SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 910
- 1,394
Yoyote anayefahamu Azam TV, Startimes, Zuku na DSTV huwa wanalipa kiasi gani cha fedha kwa filamu moja ya kibongo anifahamishe..
😁😁 Kweli bana maana si wote watengenezao na waigizao hizo movie wanalipwaUsishangae wahusika wa hizo movie wakakuulza "kwani tunatakiwa kulipwa?"
Asimilia kubwa ya wasanii hawajui haki zao ukute hata hela yenyewe hawapewi.😁😁 Kweli bana maana si wote watengenezao na waigizao hizo movie wanalipwa
Asante sana.Nilisikia kwa mdau kutoka kwenye group moja akisema
Huwa wanalipa kati ya TZS 400,000 hadi 1,000,000 kulingana na aina ya movie...
Soko ni pana boss, wao (mfano Azam tv) wananunua haki ya kuonesha kwenye tv yao tu, bado unakuwa na nafasi ya kuiuza filamu hiyohiyo kwenye tv nyingine na hata kusambaza mitaani so usitegemee wakurudishie mtaji wote uliotumia.nimetengeneza kwa milion nilipwe laki 5 duh