Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
Tukianza kuangalia jamii zilizofanikiwa hapa nchini, sharti la kwanza huwa ni kuwaweka Waarabu na Wahindi pembeni, hawa watu wametupiga gepu refu sana, hata top 20 ya matajiri huwezi kuta mtanzania wa asili, wakimbiza vibaya mno !!
Tukiwatoa hao waarabu na wahindi ndio tunafuata sisi watanzania wa asili mbilikimo wa maendeleo ila kwa kuwa hata mbilikimo wana warefu wao basi hapo ndio utayakuta makabila yetu tunayoyasifia yana maendeleo.
Ni uwezo mdogo wa kufikiri, tumeridhika au nini?
Tukiwatoa hao waarabu na wahindi ndio tunafuata sisi watanzania wa asili mbilikimo wa maendeleo ila kwa kuwa hata mbilikimo wana warefu wao basi hapo ndio utayakuta makabila yetu tunayoyasifia yana maendeleo.
Ni uwezo mdogo wa kufikiri, tumeridhika au nini?