Habari zenu wakuu, hivi zile simu za zamani bado zipo madukani kweli? kama zipo kwa dar zipo maeneo gani? na pia bado wanazalisha au ndio viwanda vimekufa kabisa?
kama kuna mtu anafahamu tafadhari aeleze duka gani ili nikavamie
nilijaribu kuagiza online, lakini mara nyingi vibovu vinakuja na...