Mawazo yamenijia leo aliokuwa mzee wangu akisema dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti.
Ukitaka kuishi vema fikiri kabla ya kujibu jifunze kwa walimwengu walimwengu wajifunze kwako dunia ni kuona mambo halafu kuyasahau.
Mateso nimeshayapata matatizo mengi yamenikuta furaha nyingi...
Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake...
Nilichojifunza kwa siku za hivi karibuni Duniani kote ni kwamba kila Jambo ni habari. Wanadamu wamekuwa wepesi sana kupokea habari na wazito sana kuzichuja habari.
Ili uweze kuwa na afya ya kiakili lazima ulishe ubongo habari mchanganyiko then ubongo nao achambue zipi uzihifadhi Kama maarifa na...
Habari,
Mvumbuzi wa kanda za kaseti Mholanzi, Lou Ottens amefariki wiki hii akiwa na umri wa miaka 94.
Mabilioni ya kaseti zimeuzwa duniani tangu zilipobuniwa miaka ya 1960
Mtoto wa kike wa mvumbuzi huyo, Arine Ottens alikiambia chombo cha habari cha WTOP News juu ya kifo hicho...
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
Ndg Jeswald Majuva enzi za uhai wake
PICHA: Ndg Jeswald Majuva aliyezungushiwa alama, akiwa kwenye...
Mfalme wa Wazulu wa Afrika Kusini, Goodwill Zwelithini amefariki katika Hospitali ya KwaZulu-Natal alipokuwa anatibiwa kisukari
Mfalme Zwelithini ameugua kwa takribani kabla ya umauti kumkuta alfajiri ya Machi 12. Amekuwa mtawala waZulu tangu 1968
Zwelithini ni mfalme wa nane wa wazulu ambapo...
Mpenzi wa timu ya Simba Ally Rashidi Kuntika (71)katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo mkoani Ruvuma alidondoka ghafla na kufariki dunia papohapo mara baada ya mchezaji wa timu ya Simba Chris Mugalu kukosa kufunga goli la penati dhidi ya timu ya Tanzania Prison...
Hamed Bakayoko enzi za uhai wake
Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Hamed Bakayoko, amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani, mamlaka imesema.
Bakayoko, aliyekuwa akipata matibabu ya saratani, alifariki dunia Jumatano siku chache tu baada ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa ya 56...
Historia na maandiko yanasema kwamba Sodoma na Gomola ni miji iliyokuwa ina fanya mabalaa kibao, kinyaa kibao, ushenzi kibao...
Yaani mpaka ikafikia miji hiyo kuangamizwa
Ila nionavyo mimi..kwa dunia hii ya leo.. Wale wa Sodoma wakasome...
Kuna muvi moja ya xxx naiangalia hapa daaaah!!! Ni...
Leo Machi 3, 2021 Benki ya Dunia inatoa Ripoti yake ya uchambuzi huru wa hali ya kiuchumi ya Tanzania ikiwa ni toleo la 15.
Jiunge nasi tukikuletea taarifa mubashara.
LIVE:
YouTube:
Facebook:
Salaam za ufunguzi zilizotolewa na Mara K. Warwick, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa nchi za...
Lejendari wa muziki wa Reggae Bunny Wailer, ambaye ni miongoni mwa waasisi wa kikundi maarufu cha Reggae kiitwacho Wailers, ambacho kilimuinua Bob Marley kwenye hadhi mziki wa ulimwengu, amefariki akiwa na umri wa miaka 73. Nyota huyo wa miaka 73 alikata roho akiuguzwa katika hospitali ya...
Rais wa Benki ya Dunia(WB) David Malpass amesema wamefurahishwa na namna Ghana inavyojizatiti kutoa dozi za chanjo kwa wananchi wake
WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100 sawa na takriban Tsh. Bilioni 232 ili kununua dozi zaidi za kuwatibu wananchi wake
Awali WB ilijiatiti...
Profesa wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, George Shumbusho amefariki dunia leo Jumatano Februari 24, 2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Profesa Ganka Nyamsogoro ambaye ni Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo...
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.
Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.
Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo...
Mwanamuziki aliyewahi kuimba kwenye bendi ya Chuchu sound na TOT Plus, Waziri Sonyo ameaga dunia jana tarehe 23 Februari saa moja usiku maeneo ya Kibaha.
Chanzo cha kifo hakijawekwa wazi ingawa kuna taarifa kuwa alikwenda kutazama mechi ya mpira wa miguu na aliporudi alijipumzisha hadi mauti...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo amefariki dunia leo Jumanne Februari 23, 2020. Katibu mwenezi CCM mkoani humo, Mayunga George amethibitisha.
Chanzo: Mwananchi
Kwa taarifa za uhakika ni kuwa aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu ametangulia mbele ya haki.
Profesa Benno Ndulu amefariki dunia asubuhi ya leo Februari 22, 2021 katika Hospitali ya Kairuki alipokuwa akipatiwa matibabu.
Profesa Ndulu alihudumu nafasi ya Gavana...
Ilikuwa siku ya Ijumaa 19.2.2021, ni siku nyingine ya kukumbukwa, katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Dar-Es-Salaam, lililoko Barabara ya Sam Nujoma; pale ambapo jumla ya wahusika 84 waliposhiriki katika kufungwa kwa Ndoa 21, zilizofungwa kwa pamoja katika Ibada ya Ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.