John Kishiwa
New Member
- Jun 8, 2026
- 1
- 0
Wakazi wa Eneo la Kimara Temboni mtakuja Tunapata shida ya Maji yapata sasa ni week ya tatu Maji hatuna .Ratiba ilikuwa kila jumamosi tena wanatoa Maji kuanzia saa kumi usiku na ikifika saa kumi na mbili maji yanakatika .
Watu wanateseka sana.
Tunaomba mamlaka husika itufikirie sisi wakazi wa kimara Temboni Mtakuja
Watu wanateseka sana.
Tunaomba mamlaka husika itufikirie sisi wakazi wa kimara Temboni Mtakuja