Uganda yagundua tani milioni 30 za dhahabu zenye thamani ya Dola za Marekani Trilioni 12

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
gold-1.jpg

Uganda imegundua amana za dhahabu katika Wilaya ya Busia na Katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi hiyo, serikali imeipa leseni kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Kichina, Wagagai, ya kuanza kuzalisha bidhaa za dhahabu

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Maendeleo ya Madini nchini humo, Solomon Muyita amesema Uganda imegundua tani milioni 31 za dhahabu zinazosubiri kuchimbwa nchini humo baada ya tafiti kadhaa kufanywa na wanalenga kuvutia wachimbaji dhahabu na wawekezaji katika sekta ya crypto

Hivi karibuni kampuni hiyo Kichina imepata leseni ya kuzalisha dhahabu na ina mkataba wa miaka 21 wa kuchimba dhahabu nchini humo

Photo: Collected

Photo: Collected

Uganda announced that it had discovered 31 million metric tons of gold waiting to be mined in the country after several surveys were conducted. A spokesperson from the Ministry of Energy and Mineral Development in Uganda, Solomon Muyita, said that these reports are aimed at attracting gold miners and investors in the crypto sector.

In a bid to boost the country's economy, the Ugandan government has licensed Wagagai gold mining company, a Chinese firm to start producing gold products in Busia district. The company embarked on the construction of its gold refinery valued at USD200m in phases in the district in 2016. Muyita said that the discovered gold could start being mined immediately, reports NASDAQ.

Refining gold locally could enhance job creation, and improve social service delivery to those living close to where the mineral is extracted. Ugandan President Yoweri Museveni has called for the local refinement of the the commodity, calling any external refinery criminal. "It is criminal for anybody to argue for the continued exports of raw materials in Africa, when there is 90% more value in that product that you are giving to the outsiders" he said.

Tan Chun Chi, the general manager of Wagagai gold mining company, says that the investment has reached US $60 million. He explains that they have been lagging behind in the construction due to the lack of the two licenses. The company has recently obtained a gold production license in March this year and has a 21-year lease to mine gold in the country. and expect to double their speed because they expect to begin gold production by July 2023.

The company has invested $200M towards constructing a refining facility. Despite all the gold discovered in the country, the mining difficulty is notably high, and this impacts the amount of gold that is actually mined. Around 2500 to 3000 metric tonnes are mined every year.

"If this is indeed the volume that we have, it is time to clean our house, and do business, in developing ourselves and our country, by going to the middle income status and beyond." said Winnie Ngabirwe Mineral Development Expert.

SOURCE: Business Standard
 
Kama kawaida ya afrika zitachimbwa lakini raia watabaki hohehahe
 
Uganda dhahabu ipo na wapo Watanzania wengi wa Mwanza na Geita washapeleka makarasha huko kitambo sana na hakuna mambo ya vibali vingi kama Puerto Rico.
 
Back
Top Bottom