Kipi ni dhahabu kati ya Dengu vs Alizeti?

Oct 27, 2021
61
112
Habari zanu wadau wa JamiiForums,

Poleni na shughuli za kila siku za kujenga uchumi wetu. Leo naombeni msaada wenu wa kunitoa matongotongo kuhusu kilimo kipi kinalipa/au kisicho na usumbumbu mkubwa pia stahimilifu (weather tolerance) kati ya Dengu au Alizeti).

Wadau najua kuna trends nyingi zinazohusiana na Dengu na Alizeti lakini naombeni mliopitia field za kilimo zote mbili kama mpo tusaidieni faida na changamoto za kila moja ya hizi ili itusaidie kwenye harakati za ukombozi wa uchumi.

Natumaini mtatushauri vizuri kwanin mkulima nilime Dengu na si alizeti au kinyume chake.

Ahsanteni kwa kuja kutoa mawazo yenu mazuri.
 
Location sawa ni muhimu lakini naomba wadau wanisadie kutokana na uzoefu wa maeneo walofanyia kazi mazao hayo na uzoefu wao
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako

✓ Kiasi Cha mbengu kwa hekari moja

Dengu inahitaji kilo 15 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inamwagwa ivyo inaitajika kwa kiwango kikubwa

Alizeti inahitaji kilo 2 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inatumia spacing ya 60 cm × 30 cm
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako
Asante kwa maelezo mazuri mkuu
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako
maeneo gani yanalimwa dengu, na Je masoko yake hayasumbui?
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako
hujafanya utafiti vizuri panya wanashambulia sana dengu zikishaanza kubeba
 
Sitasahau panya walitutia umaskini wa kudumu mpaka leo hatujanyuka walivyofyeka maelfu ya ekari za ngano za mzee
Pole Mkuu panya alikula kwa kudonoa nyanya, hoho, nyanya chungu, tikiti mpaka pilipili Mbuzi! Pilipili Mbuzi unakuta shina limejaa mbegu za pilipili!

Tikiti ilikuwa ukipanda anakula mbegu,

Nilichojifunza shamba nikiona kuna dalili za panya silimi ni gharama kubwa kupambana na panya!

Tunakolima wenyeji hatulimi mipunga ya kiangazi Kwa sababu ni adhabu na mateso, utalinda ndege mchana usiku panya wanaingia shift! Gharama yake ni kubwa kuliko mapato!
Ila wakulima wa WhatsApp utasikia watanzania wavivu, mito tunayo maji mengi, hawajui shida za mkulima!
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako

✓ Kiasi Cha mbengu kwa hekari moja

Dengu inahitaji kilo 15 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inamwagwa ivyo inaitajika kwa kiwango kikubwa

Alizeti inahitaji kilo 2 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inatumia spacing ya 60 cm × 30 cm
Umefafanua vizuri sana mkuu
Kwa kuongezea tu
Zao la alizeti lina gharama sana muda mwingi na shughuli nyingi

Zao la dengu halina mambo mengi ni kulima na kupanda tu, labda kuna miaka magonjwa hutokea itabidi upulize dawa
Changamoto kubwa ya dengu ni timing ya kulima..... ukikosea hapo ama utarudia kulima au utalima too late na huta pata kitu
Mfano msimu ndio msimu wake Singida
Kwasasa mvua imekata Singida ikiwa imeondoka mazima basi dengu itakua mtihani maana utakapo amaua kulima itakua too late
Lakini ukilima sasa ili unyevu usije kuisha kabisa na nvua ikarudi ikapiga kama kawaida itakula kukwa pia
Dengu inataka ilimwe mbugani wakati mvua zimeondoka na bado kuna unyevu nyevu
Na ikija mvua basi iwe ni manyunyu
 
Pole Mkuu panya alikula kwa kudonoa nyanya, hoho, nyanya chungu, tikiti mpaka pilipili Mbuzi! Pilipili Mbuzi unakuta shina limejaa mbegu za pilipili!

Tikiti ilikuwa ukipanda anakula mbegu,

Nilichojifunza shamba nikiona kuna dalili za panya silimi ni gharama kubwa kupambana na panya!

Tunakolima wenyeji hatulimi mipunga ya kiangazi Kwa sababu ni adhabu na mateso, utalinda ndege mchana usiku panya wanaingia shift! Gharama yake ni kubwa kuliko mapato!
Ila wakulima wa WhatsApp utasikia watanzania wavivu, mito tunayo maji mengi, hawajui shida za mkulima!
Yaani huwezi okoa kitu maana ilikuwa ukiamka asubuhi unaona shamba kama limevyekwa na vyekeo au mashine aisee nyie acheni tu
 
✓ Msimu wa kupandwa
Dengu huwa inalimwa kipindi Cha mwisho cha mvua Yan ikabaki week moja mvua kuisha mfano singida wanalima kuanzia mwezi wa 4 mwishoni hadi 6 mwanzoni

Alizeti huwa inalimwa baada ya mvua za kwanza kuisha maana ikilimwa mwanzoni huwa inakuwa vigumu kuvuna kutokana na mvua kuwa kubwa mfano singida inalimwa mwezi wa 1 katikati hadi wa pili mwishoni

✓ Palizi
Dengu huwa aifanyiwi pilizi maana inapandwa miezi ya mwisho baada ya mvua kuanza kuisha

Alizeti inataka palizi moja au mbili inategemeana na nyasi

✓ Ndege
Dengu huwa aishambuliwi na Ndege yoyote yule Wala panya

Alizeti huwa unaliwa na Ndege kuanzia siku ya kupanda hadi kuvuna ivyo itakulazimu kuhamia Ndege Yani kufukuza

✓ Masoko
Dengu huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 140000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi kufika 230000

Alizeti huwa inaitajika kwa wingi gunia huwa linauzwa 35000 kipindi Cha kuvuna inaweza kupanda hadi 100000 inategemeana na majira

✓ Utunzaji

Dengu iana gharama sana kwenye kutunzaa maana aishambuliwi na wadudu lkn inabid iwekwe kwenye sehemu kavu ili isipate ukungu

Alizeti inabid itunzwe sehemu ambayo panya awezi kuingia maana ni hatari sana anaweze kula kiasi kikubwa endapo wakiwa wengi

✓ Maandalizi Baada ya kuvuna

Dengu ni vigumu kuibangua kwenye maganda yake ivyo utaitaji vibarua wa kutosha au utumei tractor ili kupata zile punje zake

Alizeti sio vigumu sana kuitoa kwenye kichwa chake ivyo vibarua wachache wataitajika

✓ Kuongeza thamani

Dengu endapo iki kobolewa huwa inauzwa 3000 kwa kilo lkn isipo kobolewa inauzwa 1500 pia mashine za kukoboa huwa ni chache sana ivyo wakulima wengi wanauza 1500 kwa kilo

Alizeti endapo ikikamuliwa mafuta huwa nayaunzwa 4000-7000 Kwa liter pia mashudu Yana unzwa 300-700 kwa kilo

✓ Upatikanaji wa Mbegu

Dengu upatikanaji wa Mbegu ni mgumu sana ivyo wakulima wengi huwa wanaludia mbegu zile zile kila mwaka ivyo upelekea mavuno kuwa chini

Alizeti upatikanaji wa Mbegu ni lahisi sana maana Kuna mbegu za kisasa na kienyeji ivyo mkulima ana uwanja ukubwa wa kuchagua mbegu ipi ya kulima

✓ Udongo

Dengu huwa inalimwa kwenye Udongo mweusi Yani tindiga wengine wanasema mbugani maana inatunza unyevu wa kutosha

Alizeti inaweza kulimwa kwenye Udongo wowote ule lkn chachu ya Udongo isizidi 6.5-8.5, pia usiwe unatwamisha maji

✓Matumizi ya mbolea

Dengu huwa aiwekewi mbolea maana ni jamii ya mikunde ivyo inaweza kufanya nitrogen fixation lkn unaweza kutumia mbolea za maji zenye kuwango kibuwa Cha phosphorus

Alizeti huwa inaitaji mbolea kwa ajili ya ukuaji na kuzaa ivyo mkulima inabid uweke mbolea mala moja au zaid itategemeana na Shamba lako

✓ Kiasi Cha mbengu kwa hekari moja

Dengu inahitaji kilo 15 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inamwagwa ivyo inaitajika kwa kiwango kikubwa

Alizeti inahitaji kilo 2 za mbegu ili uweze kupanda kwenye eneo la hekari moja maana huwa inatumia spacing ya 60 cm × 30 cm
Je kwenye mavuno kwa ekari unaweza kupata gunia ngapi?
 
Back
Top Bottom