dawa

Da‘wah (Arabic: دعوة‎, [ˈdæʕwæh] "invitation", also spelt daawa, dawah, daawah or dakwah😉 is the act of inviting or calling people to embrace Islam. For certain groups within Islam like the Salafis and Jamaat-e-Islami, Dawah is also considered as a political activity. For these groups, the aim of Dawah outreach is also to engineer a reversal of what they perceive as the decline of Islam in the modern era, through the systematic propagation of Islamist ideology and ultimately enable the establishment of an Islamic state.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Morocco: Bunge limeidhinisha sheria inayohalalisha ukuzaji wa bangi kwa ajili ya matumizi ya tiba na viwandani

    Bunge nchini Morocco limeidhinisha sheria inayohalalisha ukuzaji wa bangi kwa ajili ya matumizi ya tiba na viwandani. Lengo ni kuingia katika soko la kimataifa linalokua la kimataifa, kukuza kilimo na kutoa ajirahasa katika maeneo ya vijijini ambayo hayana maendeleo. Morocco ni moja nchi...
  2. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa za eye drop kama hizi nazipata wapi?

    Nahitaji moja ya dawa zifuatazo au moja wapo: 1. Oclumed eye drop 2. Can-c eye drop Msaada maana nimetafuta sana nimekosa.
  3. Tembosa

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

    Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote. Siumwi homa, wala mafua. Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto). Kuna wenzangu humu? Baadhi ya Maoni yaliyotolewa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Wewe uliyetudanganya kuwa tukiweka dawa ya meno kwenye uume tutapata matokeo chanya Mungu anakuona. Mkuyenge wangu ulikata moto.

    Hi gentlemen & ladies! Kama sitakosea ilikuwa 2019 mdau mmoja humu alitupia uzi au alichangia kwenye uzi fulani uliozungumzia jinsi ya kuboresha tendo la ndoa. Alielezea kuwa ukichukua mafuta ya mgando kidogo ukimix na dawa ya meno kidogo kisha ukimpaka dula kichwa wazi basi utapata raha ya kufa...
  5. Carlos The Jackal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

    Umeamua kwa hiyari yako kuwa na mtu, unajua na yeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa Ya nini haya sasa jamani? Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia hata mama yangu hajawahi kupika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Rais wa CAF ni Mzulu Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini. Simba pulizeni dawa muone Wazulu walivyo wabaya

    Nawakumbusha tu simba.. Zama za kupuliza dawa zimeisha... au kusema watu wana corona.... Ama mseme wana corona kama al mereik.. rais wa caf anawapiga ban milele
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kisutu: DPP Biswalo, awaachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Rugambwa na Mkurugenzi wa Logistiki, Byekwaso

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, leo Alhamisi imewaachia huru, aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi wa Logistiki, Byekwaso Tabura. Hatua hiyo imefikiwa Baada ya aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga kutokuonesha nia ya kuendelea na kesi dhidi...
  8. kidawisee

    JamiiForums Tanzania Dawa gani nzuri ya kuondoa uchafu sugu kwenye sink?

    Habari za muda huu, naomba kujua njia za kusafisha sinki langu, nmetumia Aro imegoma, nimetumia sabuni zaidi ya 3, nimetumia cocacola imegoma. CHANZO: Manjano ya uso yalimwagika sehemu ya sinki, yalikaa muda kama week mbili, nilivyorudi nasafisha paweka weusi, Ndio naangaika kuutoa umegoma...
  9. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

    SWALI LANGU: Ni utaratibu upi mpya utumike katika kupata watendaji bora wa kisiasa mbali na huu wa sasa ambao baadhi ya wakongwe wa tasnia hii (Freeman Mbowe) wanaona kuwa haufai? Habari zenu ndugu zangu wa jamiiforums. Jana siku ya Jumatatu May 10, 2021, wakati ninapitia makala kadhaa katika...
  10. Apollo one spaceship

    JamiiForums Tanzania Dawa gani inaondoa madoa kwenye nguo?

    Habari wanaJF naomba kwa anaeijua dawa ya kuondoa madoa kwenye nguo kama hili hapa chini. Dawa isiyo na athari kwenye nguo,pia isiyo ya bei kubwa.
  11. mediaman

    JamiiForums Tanzania Wanaotafuta dawa ya kuacha ulevi tukutane hapa

    Baba yangu mzazi aliishi maisha ya dhiki sana. Alikuwa mfanyakazi aliyepata mshahara mzuri tu lakini mshahara ulikuwa haumsaidii kuishi vizuri kwa sababu ya ulevi. Mwisho wa mwezi, akishapokea mshahara tu alikuwa anakesha sehemu wanazouza bia akinywa na kuwanunulia bia marafiki zake. Wanawake...
  12. Drc congo

    JamiiForums Tanzania Jamani nahitaji kufahamu dawa yakung'arisha meno

    Jambo kwa jumla mimi nikijana wa miaka 20 meno yangu yana rangi mbaya sa kama kuna mtu umu ana fahamu dawa ya kungarisha meno aniambiye
  13. Delacruzito

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nahitaji dawa ya kuondoa upara (uwalaza)

    Habari zenu wana JF Poleni sana na Swaumu naimani tunaendelea na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani Ndugu zangu nina miaka 25 Mzee wangu ana Uwaraza kwa Mbele hapa ule wanauita Upara wa Pesa. Sasa naona kama nimerithi kwake na maana nywele zangu za hapa Mbele zinakatika zinakua fupi kuliko nyingine...
  14. simplemind

    JamiiForums Tanzania Drones zinatumika kunyunyizia dawa mimea -Kenya

    Mbinu hii mpya inaokoa gharama na muda. https://www.businessdailyafrica.com/bd/corporate/technology/drones-help-farmers-to-cut-spraying-costs-3380338.
  15. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Thamani ya Dawa na Vifaa Tiba Vilivyo Expaya MSD ni Zaidi ya Tsh 20 Billion; CAG Hajaripoti

    Wakati wananchi wanalalamika ukosefu wa dawa kwenye hospitali na zahanati, yasemekana kwenye Bohari Kuu ya Madawa (MSD) kuna dawa zilizo expaya za thamani ya zaidi Tsh Bilion 20. Nimepitia ripoti ya CAG ya mwaka 2019/20 kwa haraka haraka sijaona hoja ya ukaguzi kuhusu dawa zilizo expaya. Je...
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uhaba wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi Kenya wahatarisha maisha

    Wakenya wanaoishi na VVU wanasema maisha yao yapo hatarini juu ya uhaba wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi kutokana na mzozo unaotokota kati ya serikali ya Kenya na Shirika la msaada la Marekani USAID. Kulinga na wanaharakati kucheleweshwa kwa dawa hiyo ni baada ya serikali ya...
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania TMDA yabaini dawa bandia ya mifugo

    Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imebaini uwepo wa dawa bandia ya mifugo aina ya Alben Blue 2.5% toleo Na.019394 lililotengezwa Nov 2019 na lenye tarehe ya mwisho wa matumizi October 2022. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Adam Fimbo imesema...
  18. HATSA

    JamiiForums Tanzania Je, kuna dawa ya asili ya Inguinal Hernia?

    Nasumbuliwa na tatizo la utumbo mdogo kushuka hadi katika pumbu, lakini kama niki lala chali naweza kuurudisha. Natumia kuvaa mkanda sehemu hii ili kuzuia utumbo kutoka pale ninapokuwa natembea kwa mguu au nimesimama. Naomba kuelekezwa dawa ya asili inayoweza kutatua tatizo hili. nawatakia...
  19. W

    JamiiForums Tanzania Anayejua anisaidie namna ya kudhibiti Sisimizi

    Habari wana JF! Katika nyumba yangu kuna tatizo la sisimizi. Hivi sasa imekuwa ni kero mtindo mmoja. Kwa yeyote anayefahamu, naomba anijuze nitumie dawa gani ili wadudu hawa wapotee kabisa ndani ya nyumba yangu.
  20. kabwigwa

    JamiiForums Tanzania Ndizi zinazoivishwa kwa umeme Je ni kweli zinawekwa dawa ya kuhifadhia maiti?

    Wakuu habari zenu,Katika pita pita zangu masokoni nikakutana na hizi ndizi maarufu kama “ndizi za container” au “ndizi za umeme”.Kilichonistua ni maandalizi ya ndizi hizo mpaka kuiva.Mechanism nzima ni siku tatu mpaka nne ndizi inakua imeiva.Mechanism hii ndiyo iliyonifanya niandike uzi...
Back
Top Bottom