airbnb

Airbnb, Inc. ( AIR-BEE-en-BEE) is an American San Francisco-based company operating an online marketplace for short- and long-term homestays and experiences. The company acts as a broker and charges a commission from each booking. The company was founded in 2008 by Brian Chesky, Nathan Blecharczyk, and Joe Gebbia. Airbnb is a shortened version of its original name, AirBedandBreakfast.com. The company is credited with revolutionizing the tourism industry, while also having been the subject of intense criticism by residents of tourism hotspot cities like Barcelona and Venice for enabling an unaffordable increase in home rents, and for a lack of regulation.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Mwana FA: Hoteli zetu hazitoshi wageni AFCON, tunataka kuhakikisha makazi binafsi yanaweza kuandikishwa yakatumika kama Airbnb

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameeleza kuwa Serikali inatengeneza mfumo rasmi wa kusajili watoa huduma mbalimbali nchini ili kukidhi mahitaji makubwa ya wageni yanayotarajiwa wakati wa mashindano ya AFCON. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwa sekta zisizo...
  2. Eswa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya kusimamia Airbnb, Lodge, Camp Lodge na Hotel.

    Habari za Jumapili.? Kama heading inavyojieleza hapo, Ninao uzoefu wa kusimamia na kuendesha Airbnb na Hotel (3*) na kwa uzoefu huo ninaweza kusimamia na kuendesha Lodge na Camp Lodges pia. Nipo Zanzibar lakini ninaweza kuhama na kurudi Bara kama nitapata kazi huko. Kwa sasa nilipokuwa...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mystery Deepens After CCTV Reveals Final Moments of 22-Year-Old Woman Before Fatal Kileleshwa Airbnb Fall

    Fresh details have emerged in the death of 22-year-old Consolata Githinji after CCTV footage captured her final movements before she fell from the sixth floor of an apartment building in Kileleshwa, Nairobi. According to investigators, the young woman arrived at the apartment complex at around...
  4. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Moja kwa moja kwenye mada. Je una chumba, nyumba au apartment inayofaa kwa Airbnb? Natafuta watu wenye apartment, room au house nzuri ambayo inaweza kufaa kuwa listed kwa Airbnb. Kama una chumba au nyumba ambayo mara nyingi haitumiki au ungependa ipate wageni wa muda mfupi, tunaweza kufanya...
  5. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Angalia kwa makini sana namna tumehusika kuanzia design mpaka ujenzi, Airbnb hizi Moshi, 2Bedroom kila unit tupigie 0624004650

    HIZI NI AIRBNB APPARTMENTS, CONTAIN 2UNITS EACH UNIT HAVE , GROUND FLOOR INA SEBULE,OPEN KITCHEN DINING NA PUBLIC TOILET JUU INA 2BEDROOMS ALL WITH SPECIOUS BATHROOM ,AND BALCONY. MPAKA HAPO MATERIAL + LABOR COST 175M
  6. Hharyson

    JamiiForums Tanzania AIRBNB APPARTMENTS DESIGN , EACH UNITS HAVE 2BEDROOMS , LOUNGE ,DINNING OPEN KITCHEN.PLOT SIZE 30X20M WHATSAP +255624004650

    🏘️ Airbnb Apartments Design - 2 Bedroom Units 📐 Plot Size: 30m x 20m Each unit includes: ✅ 2 Bedrooms ✅ Spacious Lounge ✅ Open-Plan Kitchen ✅ Dining Area Ideal for short-term or long-term stays – modern layout optimized for comfort, privacy & Airbnb profitability. 📞 Contact: +255 624 004...
  7. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Simple hotel design for airbnb ,on 20x25m plot call us design and build services +255624004650

    AIRBNB HOTEL DESIGN ,7UNITS EACH HAVE ROOM, KITCHEN,SPECIOUS BATHROOM AND PRIVATE BALCONY FIT ON PLOT OF 20X25M PLOT CALL US FOR DESIGN AND BUILD SERVICES +255624004650
  8. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Fuatilia gharama za hii airbnb appartments tunayoendelea kuifanya moshi yenye 2 units each 2 bedroom, high ceiling lounge +255624004650

    🏠 HOUSE DESCRIPTION (2 UNITS) Each unit includes: 🔹 Ground Floor: Lounge, Dining, Open Kitchen, Public Toilet 🔹 First Floor: Family Room with Balcony, 2 Master Bedrooms 💰 COST BREAKDOWN PER PHASE: Foundation – TZS 32,000,000 Wall & Column (Ground Floor) – TZS 15,000,000 Slab – TZS 41,000,000...
  9. Damaso

    JamiiForums Tanzania Airbnb Inavyokwenda kuua Soko la Guest House na Lodge

    Katika miaka ya hivi karibuni, huduma ya Airbnb imekuwa ikiibuka kwa kasi kubwa nchini Tanzania na duniani kote. Hii ni jukwaa la kidigitali linalowawezesha watu binafsi kukodisha nyumba zao au vyumba kwa wageni kwa muda mfupi, na kuleta ushindani mkubwa kwenye sekta ya malazi ambayo hapo awali...
  10. Hharyson

    JamiiForums Tanzania AIRBNB DESIGN ZANZIBAR

    CALL US FOR MORE DETAILS +255624004650
  11. F

    JamiiForums Tanzania Subject: Exciting Investment Opportunity in Strategic Airbnb Developments – Tanga & Dodoma

    Dear Thinker's I hope this message finds you well. I’m reaching out to present a compelling investment opportunity in the booming short-term rental market. We are launching two exciting real estate development projects designed specifically for the Airbnb model, located in two of Tanzania’s...
  12. kikoozi

    JamiiForums Tanzania MWENYE KUJUA APARTMENT / AIRBNB YA BEI RAHISI DAR ES SALAAM

    Habari ndugu zangu, kama kicha cha habari kinavyo sema hapo juu, nina ugeni wa mtu wangu ambaye atakaa kama siku 14 (week mbili), sasa nilitaka kupata aprtiment nzuri yenye kila kitu ndani WIFI ISIKOSEKANE (kuanzia maeneo ya kiluvya, kibamba, mbezi, goba, kimara, tabata, ubungo , sinza, mlimani...
  13. Chura

    JamiiForums Tanzania Nahitaji apartment full furnished Airbnb kimtindo kwa siku kadhaa Dodoma

    Nadhan nimeeleweka wakali nisiwachoshe ntakua DODOMA kwa mda wa siku kadhaa almost wiki, anayehusika na mambo ya udalali wa kichwa cha habari, tafadhari tuwasiliane
  14. donlucchese

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa zaidi kuhusu biashara ya nyumba (AirBnB)

    Habari wakuu, Straight to the point. Kuna ka kibanda kangu kamoja nilikajenga nikiwa nafanya kazi bagamoyo manispaa, ni ka jumba Ka vyumba viwili (vyote self), sebule, jiko na public washroom. NI takribani kilomita 5 kutoka Bagamoyo centre. Sasa baada ya kuhama mazingira hayo nikaona nitafute...
  15. aka2030

    JamiiForums Tanzania Serikali inakusanya vipi kodi kwenye biashara kwenye app ya Airbnb?

    Hii biashara maarufu na pendwa kwa sasa Tz nauliza serikali yetu inakusanya vipi mapato
  16. aka2030

    JamiiForums Tanzania Kati ya Dodoma na Arusha wapi pazuri kujenga apartment kwa ajili ya biashara ya Airbnb?

    Nauliza wadau wapi ni pazuri ambapo soko kwa sasa lipo. Kuna rafiki yangu yupo Canada ana wazo la kufanya hiyo biashara.
  17. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Airbnb za Bongo

    Mnaorentisha watu Airbnb Bongo 90% bora mfunge tu mfungue hostel. Hamjui kabisa how the online world works. Nimesafiri nchi chache zingine Africa but none nimekutana na ukuda wa Bongo. Jaman hii huduma ya kuwa online 24/7 Km huwezi ajiri mtu wa kuwa online at least before your place haijawa...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Wanawake wagundua kamera zilizofichwa bafuni katika nyumba ya kupangisha kwa muda (Airbnb)

    Marafiki hao 15 walipanga nyumba huyo kwa ajili mapumziko British Colombia, ndipo usiku mmoja wa mapumziko wao waligundua kulikuwa na camera zilizokuwa zimefichwa kwenye soketi ya umeme zikiwa zimeelekezwa bafuni. Mmoja wa marafiki hao aliona video kutoka mtandao wa Tiktok ikiongelea kuhusu...
Back
Top Bottom