Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,499
86,037
Mzee Kennedy Kaunda amefariki mchana wa leo wakati akipatiwa matibabu kwenye hospital ya Maina
20210617_181302.jpg
20210617_181237.jpg
20210617_181244.jpg
20210617_181251.jpg

=====

MAISHA YA AWALI

Kaunda ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanane. Alizaliwa katika hospitali ya Misheni ya Lubwa katika kitongoji cha Chinsali, katika Mkoa wa Magharibi mwa Northern Rhodesia, sasa hivi Zambia.

Baba yake alikuwa akiitwa David Kaunda, alikuwa kiongozi wa Kanisa la Kiskoti na mwalimu wa shule za wamisionari, ambaye alizaliwa nchini Malawi na kuhamia Chinsali kwa lengo la kufanya kazi katika Lubwa Mission.

Alianza masomo kadhaa katika Munali Training Centre ya mjini Lusaka (kunako Agosti 1941–1943).

Kaunda pia aliwahi kuwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi na bweni ya Upper Primary School kuanzia mwaka wa 1943 hadi 1945. Alianza kazi ya ualimu huko Lubwa na kuelea zake mjini Lusaka kwa lengo la kuwa mwelekezi wa jeshi, lakini kwa kazi hiyo ilikwisha.

Kuna kipindi alikuwa akifanya kazi katika Migodi ya Salisbury na Bindura. Mnamo mwaka wa 1948, akawa mwalimu katika shule ya mjini Mufulira kwa ajili ya United Missions to the Copperbelt (UMCB). Pia aliwahi kuwa msaidizi katika Kituo cha Ustawi wa Jamii wa Afrika na Bodi ya Walimu wa Shule ya Mine School ya mjini Mufulira.

Kenneth David Kaunda alikuwa Rais wa kwanza wa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mwaka wa 1964 hadi 1991.

Rais wa zamani wa Zambia Kenneth Kaunda mwenye umri wa miaka 97 alikuwa anapewa matibabu ya ugonjwa ambao haukutajwa, kwenye hospitali ya kijeshi ya mjini Lusaka, ofisi yake ilisema Jumatatu 14 Juni, 2021.

Kaunda aliiongoza Zambia tangu mwaka 1964 wakati taifa hilo la kusini mwa Afrika lilipojipatia uhuru, hadi mwaka 1991. Ni miongoni mwa mashujaa wachache walioshiriki kuikomboa Afrika.

Ni Baba wa Taifa la Zambia.

Zaidi kuhusu Kaunda soma:
1).
Mjue Hayati Kenneth Kaunda
 
Rais wa kwanza na Baba wa Taifa la Zambia, Mzee Keneth Kaunda amefariki dunia leo Juni 17, 2021 akiwa na umri wa miaka 97.

----
Zambia's founding father Kenneth Kaunda has died at the age 97 three days after being admitted to Maina Soko Medical Centre, a military hospital in the capital, Lusaka.

Born in 1924, Kaunda or KK led Zambia for 27 years, taking the helm after the country gained independence from Britain in October 1964.

Initially a popular leader, Kaunda became increasingly autocratic and banned all opposition parties.He eventually ceded power in the first multi-party elections in 1991, losing to trade unionist Fredrick Chiluba.While in power he hosted many of the movements fighting for independence or black equality in other countries around the region, including South Africa's African National Congress (ANC).Later in life he regained stature as one of Africa's political giants, helping to mediate crises in Zimbabwe and Kenya.

Affectionately known as "KK", Kaunda was the head of the main nationalist party, the left-of-centre United National Independence Party (UNIP).

Kaunda also became an AIDS campaigner, announcing publicly one of his sons had died from the illness.

Also nicknamed "Africa's Gandhi" for his non-violent, independence-related activism in the 1960s, he charmed mourners at Nelson Mandela's burial in December 2013.

When organisers attempted to usher him away from the podium after he ran over his allotted time, he drew laughs by saying they were "trying to control an old man who fought the Boers", or Afrikaners -- the white descendants of South Africa's first Dutch settlers.

The Citizen
 
Zambia's founding father and former President Kenneth Kaunda passed on today in the capital Lusaka, aged 97. Kaunda led Zambia into independence from Britain, ruling the country from 1964 until 1991.
20210617_174858.jpg
 
Back
Top Bottom