Kulikoni upatikanaji wa dawa katika hospitali za umma?

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Tumeaminishwa na Serikali kuwa mgonjwa anatakiwa kwenda hospitali za umma na atapata matibabu bure. Leo nimeenda Kituo cha Afya ya Buzuruga kumwona mgonjwa wangu sikuamini macho yangu nilipoambiwa kanunue gloves, kanunue pamba, kanununue dawa ya kusafisha jeraha nk.

Hivi Mtanzania wa kawaida ataweza gharama hizi? Mawaziri kwenye bajeti wanapokuwa na mbwembwe eti mwaka huu bajeti ya Afya ni billioni 250 kutoka billioni 35 ya mwaka 2015. kumbe wanatudanganya.

Afadhali hata wakati wa Kikwete tulikuwa tunapata dawa bure hata kwa taabu hivyo. Pili, kwa kweli watumishi hawajitumi. Mganga anawaacha wagonjwa wamekaa anaenda kutembea kwa muda wa dakika 45 ndipo anarudi?

Hospitali za Tanzania bado sana. Mawaziri acheni mbwembwe zisizo na maana.
 
Tumeaminishwa na Serikali kuwa mgonjwa anatakiwa kwenda hospitali za umma na atapata matibabu bure. Leo nimeenda Kituo cha Afya ya Buzuruga kumwona mgonjwa wangu sikuamini macho yangu nilipoambiwa kanunue gloves, kanunue pamba, kanununue dawa ya kusafisha jeraha nk.

Hivi Mtanzania wa kawaida ataweza gharama hizi? Mawaziri kwenye bajeti wanapokuwa na mbwembwe eti mwaka huu bajeti ya Afya ni billioni 250 kutoka billioni 35 ya mwaka 2015. kumbe wanatudanganya.

Afadhali hata wakati wa Kikwete tulikuwa tunapata dawa bure hata kwa taabu hivyo. Pili, kwa kweli watumishi hawajitumi. Mganga anawaacha wagonjwa wamekaa anaenda kutembea kwa muda wa dakika 45 ndipo anarudi?

Hospitali za Tanzania bado sana. Mawaziri acheni mbwembwe zisizo na maana.
Hiyo hali imekuwa hivyo mda mrefu sana,kuna miaka hapo nyuma chanjo za watoto zilikuwa hazipatikani.

Japo ni hivyo ila nina matumaini kwamba baada ya pesa ya simu na miamala kupatikana itapunguza makali kidogo.

Pia govt imesema iko mbioni kuandaa muongozo Ili Halmashauri zitenge pesa kutoka vyanzo vyao vya ndani asilimia fulani kwa ajili ya kununua dawa nk yaani itakuwa compusury
 
Tumeaminishwa na Serikali kuwa mgonjwa anatakiwa kwenda hospitali za umma na atapata matibabu bure. Leo nimeenda Kituo cha Afya ya Buzuruga kumwona mgonjwa wangu sikuamini macho yangu nilipoambiwa kanunue gloves, kanunue pamba, kanununue dawa ya kusafisha jeraha nk.

Hivi Mtanzania wa kawaida ataweza gharama hizi? Mawaziri kwenye bajeti wanapokuwa na mbwembwe eti mwaka huu bajeti ya Afya ni billioni 250 kutoka billioni 35 ya mwaka 2015. kumbe wanatudanganya.

Afadhali hata wakati wa Kikwete tulikuwa tunapata dawa bure hata kwa taabu hivyo. Pili, kwa kweli watumishi hawajitumi. Mganga anawaacha wagonjwa wamekaa anaenda kutembea kwa muda wa dakika 45 ndipo anarudi?

Hospitali za Tanzania bado sana. Mawaziri acheni mbwembwe zisizo na maana.
Unafanya kazi sekta gani ?
 
Ni kawaida tu ngoja siku utakapoambiwa dripu uishikilie kwa mkono maana hamna cha kutundikia, usiposhituka bongo unaweza kuzikwa ukiwa hai !
Si tushukuru kwamba saiz unaweza hata kuripoti ,awamu iliyopita usingeweza kuripoti haya Ili usimuaibishe shujaa wao
 
Hawa mawaziri wamefeli sana.

Kuna matatizo makubwa katika wizara ya afya hasa pale walipoamua kuwafanya madaktari kuwa wakuu wa idara.

Daktari hawezi kumwajibisha daktari mwenzie hata iweje.Kwa hiyo suala la uzembe halitakoma hadi mfumo huu ubadilike.

Utasikia wameongeza bajeti ya dawa lakini hizo dawa zikiuzwa,pesa asilimia zaidi ya ,60 inaenda kununua vitanda na magodoro,na kulipa posho ya madaktari hao hao wazembe.

Akija waziri anasema wafamasia wameiba dawa.Kifupi wana chuki binafsi tu na wafamasia ila ukweli sio rahisi kuuza gloves kwa watu binafsi.Ni Hospitali gani zinafanya kazi kiasi cha kuhitaji gloves nyingi kiasi cha kufilisi kabisa Hospitali za umma?
Tumeaminishwa na Serikali kuwa mgonjwa anatakiwa kwenda hospitali za umma na atapata matibabu bure. Leo nimeenda Kituo cha Afya ya Buzuruga kumwona mgonjwa wangu sikuamini macho yangu nilipoambiwa kanunue gloves, kanunue pamba, kanununue dawa ya kusafisha jeraha nk.

Hivi Mtanzania wa kawaida ataweza gharama hizi? Mawaziri kwenye bajeti wanapokuwa na mbwembwe eti mwaka huu bajeti ya Afya ni billioni 250 kutoka billioni 35 ya mwaka 2015. kumbe wanatudanganya.

Afadhali hata wakati wa Kikwete tulikuwa tunapata dawa bure hata kwa taabu hivyo. Pili, kwa kweli watumishi hawajitumi. Mganga anawaacha wagonjwa wamekaa anaenda kutembea kwa muda wa dakika 45 ndipo anarudi?

Hospitali za Tanzania bado sana. Mawaziri acheni mbwembwe zisizo na maana.
 
Juzi nilikosa Diclofenac Inj na Syringe 10cc alizoandikiwa mgonjwa wangu kwenye Hospital ya Rufaa ya Mkoa.

Nililazimika kwenda kununua kwenye Duka la Dawa la mtaani karibu na Hospital, ndipo mgonjwa wangu akaenda kuhudumiwa.

Tatizo la upungufu wa Dawa bado lipo sana
Mimi nafanya kazi kwenye Hospitali ya serikali,nasema dawa zipo nyingi tu,najua sio dawa zote zinapatikana hospitalini lakini tracer huwa hazikosekani, ukioni kituo kimekosa dawa kuna sababu nyingi lakini kubwa ni viongozi wenyewe wa hospitali kuna sehemu wanafeli

Serikali inaleta fedha nyingi sana,sema sisi wenyewe ndo tunashindwa namna gani ya kuzitumia,kingine pia sources za fedha ni nyingi ukitoa zinazotolewa na serikali kuu, kuna HSBF, Userfee, NHIF, iCHF, central government via MSD, nashangaa dawa zinakosekana vipi? ....kwa hili serikali naitetea kwakweli.
 
Mimi nafanya kazi kwenye Hospitali ya serikali,nasema dawa zipo nyingi tu,najua sio dawa zote zinapatikana hospitalini lakini tracer huwa hazikosekani...ukioni kituo kimekosa dawa kuna sababu nyingi lakini kubwa ni viongozi wenyewe wa hospitali kuna sehemu wanafeli
Serikali inaleta fedha nyingi sana,sema sisi wenyewe ndo tunashindwa namna gani ya kuzitumia,kingine pia sources za fedha ni nyingi ukitoa zinazotolewa na serikali kuu,kuna HSBF,Userfee,NHIF,iCHF, central government via MSD, nashangaa dawa zinakosekana vipi??....kwa hili serikali naitetea kwakweli.
Kama hela za kutosha zinatengwa na kupelekwa basi uzembe wa kuzitumia ndio kosa linaloendekezwa.

Kwenye Hospital ya Rufaa niliyokuwa napata matibabu juzi, ina duka la Dawa la Hospital (Hospital inalimiki kama mithili ya hizi Community Pharmacy za mtaani, lengo ni kukuza kipato cha Hospital) lakini wameshindwa kuweka hata Syringe 10cc yenye bei chee, huo ni uzembe.

Tukiachana na suala dawa, suala la mfumo(GoHMIS) napo ni kichekesho. Nilishindwa kupewa panadol kupitia mfumo kisa network hamna nikaambiwa kanunue nje kwenye maduka ya dawa.

Hadi hapo mapato yanapotea kwa uzembe kama huo wa kutofix tatizo la mtandao.
 
Kama hela za kutosha zinatengwa na kupelekwa basi uzembe wa kuzitumia ndio kosa linaloendekezwa.

Kwenye Hospital ya Rufaa niliyokuwa napata matibabu juzi, ina duka la Dawa la Hospital (Hospital inalimiki kama mithili ya hizi Community Pharmacy za mtaani, lengo ni kukuza kipato cha Hospital) lakini wameshindwa kuweka hata Syringe 10cc yenye bei chee, huo ni uzembe.

Tukiachana na suala dawa, suala la mfumo(GoHMIS) napo ni kichekesho. Nilishindwa kupewa panadol kupitia mfumo kisa network hamna nikaambiwa kanunue nje kwenye maduka ya dawa.

Hadi hapo mapato yanapotea kwa uzembe kama huo wa kutofix tatizo la mtandao.
Kwa maelezo yako inaonekana kabisa hao jamaa ni wazembe,huku pia nilipo duka la dawa la jamii lipo na limejaa bidhaa nyingi tu,mimi narudia kusema hao viongozi ndio wazembe,juzi tu mwisho wa mwezi wa sita serikali ilitoa fedha nyingi kwaajili ya dawa.. wamezipeleka wapi...kuhusu GoTHOMIS..hapo pia uzembe ni mkubwa sana... lakini muda mwingine pia ni chaka la kupiga fedha.
 
Tumeaminishwa na Serikali kuwa mgonjwa anatakiwa kwenda hospitali za umma na atapata matibabu bure. Leo nimeenda Kituo cha Afya ya Buzuruga kumwona mgonjwa wangu sikuamini macho yangu nilipoambiwa kanunue gloves, kanunue pamba, kanununue dawa ya kusafisha jeraha nk.

Hivi Mtanzania wa kawaida ataweza gharama hizi? Mawaziri kwenye bajeti wanapokuwa na mbwembwe eti mwaka huu bajeti ya Afya ni billioni 250 kutoka billioni 35 ya mwaka 2015. kumbe wanatudanganya.

Afadhali hata wakati wa Kikwete tulikuwa tunapata dawa bure hata kwa taabu hivyo. Pili, kwa kweli watumishi hawajitumi. Mganga anawaacha wagonjwa wamekaa anaenda kutembea kwa muda wa dakika 45 ndipo anarudi?

Hospitali za Tanzania bado sana. Mawaziri acheni mbwembwe zisizo na maana.
kwa kifupi Bohari kuu dawa MSD wana hali mbaya sana, mengine siwezi kuandika hapa. Serikali imepeleka pesa za vituo huko lakini hakuna cha kununua
 
Kwa maelezo yako inaonekana kabisa hao jamaa ni wazembe,huku pia nilipo duka la dawa la jamii lipo na limejaa bidhaa nyingi tu,mimi narudia kusema hao viongozi ndio wazembe,juzi tu mwisho wa mwezi wa sita serikali ilitoa fedha nyingi kwaajili ya dawa.. wamezipeleka wapi...kuhusu GoTHOMIS..hapo pia uzembe ni mkubwa sana... lakini muda mwingine pia ni chaka la kupiga fedha.
Angalau tunaweza kuhitimisha kuwa hapo ni uzembe
 
Supply chain ndilo tatizo serikali za umma na rushwa kwenye upatikanaji wa prime vendors wasiokuwa na uwezo. Fedha sio tatizo wala uongozi wa facility sio tatizo, tatizo msd hawana dawa na hizo kidogo walizo nazo zinachelewa kuletwa vituoni, o/s hawatoi na wakitoa prime vendors hawana dawa pia. Hili ni tatizo kwa kanda ya ziwa nisijue kanda zingine. Kwakwel wananchi wanaumia na hawaoni sbb ya kuwa na bima maana haziwasaidii, hizi community outlets za mahospitalini wala sio suluhisho, serikali haipaswi kufanya biashara, kazi yake ni kutoa huduma.
 
Back
Top Bottom