Mafuta kupanda bei vilio, kwanini si vicheko Dhahabu ikipanda?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,825
35,827
Wananchi tuna sababu ya kuwa na mashaka. Diesel na Petrol soko la dunia bei ikipanda serikali inapandisha bei, kwetu vilio.

Kumbe hata tozo ya 100/- tuliyoaminishwa, haikuwahi kuondolewa.

Hivi vipi kuhusu bei ya dhahabu tunayozalisha ambayo bei yake nayo imekuwa ikipanda mfululizo?

IMG_20220330_210402_869.jpg


Kwanini hakuna afueni yoyote inayotolewa kwetu kama wananchi kwa mapato zaidi dhahabu yetu inapopanda bei?

Double standards hizi wananchi tunaziona.
 
Takwimu za dhahabu au mikataba kama haziwekwi wazi huwezi kujua kipato cha dhahabu kimeongezeka kiasi gani. Kila kitu ni siri za nchi.

Kila kitu sirini kwa manufaa ya nani?

Bei ya dhahabu juu ni wazi kwa tani za dhahabu tunayozalisha kwa mwaka tunavuna zaidi kama nchi.

Kwanini mapato ya ziada ya dhahabu yasiwepo stabilize bei za mafuta nchini? Bado hata tozo ya 100/- ya mafuta nayo serikali inataka?

Watawala wetu hawa wana roho ngumu sana.
 
Kila kitu sirini kwa manufaa ya nani?

Bei ya dhahabu juu ni wazi kwa tani za dhahabu tunayozalisha kwa mwaka tunavuna zaidi kama nchi.

Kwanini mapato ya ziada ya dhahabu yasiwepo stabilize bei za mafuta nchini? Bado hata tozo ya 100/- ya mafuta nayo serikali inataka?

Watawala wetu hawa wana roho ngumu sana.
Siri za nchi si ndiyo mfumo alioujenga na kutuachia Nyerere? Bei za dhahabu zinaweza kuwa juu lakini hujui mikataba inasemaje. Vyote ni siri za nchi. Wananchi wanabaki gizani.
 
Siri za nchi si ndiyo mfumo alioujenga na kutuachia Nyerere? Bei za dhahabu zinaweza kuwa juu lakini hujui mikataba inasemaje. Vyote ni siri za nchi. Wananchi wanabaki gizani.

Sisi ni yatima:

IMG_20220330_222103_880.jpg
 
Back
Top Bottom