fursa

  1. snipa

    JamiiForums Tanzania Bitcoin Halving Tukio au fursa ya kihistoria itakayobadilisha thamani ya Sarafu za Kidijitali 2024

    Katika thread hii sitazungumzia ni Nini maana ya Bitcoin mana naamini mada hizo zipo, ila ntaenda Moja kwa Moja kuzungumzia halving. Satoshi Nakamoto kwenye code za Bitcoin Blockchain aliona ni vyema kuzingatia baadhi ya mambo ili kuifanya BTC iwe inflatable, Ikiwa kama fedha ya kawaida inaweza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watu ambao Wanatengeneza maudhui (Content) ndio wanaopewa ajira sana zama hizi, fursa za pesa Tanzania zipo kwenye Content creations

    Huu ni ukweli mchungu, zama zimebadilika Vijana mnaomaliza chuo mjifunze kutengeneza content zitakazotrend hasa za kuelimisha, kufundisha, kuburudisha na kuchekesha watu.. huko ndipo kuna fursa za dili nyingi zama hizi
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Fursa za biashara 2024

    Wakuu wa JF, Naomba kuuliza ni sehemu gan hapa Dar kwa mwaka huu 2024 Kuna fursa nyingi za kibiashara kwa sisi wenye mitaji midogo kama 3M ambapo maybe kuna nyomi la watu wengi, mzunguko wa pesa ni mkubwa na labda ndo panachipukia kwa kasi sana kibiashara?
  4. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara Kufungua Fursa Mafia

    UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KUFUNGUA FURSA MAFIA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuifungua wilaya ya Mafia kwa kujenga miundombinu bora ya barabara ili kuchochea fursa za...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Kila Changamoto ni Fursa, Dalali mkuu nakurahisishia mahitaji yako

    SHALLOM WANABODI Ajira imekuwa changamoto sana kupatikana bila kuwa na Connection au Bahati kama ilivyo kwa wengi. Niliamua kufanya kazi ya udalali ambayo naona kwa kiasi kikubwa inalipa Japo unaweza kukaa mwezi mzima hujapiga dili la maana zaidi ya kupata dili ndogo ndogo za Elfu kumi...
  6. The Sheriff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Kenya kusafisha Mwakala wa Ajira kukomesha unyonyaji unaofanywa kwa wanaotafuta fursa za ajira nje ya nchi

    Shadrack Mwadime Serikali imeanzisha zoezi la kusafisha sekta ya makampuni binafsi za uwakala wa ajira kwa lengo la kufanya iwe na ufanisi zaidi, uwazi, na kuhudumia vizuri Wakenya wanaotafuta fursa za ajira nje ya nchi, amesema Katibu wa Wizara ya Kazi Shadrack Mwadime. Mwadime amesema...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Community relations officer at Fabec Investment Limited March, 2024

    Position: Community relations officer At Fabec Investment Limited we care deeply about our community, whether it’s internal or external, and we’re seeking a community relations officer to help us maintain and nurture these relationships. The ideal candidate will have excellent organizational...
  8. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwinyi azindua fursa za uchimbaji mafuta na gesi Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inapenda kuzialika kampuni zote za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi kushiriki katika Duru ya kwanza . Rais Dkt. Mwinyi amewakikishia wawekezaji wote wa sekta ya mafuta na gesi kuwa...
  9. De Rama Msirikale

    JamiiForums Tanzania Naomba uzoefu wa kuanzisha Non-Profit Organization

    Habarini wakuu na poleni kwa majukumu. Naomba kwa walio na uzoefu wa kuanzisha NGO,s kama hizi non-profit organization masuala ya wanawake, watoto, vijana na vikundi ili kuleta impact kwa jamii upande wa uchumi na kuleta fursa ya kazi
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Technical Aid 2-UG Geology at GGM March, 2024

    Position: Technical Aid 2- Underground Geology Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Department: Geology Reporting to: Superintendent 1 – UG Geology Number of Positions: One (1) PURPOSE OF THE ROLE: To provide support and assistance to Geology Technicians and Geologists in...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Assistant Accountant at TAWLA March, 2024

    Position: Assistant Accountant Duty Station: Dar es Salaam Job Overview Supporting the finance department, accountant, and management team by completing routine clerical and accounting tasks. Preparing budgets, maintaining reports, and completing basic bookkeeping and accounting duties...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa fursa za kujiajiri kwa Mhitimu wa chuo fani ya Computer Science

    Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili), Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi? Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania ICT Supervisor at Médecins Sans Frontières March, 2024

    Position: ICT Supervisor Duration: 12 months (Fixed Term Contract) – Full time position (100%) Direct Reports: LTL Location: Nduta *For national staff only Required Criteria: Minimum Educational Qualification: · Bachelor degree/Diploma in ICT or any related field. Certifications in...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Internships at Akiba Commercial Bank March, 2024

    Position: Internships The bank is looking for fresh graduates with strong academic background to join the Bank in an Internship Program. The Interns (2) will be attached in the Internal Audit Department for a period of one year. REQUIREMENT Recent university graduate (2023) with upper second...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Sales Representative at Luna Pads March, 2024

    Position: Sales Representative Company Profile: Luna Pads is a feminine care product brand based in Tanzania. Our mission is to support young girls and women live their best lives, by having a range of feminine care products for everyone and providing them with information they need to deal...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Various Posts at Jitegemee Holdings March, 2024

    1. Information Communication and Technology Officer ( Ref: JHCL/ICT/03/24) Duty Station: Head Office- Dar es Salaam Reports to: HR and Corporate Services Manager Key Responsibilities: IT Infrastructure Management Carry out all installations, configurations and maintenance of office...
  17. G

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje nchi yetu iliyojaa fursa na rasilimali hayumo Mtanzania hata mmoja wa asili kwenye kumi bora ya matajiri?

    Tukianza kuangalia jamii zilizofanikiwa hapa nchini, sharti la kwanza huwa ni kuwaweka Waarabu na Wahindi pembeni, hawa watu wametupiga gepu refu sana, hata top 20 ya matajiri huwezi kuta mtanzania wa asili, wakimbiza vibaya mno !! Tukiwatoa hao waarabu na wahindi ndio tunafuata sisi watanzania...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ifike muda ujanjaruke na wewe, kataa kufanywa fursa isiyo na faida kwako

    IFIKE MUDA UJANJARUKE NA WEWE KATAA KUFANYWA FURSA ISIYO NA FAIDA KWAKO. 1.Unakubalije kuwa na mtu ambaye kila akikutafuta basi ana shida. 2.Unakubalije kuhusiana na mtu ambaye bila wewe kumtafuta basi mahusiano ndio yanakufa . 3.Unakubalije kuwa na rafiki ambaye anataka umtimizie mambo yake...
  19. Jimena

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kwenda kufundisha Kiswahili Marekani

    Habari wana jamvi, Serikali ya Marekani kwa mara nyingine tena imetoa fursa kwa watanzania kwenda kufundisha lugha ya kiswahili nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja, ukipata nafasi hii basi utaenda kufundisha katika chuo kikuu, Hii ni njia nzuri kwa wale wanaopenda kutoka nje ya...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Supply Clerk at U.S. Embassy February, 2024

    About Announcement Number: DaresSalaam-2024-011 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Supply Clerk (Internal Candidates Only) Vacancy Time Zone: GMT+3 Series/Grade: LE - 0805 5 Salary: TZS...
Back
Top Bottom