Wakuu habarini,
Nipo najiuliza maswali mawili matatu, lakini sioni kama halmashauri ya ubongo inanipa majibu ya kueleweka. Naona ni heri niweke hapa jukwaani naweza kupata machache ya kuniongoza kupata majibu.
Ni kuwa: nilikuwa nafuatilia ripoti ya kamati ya wizara ya fedha bungeni. Katika...