na tenda

    Kuna miaka kama mitatu hivi nilipitia changamoto na fursa zikawa haziji. Nilikuwa natamani hata kupata kazi ya kulipwa chini ya milioni na haikupatikana. Sasa hivi hata siamini namna miaka mitano tu inavyoweza kubadilisha maisha ya mtu. Nikaendelea kuomba fursa karibu kila sehemu. Kumbuka nina...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Internal Audit at Access Microfinance January, 2024

    Position: Head of Internal Audit Responsibilities: • Ensure the strategic development of the Internal Audit Function • Manage the Internal Audit Function including developing a Risk based Annual Audit plan, ensuring its proper and timely implementation. • Ensure audit assignments are planned...
  11. big dreamer

    JamiiForums Tanzania Wabongo tungekuwa tunaaminiana vijana tungepata fursa hii kwenye majiji yenye foleni mfn. Dar

    Kwenye folen kuna fursa hii pia.
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Chef De Partie at Hakuna Matata Bookings Limited January, 2024

    Position: Chef De Partie Hakuna Matata Booking Limited a limited liability company incorporated in Tanzania under the Companies Act, Chapter 212 of the Laws of Tanzania and having its registered offices within the City of Arusha, we are currently looking to fill the position of Chef De Partie...
  13. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya CRDB Bank Foundation, UNDP kuwajengea uwezo wajasiriamali fursa za AfCFTA

    Dar es Salaam. Tarehe 16 Januari 2024: Katika kuimarisha uwezo wake na ushirikishaji wa wadau, Taasisi ya CRDB Bank Foundation imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Mkataba huo wa miaka mitano unakusudia kufanikisha uwezeshaji wananchi hasa...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Fursa ya Masomo ngazi ya Umahiri Chuo Kikuu Tsukuba Japan, 2024

    TAARISA YA FURSA YA MASOMO NGAZI YA UMAHIRI, PROGRAMU YA SERA YA UMMA NA UCHUMI KATIKA CHUO KIKUU TSUKUBA NCHINI JAPAN Ubalozi umepokea taarifa kutoka Chuo Kikuu Tsukuba kilichopo nchini Japan kuhusu fursa za mazomo ngazi ya Umahiri, Programu ya Sera ya Umma na Uchumi kwa Mwaka wa Masomo 2024 –...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANAPA yawasili visiwani Zanzibar kunadi vivutio na fursa za uwekezaji

    Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wamewasili Visiwani Zanzibar kushiriki kwa mara ya kwanza Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yaliyofunguliwa tarehe 10.01.2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussen Ali Mwinyi eneo la Dimani - Fumba Zanzibar ili kunadi...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Dola (USD) ni fursa iliyojificha

    Uhaba wa Dola nchini utaibua mabilionea wapya kupitia "black market" bado Kuna kijana analalamika ukosefu wa ajira?
  17. S

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Kombe la Mapinduzi ni mashindano ya kutoa fursa kwa wachezaji wanaochipukia

    Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players...
  18. Ritz

    JamiiForums Tanzania Sasa tunayo fursa ya kihistoria ya kukomboa kila eneo la Lebanon pamoja na eneo la mashamba ya Shebaa

    Wanaukumbi. BREAKING: ⚡ 🇱🇧Nasrallah, kiongozi wa Hizbullah: SASA TUNAYO FURSA YA KIHISTORIA YA KUKOMBOA KILA INCHI YA ENEO LA LEBANE, PAMOJA NA ENEO LA MASHAMBA YA SHEBAA. - Tuliwaua wanajeshi wengi wa Israeli, wakiwemo majenerali, lakini adui anaficha majeruhi wake. -Idadi ya walemavu wa...
  19. Calvin Ramadhan

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kukuza brand ya mpira Tanzania

    Ni swali la msingi kama sio hoja, hivi kwa hatua tuliyofikia Tanzania kwenye maendeleo ya mpira inawezekana vipi TFF au wadau kwa ujumla au mamlaka husika ya mpira Tanzania kukosa udhamini kwenye mpira unaotumika uwe rasmi? Yaani ijulikane moja kama msimu wa 2023/24 Ligi yetu itatumia mpira wa...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Polisi Arusha yaahidi kuulinda mkoa Kidijitali, Wananchi waombwa kutumia fursa hiyo

    Jeshi la Polisi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema katika kuhakikisha linakwenda na mifumo ya kisasa na mabadiliko ya kitekinolojia ikizingatiwa mji huo ni kitovu cha utalii hapa nchini huku Mkoa huo ukipokea wageni wengi kutoka ndani ya nchi na mataifa mengine ambapo umeamua kuja na mfumo mpya...
Back
Top Bottom