Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,857
- 95,808
Habari wana jamvi,
Serikali ya Marekani kwa mara nyingine tena imetoa fursa kwa watanzania kwenda kufundisha lugha ya kiswahili nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja, ukipata nafasi hii basi utaenda kufundisha katika chuo kikuu,
Hii ni njia nzuri kwa wale wanaopenda kutoka nje ya Tanzania na kwenda kufanya kazi abroad. Sababu haihitaji connection wala msaada wa mtu.
Muombaji anatakiwa awe na umri usiozidi miaka 30 na awe na elimu ya kiwango cha degree (sio lazima iwe ya ualimu)
Mwisho wa kutuma maombi ni 03 May 2024
Link ya kuomba kujiunga na programu hii ni Foreign Language Teaching Assistant Program (FLTA)
Serikali ya Marekani kwa mara nyingine tena imetoa fursa kwa watanzania kwenda kufundisha lugha ya kiswahili nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja, ukipata nafasi hii basi utaenda kufundisha katika chuo kikuu,
Hii ni njia nzuri kwa wale wanaopenda kutoka nje ya Tanzania na kwenda kufanya kazi abroad. Sababu haihitaji connection wala msaada wa mtu.
Muombaji anatakiwa awe na umri usiozidi miaka 30 na awe na elimu ya kiwango cha degree (sio lazima iwe ya ualimu)
Mwisho wa kutuma maombi ni 03 May 2024
Link ya kuomba kujiunga na programu hii ni Foreign Language Teaching Assistant Program (FLTA)