Habar wadau!
Nadhan kila mtu upo home leo nimeleta mada hii ili kila mtu apate nafasi ya kuchangia na hii pia inaweza kutoa suhulisho ila hawa marafiki ishin nao kwa tahadhari sana tena hasa hasa wale amba hawana shughuli za kufanya, street boys
Jana nikiwa pande fulan nilikutana na mwanamke no stpr kidogo ila nimefupisha ila nilikutana nae jana io io ipo hv nilimuapproach ucku huo huo na alikubali tukawa km boyfriend na girlfriend ndan ya dk tu kuhusu nilimwambia nn mpaka tukawa in relationship kwa dk tu najua mm na nilimuweka waz kuwa nampenda lkn ucku ule hatutolala wote yy anakunywa bia mm cnywi akahoji why nikamwambia mpka tukapime akasema ok mda wote huo tulikuwa watu wanne mm uyo msichana rafik yngu wa kiume na gf wake
Sasa ikafika mda tukasema tuhame kiwanja tukale nyama kuna jamaa rafik yngu mwingine akapiga simu tumpitie ili tukale nae nyama tukapna isiwe kesi gar ipo tumpitie tu mmh, Tukampitia tukaenda nae kula nyama stor za apa na pale yule dada tukaenda nae mda wote huo alikuwa upo began kwangu hatoki na kudeka km kote
Tukaenda kula nyama tukarud mda wa kulala sasa haaah yule jamaa yngu kaenda kulala na demu mm nikamwambia uyu demu nakupa nauli nikusindikize adi wap urud wap urud nyumban akasema NO twende tukalale gest hata km hatutosex mm hme narud kesho nikaona isiwe kesi ngoja niende ndan nichukue chaji nisepe nae aisee ule jamaa tuliempitia tushamuaga aende akalale kumbe mwanga upo bado aisee natoka njedemu cmuon na nakutana na washikaji nawauliza hamjamuona demu apa wakasema kuna jamaa kavaa kapelo kaenda nae juu hv duh nikashangaaaa
Sasa huu ni urafik au upumbavUP
UPDATE
Jamaa alipata majanga ila bado cjapata full story ntaileta soon
Nadhan kila mtu upo home leo nimeleta mada hii ili kila mtu apate nafasi ya kuchangia na hii pia inaweza kutoa suhulisho ila hawa marafiki ishin nao kwa tahadhari sana tena hasa hasa wale amba hawana shughuli za kufanya, street boys
Jana nikiwa pande fulan nilikutana na mwanamke no stpr kidogo ila nimefupisha ila nilikutana nae jana io io ipo hv nilimuapproach ucku huo huo na alikubali tukawa km boyfriend na girlfriend ndan ya dk tu kuhusu nilimwambia nn mpaka tukawa in relationship kwa dk tu najua mm na nilimuweka waz kuwa nampenda lkn ucku ule hatutolala wote yy anakunywa bia mm cnywi akahoji why nikamwambia mpka tukapime akasema ok mda wote huo tulikuwa watu wanne mm uyo msichana rafik yngu wa kiume na gf wake
Sasa ikafika mda tukasema tuhame kiwanja tukale nyama kuna jamaa rafik yngu mwingine akapiga simu tumpitie ili tukale nae nyama tukapna isiwe kesi gar ipo tumpitie tu mmh, Tukampitia tukaenda nae kula nyama stor za apa na pale yule dada tukaenda nae mda wote huo alikuwa upo began kwangu hatoki na kudeka km kote
Tukaenda kula nyama tukarud mda wa kulala sasa haaah yule jamaa yngu kaenda kulala na demu mm nikamwambia uyu demu nakupa nauli nikusindikize adi wap urud wap urud nyumban akasema NO twende tukalale gest hata km hatutosex mm hme narud kesho nikaona isiwe kesi ngoja niende ndan nichukue chaji nisepe nae aisee ule jamaa tuliempitia tushamuaga aende akalale kumbe mwanga upo bado aisee natoka njedemu cmuon na nakutana na washikaji nawauliza hamjamuona demu apa wakasema kuna jamaa kavaa kapelo kaenda nae juu hv duh nikashangaaaa
Sasa huu ni urafik au upumbavUP
UPDATE
Jamaa alipata majanga ila bado cjapata full story ntaileta soon