Benki kuu nchini Burundi imetangaza kuyafunga maduka yote ya kubadilisha fedha kufIkia siku ya Jumamosi, kwa madai kuwa wamiliki wa maduka hayo wamekuwa wakifanya shughuli zao kinyume na utaratibu uliowekwa na Serikali ni hatua ambayo itasababisha watu kukosa ajira.
Gavana wa Benki kuu...
Katika Jiji la Mwanza Mitaa inayosifika au kuongoza kwa biashara ni Mitaa ya Liberty na Rwegasore. Kwa kawaida ikifika siku hasa ya Jumatatu Mitaa hii niliyotaja haipitiki kwa urahisi kwa sababu ya msongamano mwa watu wengi wanaotoka mikoa ya Kagera, Mara, Shinyanga hata na Tabora.
Lakini siku...
Tunaweza kuwa tunapewa sifa ya kuwa nchi tegemezi ya uhisani kumbe kwa kiasi kikubwa fedha hizo za uhisani zinaenda kwa NGOs za wapigaji wachache zinazofanya kazi zisizo na tija ya maendeleo endelevu.
Serikali ya Magufuli inataka mikopo itakayokuja kuinua maendeleo vijijini haswa.
Nashauri...
Serikali kila siku inajidai ina fedha za kutosha, inakusanya mapato mengi kuliko serikali zote, Leo kimewakuta nini hadi kilio kila kona.
Ni nashauri tokeni hadharani muwaambie wananchi kwamba Yale mliyokuwa mnajimbwambafai kwa wananchi ilikuwa ni uongo na hadaa.
Wachumi walikuwa wanahoji kila...
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho.
Anasema Zitto alipaswa awasilishe maoni yake na mapendekezo kuhusu ubovu wa sera ya elimu kisha litazamwe. Ndio...
Kwa wataalamu wa sheria na katiba ,naomba tu kufahamu najua hatuwezi kukosa fedha za uchaguzi hata kidogo lakini je ikitokea tuakakosa kabisa,nini kitatokea?
Je, Serikali iliyopo madarakani itaendelea kuongoza wakati muda wake utakua umekwisha, hadi wakati itakapopata fedha za uchaguzi, au...
CCM sasa imejikomboa kiuchumi na itajiendesha kwa fedha zake zitokanazo na vyanzo vyake halali vya mapato ikiwemo ada za wanachama, mapato ya vitegauchumi na ruzuku itokayo serikalini kwa mujibu wa sheria.
Mwenyekiti wa CCM taifa Dr Magufuli amewahakikishia wanaccm.
Chanzo: Habari Leo
Wanabodi za jioni!
Kutokana na aina ya utawala uliopo ni vigumu sana kwa waziri yeyote kusain mkataba wa mkopo bila idhini ya Rais!Najiuliza Kangi kapata wapi huu ujasiri?
Yaani asaini mkataba wa mkopo wa trillion ya mapesa bila Raisi kujua?sio kwamba hii ni fiction ya kuhalalisha kupitishwa...
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo.
Nitawawapa dondoo za...
Imeelezwa kuwa fedha hizo zilichangwa kwa ajili ya kununua madawati.
Akizungumza na Nipashe, Mkuu wa Takukuru mkoani hapa, Sosthenes Kibwengo, alisema Ndabazi alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma na alitenda kosa hilo akiwa Mwalimu wa Shule ya Sekondari Mpwayungu Wilaya ya...
Marekani imeiondoa China kutoka kwenye orodha yake ya nchi zinazodhibiti kiwango cha ubadilishaji wa fedha.
Ripoti iliyotolewa jana na Wizara ya fedha ya Marekani inasema kwa sasa hakuna nchi mshirika wa kibiashara wa Marekani anayefikia vigezo vya kisheria vya kudhibiti thamani ya sarafu yake...
Katika siku za hivi karibuni huduma ya kutuma fedha, kupokea na kulipa kupitia simu za mkononi imekuwa jambo kubwa nchini na kwa kiasi kikubwa kichocheo cha maendeleo yetu. Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa faida zinazohusiana na huduma za kifedha kwa njia ya simu za mkononi zinachangia sana kwenye...
UTANGULIZI
Wakuu; hivi karibuni Waziri wa Fedha Dr Mpango alialika watu kutoa maoni yao kuhusu mambo wanayoyaona kuwa ni kikwazo (au vikwazo) kwao katika kufanya biashara na akaahidi kuwa serikali itayafanyia kazi maoni hayo. Ni kwa sababu ya wito huo (najua watu wa serikali hupitia hapa) natoa...
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuhakikisha wanasimamia na kukagua mabasi yote yanayosafirisha vipeto, bahasha na vifurushi bila ya kuwa na leseni kutoka Mamlaka hiyo na kuwataka wanaofanya hivyo kuacha...
Angalizo hilo limetolewa baada ya kuibuka kwa kundi la watu waliobuni mbinu mpya kwa kutumia fursa hiyo kufanya utapeli jijini Mwanza kwa kuwashawishi kuwa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa unaendana na uhakiki wa akaunti ya benki ya mhusika...
December 31, 2019
Dodoma, Tanzania
Taarifa kwa Vyombo vya Habari Kuhusu ya Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka 2019 na Tathimini ya Awali ya Utekelezaji wa Bajeti kwa Nusu ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2019/20
By Dkt. Philip Mpango (Mb.) Waziri wa Fedha & Mipango 31 Desemba, 2019 - DODOMA
1...
Habari Wakuu,
Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila baadae nilielewa.
Wewe huwa unapataga changamoto gani unapotaka kubadilisha fedha za kigeni kwenye...
Wakuu natanguliza salamu za Mwaka mpya , baada ya salamu hizi najikita moja kwa moja kwenye hoja .
Chama cha Demokrasia na maendeleo kanda ya Pwani kimeandaa Mawakili wawili watakaofungua kesi Mahakamani ili kupinga sheria
ya " kishenzi " ya utakatishaji fedha
Hayo yamesemwa na Makamu...
Baada ya kifo cha kuhuzunisha cha Faru Fausta aliyekuwa moja ya vitega uchumi nchini, sasa inasemekana atakushwa na kuwekwa eneo maalum.
Lengo kuu ni kuendelea kuliingizia taifa hela za kigeni kupitia utalii wa ndani na nje na pia utafiti kwa vizazi vya baadae vyenye kuvutiwa na wanyama pori...
Wakuu nafahamu hapa JamiiForums kuna watu wenye connection mbalimbali, tafadhali sana kama mnaweza kunisaidia kwenye jambo hili maana nahisi kama sijaitendea haki field yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.