eneo

  1. Dalali_wa_kimataifa

    Kiwanda kinauzwa Kizota Dodoma. Anayehitaji tuwasiliane

    Kiwanda Kinauzwa Kiwanda kinauzwa kikiwa Kizota, Dodoma. Ukubwa wa kiwanja ni 3,770 sqm, eneo lipo sehemu nzuri na linatoa fursa mbalimbali za uwekezaji. Bei ni bilioni 2, na maongezi yapo kulingana na makubaliano. Kwa maelezo zaidi, tafadhali angalia picha zitakazofuata au tuma ujumbe mfupi...
  2. The Zanzibar Echo

    Trump asema atajaribu kurudisha eneo la Ukraine katika mazungumzo na Putin

    kwamba atajaribu kurejesha baadhi ya maeneo ya Ukraine wakati wa mkutano wake na Rais wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ijayo. "Urusi imechukua sehemu kubwa ya Ukraine. Wamechukua eneo muhimu. Tutajaribu kurudisha baadhi ya eneo hilo kwa Ukraine," alisema katika mkutano na waandishi wa habari...
  3. Dalali_wa_kimataifa

    EKARI 4,670 ZINAUZWA, ENEO LIPO PANGANI TANGA, BEI NI MILLION 1 KWA KILA EKARI

    #shambalinauzwa Shamba la Ekari 4,670 linauzwa Pangani, Tanga Distance Kutoka Kivukoni cha Pangani (ferry) hadi shamba ni km 14 -Shamba lilikuwa linalimwa Mkonge -Plot size Ekari 4,670 -Document: Title Deed Bei shilingi milioni 1 kwa kila ekari moja 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  4. F

    NAKODISHA ENEO LA BIASHARA YA HARDWARE NA VIFAA VYAKE .ie Godown, machine za blocks, office, sehemu ya mbao.

  5. Beberu Mwitu

    Ushauri kuhusu eneo la kupanga chumba/vyumba

    Habari za muda huu ndugu zanguni, niende moja kwa moja kwenye mada husika; Naomba msaada au ushauri wa haraka kuhusu mahali pa kupanga chumba au vyumba kwa maeneo ya karibu na kambi ya Jeshi ya Mgulani au Uwanja wa Taifa. Nimepangiwa kufanya kazi eneo la karibu na hayo niliyoyataja, na...
  6. Setfree

    Waziri wa Usalama wa Israel afanya sala katika eneo takatifu la al-Aqsa. Awaudhi Wapalestina

    Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir ametembelea eneo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem na kusali huko, na kukiuka mpango wa miongo kadhaa unaohusu mojawapo ya maeneo nyeti zaidi katika Mashariki ya Kati. Picha na video za ziara yake zinaonyesha Ben-Gvir akiongoza maombi ya Kiyahudi...
  7. ngoshwe

    Hii milipuko inayosikika eneo la Ubungo ni nini?

    Hii milipuko inayosikika eneo la Ubungo ni nini?
  8. Papillon 1906

    Heshima kwa wageni kuendelea kuwepo eneo la tukio

    Wanandoa nchini Filipino wamewashangaza watu wengi ulimwenguni baada ya kuendesha shughuli za harusi yao katika kanisa ambalo limejaa maji kutokana na dhoruba na mafuriko. Bwana Newlyweds Jade Rick na Jamaica kiss - wanaeleza Maamuzi hayo kwao ni kama kujitoa sadaka katika jambo Lao, lakini...
  9. radhiya

    Tunatafuta Eneo kwa ajili ya Ubia

    Tangazo kwa Wamiliki wa Mali/Viwanja! Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta Kiwanja cha JV kilichopo Masaki au Oysterbay, Dar es Salaam. Mahitaji ya mteja: -Ukubwa wa kiwanja uwe 2000sqm-4000sqm. -Masharti 30%/70%. -Mmiliki anapaswa kuwa tayari kwa maendeleo ya Villa(Villa development). -Plot...
  10. N

    Diamond kalikejeli eneo la Mtoni Mtongani akijisahau ni National Icon Artist mweny mashabiki maenei mbalimbali, hakutakiwa kupadhihaki

    Wengine tuna Ndugu, Jamaa na Marafiki wanaoishi huko Hata wana Jamii Forums maarufu kina Lucas Mwashambwa GENTAMYCINE Ritz kipara kipya Tlaatlaah wanakujua, wana ndugu zao, wanaishi au waliwahi kuishi.
  11. Dennis Robert Shughuru

    Njia ntakayotumia kuboresha maeneo kama Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Manzeshe, Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama, Sinza, Ilala, Keko n.k

    Hayo maeneo ni sehemu ya city centre kwa hiyo yanatakiwa yaboreshwe Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo Hayo maeneo yatajengwa gorofa kuanzia 5 na mpaka 100 Wale wote wenye maeneo watatoa maeneo hayo na kuwapa madeveloper Madeveloper watajenga...
  12. Dennis Robert Shughuru

    Kuanzia eneo la shoprite ya zamani kupita Ngarenaro mpaka kona ya Mbauda ule ni uchafu unatakiwa uondolewe

    Mimi shiishi Arusha ila ni zaidi ya miaka 20 lile eneo la shoprite ya zamani, unapita kona ya kilombero, ngarenaro lipo vile-vile na hakuna dalili hata ya kulibadilisha Ule uchafu kama uchafu, kunanuka, nyumba zimekaa hovyo hovyo, watu wamezagaa hovyo hovyo wengine wanauza kahawa, na wengine...
  13. A

    Nauza eneo langu lenye nyumba tatu

    Nimehamia kibaha mji niupendao. Kwangu naona kuna fursa nyingi. Ningependa kupaendeleza zaidi. Nimejenga nyumba nzuri pale kibaha, Nina eneo kubwa ambalo nimejaribu kuliwekea fence. Ila bado Sina umeme na maji.. Kule nilikohama mbezi kwa msuguri nimeacha nyumba tatu: moja ni kumbwa...
  14. Dalali wa Mjini

    Eneo linauzwa Bunju A Bagamoyo road

    Eneo linauzwa Bunju A Bagamoyo road. Eneo linatazama barabara kuu ya Lami. Wamiliki WA eneo wapo watatu. Kila mmoja na eneo lake lakini lipo sehemu moja. Mmiliki mmoja anauza milion 300 Mmiliki wa pili anauza milion 300 Wote Hawa wanapunguza Bei kama mkikubaliana. Mmiliki wa tatu anauza...
  15. Tabutupu

    Kwanini TANROADS wanajenga kituo cha mwendo kasi eneo la Flyover Mwenge?

    Nchi hii ni ya maajabu sana, ukipita pale mwenge junction, utakuta kuna kituo cha mqendokasi kila upande kinajengwa. Kwa utalaam wa ujenzi, unatakiwa kuondoa vitu kama stand au masoko karibu na junction. Imekuwaje tanroad wameamua kujenga vituo vya mqendo kadi mita chache kutoka junction...
  16. Bakulutu

    Plot4Sale Kituo cha mafuta kinauzwa (hakikukamilika) kipo kwenye eneo la heka 1

    Kituo kipo barabara ya Bagamoyo/Mlandizi, eneo tambarare kabisa, kina matanki 3 chini tayari na nyumba/ofisi tayari . Bei ni 150M . Hakuna kituo chochote karibu katika hii barabara na barabara nzima yenye umbali wa 35km kuna kituo kimoja tuu . Karibu kwa mazungumzo 0764452424 / 0785452424
  17. Sonship

    ENEO LA SHULE LINAUZWA AU KUKODISHWA GOBA MATOSA

    ENEO LA SHULE LENYE MICHEZO YA WATOTO LINAKODISHWA/KUUZWA Eneo la Shule lenye Madarasa kwa ajili ya DAY CARE & NURSERY LINAKODISHWA AU KUUZWA kwa mteja yeyote mwenye uhitaji wa kununua. Eneo hili lenye Ukubwa wa takribani Ekari 2, lipo Dar esalaam Matosa, Goba na lina Madarasa 4,Nyumba 1 ya...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Eneo linauzwa 35*35 (1225m²) Boko Basihaya

    Kiwanja kizuri Sana kiko kwenye makazi yaliyopangwa yakapangika, very good neighbourhood. Sifa za kiwanja. Marefu ni meta 35 Mapana ni meta 35. Unaweza ukakiita nuhu hela. Kiko Boko Basihaya, panafikika kirahisi kwa usafiri wa aina yoyote. Bei 50 mil only Mawasiliano:- 0717454455 0767454455
  19. Stuxnet

    Kila Ijumaa eneo la Chagga Street kuna ongezeko kubwa la ombaomba. Je, ni jukumu la nani kushughulikia changamoto hii ya kijamii?

    Wanafika kuazia saa 11 alfajiri kila Ijumaa kumsubiri tajiri wa Oilcom. Naye anawagawia Tsh 2,000/= kila mtu. Mtaa huu ni maarufu kwa vile una migahawa miwili maarufu Chef Pride na KT Shop. Tajiri wa Oilcom anafika mida ya saa 1 kupata breakfast yake Chef Pride Kuna ombaomba wa umri kuanzia...
  20. stabilityman

    Kama eneo lako ni asili ya mchanga una faida nyingi sana kwenye ujenzi

    Kama eneo lako ni asili ya mchanga una faida nyingi sana kwenye ujenzi
Back
Top Bottom