Eneo la shule kuwekwa maduka

Eneo la shule kuwekwa maduka

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,759
Reaction score
3,219
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka....
Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu Kajiungeni.
1. Je,hili suala ni linaruhusiwa...
2. Kama ni sawa ,mfumo wa uksanyaji pango na faida yake, kisheria unakuwa chini ya taasisi gani?
20260816_092257.jpg
 
Unashangaa shule siku hizi hadi wanajeshi wana njaa balaa wameweka fremu za maduka kuzunguka kambi zao
 
Uchumi wa fremu...kila uzio unajengwa fremu hadi uzio wa kambi za jeshi! Enzi hizo tuko wadogo kupita tu kwenye uzio wa jeshi unaogopa leo kunajengwa fremu na bar!
 
Back
Top Bottom